Ni aibu kubwa sana kwa Wilaya kongwe ya Kyela kukosa gari la Zimamoto

Ni aibu kubwa sana kwa Wilaya kongwe ya Kyela kukosa gari la Zimamoto

Mi nimeishi kyela naijuwa pia nawajua vizuri watu wake mfano soko la monday monday pale border huwa linatawaliwa na wafanyabiashara kutoka tukuyu.
any ways tubaki kwenye mada , hivi wanakyela wakiacha uvivu huo unaousema ndio gari la Zimamoto litaletwa ?
 
Back
Top Bottom