Ni aibu kubwa, vijana wa kiume kuishi kwa kukata viuno kwenye mabaa ili kupata riziki. Kwa nini wasilime?

Ni aibu kubwa, vijana wa kiume kuishi kwa kukata viuno kwenye mabaa ili kupata riziki. Kwa nini wasilime?

Kuna watu hapo juu wanajaribu kutafuta nanna ya kutetea hili jambo lakini ukweli utabaki ukweli, haikubariki kwa nchi masikini kama Tanzania kuruhusu vijana kuwa wajinga.

Taifa masikini kama Tanzania, kwa sasa linahitaji kizazi shupavu, makini na wachapa kazi kusongesha uchumi mbele, na huko mbele tunakuwa na Taifa strong na la watu jeuri wenye miguvu kiafya, kiakili na kiuchumi. Kuruhusu vijana kukatakata viuno ni kuachia nguvu kazi ipokee..
 
Ujinga uko mwingi sana,hii yote ni zao la demokrasia ya kina Biden na akina Borris.

Mwanaume ameweka karikiti,anakata mauno eti yupo kazini,hata hawa Wanyakyusa ambao wanaonekana huku Mbeya sijui ni mjini hapa,eti wamebeba viatu vya watoto na vikata kucha,wanatembeza wanauza,hivi kwanini gunia la mahindi lisifike laki na nusu,tena hayo mahindi yanalimwa na wazee kule Kyela vijijini ambao nguvu zimepungua.

Ifike mahali udikteta flani utumike,hawa wakata viuno,bodaboda,machawa,akina Wolper na sampuli yao wote(i.e Aunt Ezekiel,Wema),waondolewe mjini au waonyeshe shughuli maalum wanazofanya,mambo ya kuishi kijanjajanja yakomeshwe,hata hawa Wakurya wanaouza mayai,warudi makwao wakafanye kazi za kiume na za kijasiri,kwakweli inafikirisha sana.
 
Inashangaza saba eti kunakuwa na mashindano ya vijana wa kiume kukata mauno kwenye mabaa na kujiita wacheza dance.

Wanashindwa kulima bustani za mbogamboga?

Mbaya zaidi wanakata mauno kuliko hata wanawake
Kama njaa zinawapeleka huko ndio maana idadi ya masokositi inaongezeka
 
Inashangaza saba eti kunakuwa na mashindano ya vijana wa kiume kukata mauno kwenye mabaa na kujiita wacheza dance.

Wanashindwa kulima bustani za mbogamboga?

Mbaya zaidi wanakata mauno kuliko hata wanawake
Si vyema kuwapangia watu maisha mkuu.
 
Aibu kubwa sana ipo kwako mleta mada yaani vijana wote wakata viuno walime mchicha.bongo nzima itakuwa shamba huo mchicha watamuuzia nani.?bongo ni kama sufuria kubwa yenye mseto wa kutosha Cha muhimu ni kupakua unachoweza

Baada ya mihangaiko ya siku nzima kubuma ukaona ukaangalie vijana wakata mauno kusogeza muda ili ukaegeshe fuvu.Ila kilichokuuma ni kuona wakata mauno wanaingiza peaa kirahisi angali wewe mishe zako za mboga zimebuma..pole sana mkuu ndio maisha
Tatizo la Mkulima limbukeni,anatamani watu wote walime Kama yeye,utazani yeye kulima kalazimishwa!!!
 
Kuna watu hapo juu wanajaribu kutafuta nanna ya kutetea hili jambo lakini ukweli utabaki ukweli, haikubariki kwa nchi masikini kama Tanzania kuruhusu vijana kuwa wajinga.

Taifa masikini kama Tanzania, kwa sasa linahitaji kizazi shupavu, makini na wachapa kazi kusongesha uchumi mbele, na huko mbele tunakuwa na Taifa strong na la watu jeuri wenye miguvu kiafya, kiakili na kiuchumi. Kuruhusu vijana kukatakata viuno ni kuachia nguvu kazi ipokee..
Kwa hiyo tukitaka burudani ya vijana wacheza singeri ni lazima tu kodishe kutoka nje!!? Maana wetu wote watakua ni Wakulima!!!
 
Wakalimie meno au

Utawapatia mbolea nk

Ova
 
Inashangaza saba eti kunakuwa na mashindano ya vijana wa kiume kukata mauno kwenye mabaa na kujiita wacheza dance.

Wanashindwa kulima bustani za mbogamboga?

Mbaya zaidi wanakata mauno kuliko hata wanawake
Sahv tuko kwenye kizazi cha wakata mauno kila mtoto anataka awe kama msani fulani
Mwendo wa mauno tu

Ova
 
Sahv tuko kwenye kizazi cha wakata mauno kila mtoto anataka awe kama msani fulani
Mwendo wa mauno tu

Ova
Mwambie aendee kwenye mahafali ya Wanafunzi kuanzia chekechea hadi chuo kikuu ni mwendo wa mauno tu,si wa kike wala wa kiume! Tena wanakatika mbele ya walimu na wazazi wao! Alafu Mzazi mmoja anakuja humu anajifanya analaumu vijana wa kiume kukata maunoo! Hajui Sasa hivi kila Mtoto anataka kua daimondiiii!!!???
 
Siwatetei ila hata ngoma zetu nyingi wakoloni wailkuwa na haki ya kuziita za kishenzi ,yaani mibaba inakata viuno huku imejifunga kibwaya mfano sindimba
Na kipimo cha maana cha mtu kukata kiuno ni kitandani tu.

Mi sipendi kutizama viuno vya ngomani ama kwenye matamasha ya muziki.

Mkata mauno yeyote wa maonesho, ukimtanguliza kitandani akafanye kama anayoyafanya hadharani, mbona utamchukia?
 
Kiuno ni mtaji hata kwenye ndoa, kama hujui kukikata, tegemea mkeo kuwatembelea wakata viuno. !![emoji38][emoji38][emoji38]
 
Mbaya zaidi wewe unaonekana una maisha magumu huna kipato na unaishi kula kulala bure... Ungekua una kipato kizuri usingeenda bar za vichochoroni kama hizo... Kwahio hao unao wadharau na wew huna tofaut nao... Usijione special kijana tafuta pesa uende bar ambazo classic unaziona kwa mbali ukiwa unapita na daladala unarudi kwa shemej yako
 
Back
Top Bottom