Ni aibu kubwa sana kwa Wilaya kongwe ya Kyela kukosa gari la Zimamoto

Mi nimeishi kyela naijuwa pia nawajua vizuri watu wake mfano soko la monday monday pale border huwa linatawaliwa na wafanyabiashara kutoka tukuyu.
any ways tubaki kwenye mada , hivi wanakyela wakiacha uvivu huo unaousema ndio gari la Zimamoto litaletwa ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…