Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akiingiliwa atakua kataka mwenyewe.Kuna wengine wanajiita eti machawa, mtu kama Mwijaku asipo angalia ataingiliwa kinyume na maumbile ili kupata pesa.
😂😂😂Akiingiliwa atakua kataka mwenyewe.
nyie pigeni kelele ndio kazi inayo muingizia kipatoKuna wengine wanajiita eti machawa, mtu kama Mwijaku asipo angalia ataingiliwa kinyume na maumbile ili kupata pesa.
Mtaangalia TVSisi wakulima macho yetu tutayaburudishia wapi kama wote tutalima?
Ukiona hivyo ujue kuna wateja wa viuno vyao.Inashangaza sana eti kunakuwa na mashindano ya vijana wa kiume kukata mauno kwenye mabaa na kujiita wacheza dance.
Wanashindwa kulima bustani za mbogamboga?
Mbaya zaidi wanakata mauno kuliko hata Wanawake
nawe jiunge naoInashangaza sana eti kunakuwa na mashindano ya vijana wa kiume kukata mauno kwenye mabaa na kujiita wacheza dance.
Wanashindwa kulima bustani za mbogamboga?
Mbaya zaidi wanakata mauno kuliko hata Wanawake
Ndo malezi yao waliyoyapitiaInashangaza sana eti kunakuwa na mashindano ya vijana wa kiume kukata mauno kwenye mabaa na kujiita wacheza dance.
Wanashindwa kulima bustani za mbogamboga?
Mbaya zaidi wanakata mauno kuliko hata Wanawake
Bora usemeInashangaza sana eti kunakuwa na mashindano ya vijana wa kiume kukata mauno kwenye mabaa na kujiita wacheza dance.
Wanashindwa kulima bustani za mbogamboga?
Mbaya zaidi wanakata mauno kuliko hata Wanawake
Upumbavu tu umeandikaAibu kubwa sana ipo kwako mleta mada yaani vijana wote wakata viuno walime mchicha.bongo nzima itakuwa shamba huo mchicha watamuuzia nani.?bongo ni kama sufuria kubwa yenye mseto wa kutosha Cha muhimu ni kupakua unachoweza
Baada ya mihangaiko ya siku nzima kubuma ukaona ukaangalie vijana wakata mauno kusogeza muda ili ukaegeshe fuvu.Ila kilichokuuma ni kuona wakata mauno wanaingiza peaa kirahisi angali wewe mishe zako za mboga zimebuma..pole sana mkuu ndio maisha
Kila mtu ana njia yake yamafanikioInashangaza sana eti kunakuwa na mashindano ya vijana wa kiume kukata mauno kwenye mabaa na kujiita wacheza dance.
Wanashindwa kulima bustani za mbogamboga?
Mbaya zaidi wanakata mauno kuliko hata Wanawake
Wewe unachuki zako binafsi kwa mwijakuKuna wengine wanajiita eti machawa, mtu kama Mwijaku asipo angalia ataingiliwa kinyume na maumbile ili kupata pesa.
Unaonekana wewe ni among them[emoji16][emoji16][emoji16]pole Sana nduguUpumbavu tu umeandika
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna siku nilipita pale Liquid pub iliyoko hapo kurasin opposite na TIA nilishangaa Sana !!!wanaume kama mabint
Kumbe kukata mauno ndiyo rahisi, eti!Kilimo ndiyo umeona rahisi?
Kilimo kinahitaji mtaji, ujuzi, uvumilivu nk. si rahisi kama unavyofikiria.
[emoji1][emoji1][emoji1]Kukata kiuno ni rahisi zaidi sio?