Ni aibu jitu zima kuwa masikini halafu mtoto kama mimi nina pesa

Ni aibu jitu zima kuwa masikini halafu mtoto kama mimi nina pesa

Hivi inakuaje jitu umri umeenda halina pesa linahangaika tu Kila siku aisee hua nacheka sana yaani jitu hata pesa ya kumhudumia kifamilia chake halina hivi mwanaume kama huyu si lofa maana mtoto wa kiume uwezi ukashindwa kumhudumia mwanamke wako na watoto au mnataka tajiri niwe nawalia wake zenu maana wake zenu wananitumia sms wanaomba pesa sababu wanajua Mimi ni tajiri ngoja niwatunzie wake zenu sababu nyie ni masikini na mtakufa na huo ulofa wa umasikini
Jf moderators mnaruhusuje thread kama hii. Haina cha kujenga w
Tafuta hela masikini wewe
Sawa tajiri bomu🙄
 
Hivi inakuaje jitu umri umeenda halina pesa linahangaika tu Kila siku aisee hua nacheka sana yaani jitu hata pesa ya kumhudumia kifamilia chake halina hivi mwanaume kama huyu si lofa maana mtoto wa kiume uwezi ukashindwa kumhudumia mwanamke wako na watoto au mnataka tajiri niwe nawalia wake zenu maana wake zenu wananitumia sms wanaomba pesa sababu wanajua Mimi ni tajiri ngoja niwatunzie wake zenu sababu nyie ni masikini na mtakufa na huo ulofa wa umasikini
Ugonjwa wa maradhi ya afya ya akili umekuwa ni tatizo kubwa sana kwa vijana wengi. Hali hii huwafanya wengi wao kuishi maisha "fake" na kutaka kulisha watu matango poli.

Kitu hiki kimepelekea matajiri waliopo nyuma ya "keyboard" kuwa ni wengi mno kuliko uhalisia wenyewe. Ebu tupe "net worth" yako ili tuweze kupima utajiri wako.
 
Hivi inakuaje jitu umri umeenda halina pesa linahangaika tu Kila siku aisee hua nacheka sana yaani jitu hata pesa ya kumhudumia kifamilia chake halina hivi mwanaume kama huyu si lofa maana mtoto wa kiume uwezi ukashindwa kumhudumia mwanamke wako na watoto au mnataka tajiri niwe nawalia wake zenu maana wake zenu wananitumia sms wanaomba pesa sababu wanajua Mimi ni tajiri ngoja niwatunzie wake zenu sababu nyie ni masikini na mtakufa na huo ulofa wa umasikini
Mungu hampi pesa mwenye fikra finyu. Labda aibe.
 
Ugonjwa wa maradhi ya afya ya akili umekuwa ni tatizo kubwa sana kwa vijana wengi. Hali hii huwafanya wengi wao kuishi maisha "fake" na kutaka kulisha watu matango poli.

Kitu hiki kimepelekea matajiri waliopo nyuma ya "keyboard" kuwa ni wengi mno kuliko uhalisia wenyewe. Ebu tupe "net worth" yako ili tuweze kupima utajiri wako.
Wewe unavyojiona ni mzima wa akili?
 
Wewe unavyojiona ni mzima wa akili?
Hivi unaujua utajili wewe! Maudhui ya kile ulichokiandika tu kinathibitisha unahitaji kumuona daktari upesi iwezekanavyo.

Nami nakusihi, chonde! chonde! nenda haraka sana, kabla mambo hayajaharibika kabisa.
..
Wewe unavyojiona ni mzima wa akili?
Ukubali tu ukapuku wako. Kuwa maskini ama kuzaliwa katika familia fukara kama yako si kosa lako wala dhambi mbele ya Mungu.
 
Hivi unaujua utajili wewe! Maudhui ya kile ulichokiandika tu kinathibitisha unahotaji kumuona daktari upesi iwezekanavyo.

Nami nakusihi, chonde! chonde! nenda haraka sana, kabla mambo hayajaharibika kabisa.
..

Ukubali tu ukapuku wako. Kuwa maskini ama kuzaliwa katika familia fukara kama yako si kosa lako wala dhambi mbele ya Mungu.
Tafuta hela masikini wewe
 
Si kila mwanaume anaweza kukubali kupakatwa ili atoboe kimaisha kama wewe mkuu.

Wengine tunakufa kishujaa...
 
Back
Top Bottom