Kashaija72
JF-Expert Member
- May 18, 2020
- 2,225
- 5,258
Interview za benki ya Posta, nikaulizwa "unataka tukilipe kiasi gani"
Hapo hata chuo sijamaliza, nimebakiza kuchomoa sup. Nikawazaa, sijui viwango vya mshahara. Nikataja tuu laki nne.
Hata sikuitwa tena
Hapo hata chuo sijamaliza, nimebakiza kuchomoa sup. Nikawazaa, sijui viwango vya mshahara. Nikataja tuu laki nne.
Hata sikuitwa tena