Sio kweli kwamba alienda kama mkimbizi. Huyu aliondoka Zanzibar 1960 - kwa mujibu wa DW. Wakati huo hakukuwa na sababu ya ukimbizi.Halafu usisahahu kuwa alikwenda uingereza kama "mkimbizi" siyo mhamiaji au mzamiaji!!
Prof Yupo kwenye ILANI ya CCM 2020/2025Ni kweli huyu Prof ni mtu mwenye asili ya Tanzania visiwani na amekuwa akifundisha University of Kent tangu mwaka 1982. Amendika vitabu vingi tu lakini sijawahi kusikia serikali yetu ya Tanzania ikijisifu kuwa kuna mtanzania anafanya kazi nzuri za fasihi huko Uingereza. Sijawahi kusikia hata hapa nyumbani jina lake likitajwa.
Leo hii baada ya kushinda tuzo ya Nobel upande wa fasihi naona kila kiongozi wa serikali anataka kutuaminisha kuwa Prof Gurnah ni shujaa wa Tanzania.
Kama ni shujaa wa taifa letu mbona huko nyuma hamkumtambua? Mbona hamjawahi kuthamini kazi zake?
Memory of Departure (1987), grapple with betrayals and broken promises on the part of the state or those in power, and focus on people who leave home in search of better lives.Samahani, Mkuu!
Naomba kama kuna kitabu chake chochote alichoandika kwa KISWAHILI unitajie.
Tatizo nchi inaongozwa na wajinga.Watu walikuwa na akili kidogo darasani ila walibebwa kwa kujipendekeza,uchawi na woga.Waliandamana wakisema Zanzibar si nchi ya machotara,Leo hii wanajitapa kwamba chotara Ni shujaa wao.Huu si ni ujinga huuNi kweli huyu Prof ni mtu mwenye asili ya Tanzania visiwani na amekuwa akifundisha University of Kent tangu mwaka 1982. Amendika vitabu vingi tu lakini sijawahi kusikia serikali yetu ya Tanzania ikijisifu kuwa kuna mtanzania anafanya kazi nzuri za fasihi huko Uingereza. Sijawahi kusikia hata hapa nyumbani jina lake likitajwa.
Leo hii baada ya kushinda tuzo ya Nobel upande wa fasihi naona kila kiongozi wa serikali anataka kutuaminisha kuwa Prof Gurnah ni shujaa wa Tanzania.
Kama ni shujaa wa taifa letu mbona huko nyuma hamkumtambua? Mbona hamjawahi kuthamini kazi zake?
Gurnah grew up on one of the islands of Zanzibar before fleeing persecution and arriving in England as a student in the 1960s.Ni Mtanzania huyo!?!!
Gurnah grew up on one of the islands of Zanzibar before fleeing persecution and arriving in England as a student in the 1960s.Sio kweli kwamba alienda kama mkimbizi. Huyu aliondoka Zanzibar 1960 - kwa mujibu wa DW. Wakati huo hakukuwa na sababu ya ukimbizi.
Hakuna kitabu alichoandika kwa Kiswahili, japo lugha yake 'mama' ni Kiswahili.Samahani, Mkuu!
Naomba kama kuna kitabu chake chochote alichoandika kwa KISWAHILI unitajie.
Mjomba akitoboa lazma umshobokeeNi kweli huyu Prof ni mtu mwenye asili ya Tanzania visiwani na amekuwa akifundisha University of Kent tangu mwaka 1982. Amendika vitabu vingi tu lakini sijawahi kusikia serikali yetu ya Tanzania ikijisifu kuwa kuna mtanzania anafanya kazi nzuri za fasihi huko Uingereza. Sijawahi kusikia hata hapa nyumbani jina lake likitajwa.
Leo hii baada ya kushinda tuzo ya Nobel upande wa fasihi naona kila kiongozi wa serikali anataka kutuaminisha kuwa Prof Gurnah ni shujaa wa Tanzania.
Kama ni shujaa wa taifa letu mbona huko nyuma hamkumtambua? Mbona hamjawahi kuthamini kazi zake?
Alikimbia nini ?! Wasiojulikana [emoji102][emoji3517]Halafu usisahahu kuwa alikwenda uingereza kama "mkimbizi" siyo mhamiaji au mzamiaji!!
Denis Kibu ni raia wa nchi gani?
Kwahiyo Kibu ni mtanzania?Kwanza hata nilikua sumfaham ndio nimemsikia kwako na kujua sakata la uraia wake limehitimishwa 30 September 2021.
Unataka kusemaje kuhusu uraia wa Prof. Gurnay?
Mbona unataka kuchanganya mambo? Yule sio mtanzania.
Kwa mujibu wa katiba yetu na maelezo ya waziri wa mambo ya ndani ndio.Kwahiyo Kibu ni mtanzania?
Wewe ulikuwa unamfahamu kabla ya tuzo ama nawe ni kama serikali umemjua baada?Ni kweli huyu Prof ni mtu mwenye asili ya Tanzania visiwani na amekuwa akifundisha University of Kent tangu mwaka 1982. Amendika vitabu vingi tu lakini sijawahi kusikia serikali yetu ya Tanzania ikijisifu kuwa kuna mtanzania anafanya kazi nzuri za fasihi huko Uingereza. Sijawahi kusikia hata hapa nyumbani jina lake likitajwa.
Leo hii baada ya kushinda tuzo ya Nobel upande wa fasihi naona kila kiongozi wa serikali anataka kutuaminisha kuwa Prof Gurnah ni shujaa wa Tanzania.
Kama ni shujaa wa taifa letu mbona huko nyuma hamkumtambua? Mbona hamjawahi kuthamini kazi zake?
Katiba ipi hiyo?Kwa mujibu wa katiba yetu na maelezo ya waziri wa mambo ya ndani ndio.
Mkuu naona unapoteza muda kuhangaika na hao masalia ya mzee Mecco?Wewe ulikuwa unamfahamu kabla ya tuzo ama nawe ni kama serikali umemjua baada?
Katiba ipi hiyo?
Taifa halina utaratibu wa kutengeneza mashujaa wake. Mashujaa wa Tanzania wanajitengeneza wenyewe kisha Taifa linawashangilia. Ndio Mambo yetu hayo. Ujue!Ni kweli huyu Prof ni mtu mwenye asili ya Tanzania visiwani na amekuwa akifundisha University of Kent tangu mwaka 1982. Amendika vitabu vingi tu lakini sijawahi kusikia serikali yetu ya Tanzania ikijisifu kuwa kuna mtanzania anafanya kazi nzuri za fasihi huko Uingereza. Sijawahi kusikia hata hapa nyumbani jina lake likitajwa.
Leo hii baada ya kushinda tuzo ya Nobel upande wa fasihi naona kila kiongozi wa serikali anataka kutuaminisha kuwa Prof Gurnah ni shujaa wa Tanzania.
Kama ni shujaa wa taifa letu mbona huko nyuma hamkumtambua? Mbona hamjawahi kuthamini kazi zake?
SawaTanzania tuna katiba ngapi? Do your homework. Hata hivyo umeninukuu nikiongelea uraia wa Dr. Mshindi wa tuzo ya Nobel kwenye fasihi.
Nakubaliana na weweTaifa halina utaratibu wa kutengeneza mashujaa wake. Mashujaa wa Tanzania wanajitengeneza wenyewe kisha Taifa linawashangilia. Ndio Mambo yetu hayo. Ujue!