Ni aibu kuandaa sherehe za kupokea ndege

Acheni unafiki na chuki. Mbona mkinunua magari mapya mnayafanyiea sherehe? Mwenye mali ana haki ya kupokea kitu chake atakavyo. Acheni wivu wa kike.
 
Kumbe kuna sherehe inaendelea huko!mambo mengi muda mchache kwa kweli[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Watz hawawezi kufanya kitu kikafanikiwa hilo alishajaribu magu akiwa na wazo kama lako na akachemka.
Keshawahi wapa Kazi za ujenzi wa majengo shirika la ujenzi wakashindwa
 
Ndege 11 unaajiri watu 580 siriasi kweli? Fedha za kununulia ndege tu zinanunua treka laki 3 ambazo zinatoa ajira kwa vijana milioni 12 nchi nzima na kuondoa au kumaliza kabisa tatizo la machinga mijini.
Wakishatumia vibaya kodi zetu wanaenda kuwadanganya watu eti wazungu ndio wametuletea umasikini hizi ni chuki kabisa.
Sidhani kama kuna ccm ataingia peponi aisee.
 
Nikurekebishe kidogo. Hii nchi toka inapata Uhuru Hadi Sasa imetawaliwa na chama kimoja TANU/CCM. so, aliyeua viwanda na shirika la ndege ndo huyo huyo aliyekuja kufufua.
 
Chama gani kiliua we nguruwe pori
 
Hela ya kuweka mitungi ya gas kila hospital hakuna alafu umeaharisha upuuzi
 
Nikurekebishe kidogo. Hii nchi toka inapata Uhuru Hadi Sasa imetawaliwa na chama kimoja TANU/CCM. so, aliyeua viwanda na shirika la ndege ndo huyo huyo aliyekuja kufufua.
Umeongea vyema. Kumbe suala hapa si aina ya chama. Suala ni aina ya watu.

Mi si muumini wa CCM au Chadema au TLP au nani sijui. Mi ni muumini wa mtu mwenye moyo sahihi kwa ajili ya nchi na watu wake. Mtu huyo akipatikana TANU sawa, akipatikana CCM sawa, akipatikana Chadema sawa.
 
Kama ATCL yenyewe haijawahi kupata faida toka ndege zianze kununuliwa, je hii sherehe ya kupokea ndege si uthibitisho wa kusherehekea hasara? Ni kama vile wapo watu wanafurahia nchi kufilisika!
 
Hela ya kuweka mitungi ya gas kila hospital hakuna alafu umeaharisha upuuzi
Basi tufanye hivi....

Tununue mitungi tuijaze mpaka zahanati....halafu uone sehemu nyingine zitakavyoathirika....sina maana kuwa tusizijali hospitali zetu....

Kwa taarifa yako ni kuwa si kila kitu cha afya kunalazwa wagonjwa wa UVIKO....wagonjwa wengine mahututi.....

Amka Meku🤣🤣
 
Tungekuwa nazo zaidi ya 150 kama Ethiopian Airlines sijui nchi ingehama na huko Ethiopia hata zinapoletwa hakuna anayefahamu huenda hata watumishi wengi wa shirika hawajui.

Sasa nini faida ya kuleta ndege wakati hazitumiki zinabaki kupaki kisa zinaweza kukamatwa kwa sababu nchi inadaiwa madeni ya dhuluma.
 
Kupanga ni kuchagua, hakuna anayelazimishwa, BTW mazingara vile vile ni tofauti wacha ushamba.

Ni kweli hapa kwetu bado ulimbukeni ni mkubwa, tofauti na huko south Africa. Ila majizi ya kura ya hayaishi vituko.
 
Ni jambo la kujivunia unapoona kuja kwa Mali ya nchi ambayo imegharimu pesa nyingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…