Mpanda nyangobe
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 762
- 1,688
Timu za yanga na simba haziendeshwi kiproffesional unategemaje zitakua na uwanja wake.Ni ajabu sana timu zinazoongoza kuwa na mashabiki kila upande wa nchi..kukosa viwanja vyao...kila mechi Kwa mkapa..Kwenu hapo??..Jengeni viwanja vyenu bana..Azam wapo mbali sana nchi hii
Muogope sana mtu anayeuza vitu vya mia, mia mbili, mia tano.Ni ajabu sana timu zinazoongoza kuwa na mashabiki kila upande wa nchi..kukosa viwanja vyao...kila mechi Kwa mkapa..Kwenu hapo??..Jengeni viwanja vyenu bana..Azam wapo mbali sana nchi hii