Ni aibu kwa vyuo vikuu hapa nchini kushindwa kugundua chanjo ya Corona na sasa vinashindana kutoa tahadhari

physics na umeme ni mambo tofauti.
how ever umeme umetokea kwenye physics.

kwa ninavyojua hakuna profesa anapiga kishoka.
ukishafika hizo level labda uweuke mwenyewe. lakin sio kupiga kishoka. degree labda.. masters labda.. sio prof ni kitu kingine
Alafu na wewe Utakua eti msomi kutoka COET..daa
 
Unamaanisha serikali haiwezi kughalamia mchakato huu kwasababu haina fedha?
Fedha, reliable supplier, impact ya soko la mayai, willingness to gamble (maana unaweza tumia hela zote na usipate chanjo au ukachukua muda zaidi) + research facilities (vitu kama ivyo vinafanyika ndani ya controlled environment not just any lab will do).
 
Dawa ziligunduliwa na wataalamu watanzania zipo nyingi sana labda kama hufuatilii
 
Nitajie vyuo vikuu viwili tu unavyovilenga katika bandiko lako...halafu nitakupa sababu za kwa nn haya uliyoyaandika hayafanyiwi kazi..
Huyo mleta uzi amepagawa na maisha sasa hivi anarusha mateke na matusi kwa kila mtu kisa ugumu wa maisha.
 
We unataka kusema tuna wasomi wa vyeti na mizigo.

Wakimaliza chuo miaka 3 anakuja mtaan kuwa bodaboda
Ajira zenyewe wanapewa watoto wa vigogo tu,wewe kajamba nani mwanao ataishia kuendesha bora boda tu
 
physics na umeme ni mambo tofauti.
how ever umeme umetokea kwenye physics.

kwa ninavyojua hakuna profesa anapiga kishoka.
ukishafika hizo level labda uweuke mwenyewe. lakin sio kupiga kishoka. degree labda.. masters labda.. sio prof ni kitu kingine
Hana lolote lile ujuwalo bali ni kuweweseka kwani kapigika
 
Huyo mleta uzi amepagawa na maisha sasa hivi anarusha mateke na matusi kwa kila mtu kisa ugumu wa maisha.
Si kweli mkuu. Kwenye suala la korona nimeamua kuisimamia kweli. Kwahiyo sitakuwa upande wa kundi/taasisi/mtu yeyote anayeendekeza porojo juu ya suala hili.
 
Nchi haina umiversity Teaching hospital je unategemea nini?
 
Vyuo vikuu vyote vikongwe hapa nchini
Nimekuuliza kuona kama kweli unaufahamu wa kutosha kuhusu vyuo vikuu vyetu hapa nchini namna vinavyojiendesha, mkono wa serikali, namna funds za research mbalimbali zinavyopatikana, coordination yake na inachukua muda gani kwa potential drug ama vaccine kwa cycle nzima ya development yake ilivyo yaani phases zote., Kutokana na jibu lako hili nimeona hauko tayari kufaham kiundani nn kinaendelea linapokuja swala lihusulo afya ya jamii.
 
Je Wajua kuwa umoja wa ulaya waliwapa oxford na AstraZeneca shillings trilioni 8 kwa ajili ya kutafuta chanjo . Je vyuo vyetu vinapewa hizo fedha kama hiyo kwa ajili ya tafiti ilhali hela hiyo ni kama robo ya bajeti ya nchi haya mambo sio uwezo wetu kwa sasa sisi tujenge uchumi wetu tujijenge baadae huko tutajiweza ni sawa kumuigiza tembo , Africa yote bio safety level 4 lab ni mbili tu huyo China mwenyewe anazo mbili na ya pili kajenga 2015 sasa unacheza vipi na deadly viruses na kufanya manipulation bila kuwa na mabiohazard lab ya kueleweka. Thanks
 
Lakini kuna ka ukweli fulani ktk bandiko lako!
Next time fungua Uzi kuhusu Maprofesa wa Bongo jinsi tunavyofaidika nao.
 
Madokta wenyewe waliwahi kuwa wanawakimbia wagonjwa wanaohisiwa kuwa na corona😀😀
 
Tuna medical research institute kwanini huisemi hiyo? Ni kwamba serikali haijawekeza katika kujenga maabara za kisasa level 3 na 4 ambazo ndizo zinarihusiwa kucheza na virusi hatari level ya Ebola, corona ,HIV nk
 
Sasa ukitoa milioni mbili za utafiti utagundua nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…