Ni aibu kwa taasisi kubwa kama Yanga kuidharau na kuidhihaki Mahakama ya Tanzania kiasi hiki

Ni aibu kwa taasisi kubwa kama Yanga kuidharau na kuidhihaki Mahakama ya Tanzania kiasi hiki

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Sitawapotezea muda wenu kuwaelezea umuhimu wa taasisi ya Mahakama katika jamii na nchi yoyote ile. Hii taasisi ina heshma yake ambayo haitakiwi mtu au taasisi yoyote kuichezea, kuidhihaki, kuidharau wala kuitukana.

Kwa hiki kinachoendelea siku hizi mbili na kauli za viongozi wa Yanga akiwemo msemaji wake Ally Kamwe, ni jambo litakaloshangaza sana umma kama Mwanasheria Mkuu wa Serikali au Mahakama yenyewe haitaingilia kati haraka iwezekanavyo ili kuhakikisha heshima ya Mahakama ya Tanzania inalindwa.

Hatuwezi kuruhusu Mahakama inachezewa hivi waziwazi kwa kivuli eti klabu ina mashabiki milioni 40. Kwanza hao mashabiki uliwahesabu lini wakati wanachama wenyewe tu hawafiki 50,000 na unashindwa kufikia mapato ya milangoni ya mwaka na timu ambayo mashabiki wake waliisusia timu yao.
 
FB_IMG_1721240325252.jpg
 
Wabongo mshapata kitu cha kuandika, kusema, kuongea...

Mahakama sio wasimamizi wa kanuni za vilabu, mpira, michezo...
 
Sitawapotezea muda wenu kuwaelezea umuhimu wa taasisi ya Mahakama katika jamii na nchi yoyote ile. Hii taasisi ina heshma yake ambayo haitakiwi mtu au taasisi yoyote kuichezea, kuidhihaki, kuidharau wala kuitukana...
Baada ya kushindwa akili na Mangungu mmegeukia huku endeleni na ujinga August sio mbali ligi ina anza
 
Sitawapotezea muda wenu kuwaelezea umuhimu wa taasisi ya Mahakama katika jamii na nchi yoyote ile. Hii taasisi ina heshma yake ambayo haitakiwi mtu au taasisi yoyote kuichezea, kuidhihaki, kuidharau wala kuitukana.

Kwa hiki kinachoendelea siku hizi mbili na kauli za viongozi wa Yanga akiwemo msemaji wake Ally Kamwe, ni jambo litakaloshangaza sana umma kama Mwanasheria Mkuu wa Serikali au Mahakama yenyewe haitaingilia kati haraka iwezekanavyo ili kuhakikisha heshima ya Mahakama ya Tanzania inalindwa.

Hatuwezi kuruhusu Mahakama inachezewa hivi waziwazi kwa kivuli eti klabu ina mashabiki milioni 40. Kwanza hao mashabiki uliwahesabu lini wakati wanachama wenyewe tu hawafiki 50,000 na unashindwa kufikia mapato ya milangoni ya mwaka na timu ambayo mashabiki wake waliisusia timu yao.
Mangungu anajiuzulu lini
 
Sitawapotezea muda wenu kuwaelezea umuhimu wa taasisi ya Mahakama katika jamii na nchi yoyote ile. Hii taasisi ina heshma yake ambayo haitakiwi mtu au taasisi yoyote kuichezea, kuidhihaki, kuidharau wala kuitukana.

Kwa hiki kinachoendelea siku hizi mbili na kauli za viongozi wa Yanga akiwemo msemaji wake Ally Kamwe, ni jambo litakaloshangaza sana umma kama Mwanasheria Mkuu wa Serikali au Mahakama yenyewe haitaingilia kati haraka iwezekanavyo ili kuhakikisha heshima ya Mahakama ya Tanzania inalindwa.

Hatuwezi kuruhusu Mahakama inachezewa hivi waziwazi kwa kivuli eti klabu ina mashabiki milioni 40. Kwanza hao mashabiki uliwahesabu lini wakati wanachama wenyewe tu hawafiki 50,000 na unashindwa kufikia mapato ya milangoni ya mwaka na timu ambayo mashabiki wake waliisusia timu yao.
Ni matokeo ya mihimili mingine miwili kudharau mhimili wa mahakama kwa namna mbali mbali mchana kweupe watu wakiona na kubakinayo sirini. Sasa ni zamu yao!
 
Tanzakiza hakuna mahakama bali Majengo yenye jina la Mahakama,Ni mpumbavu pekee ndo huwa na imani na mahakama za nchi hii.
 
Back
Top Bottom