Ni aibu kwa vyuo vikuu hapa nchini kushindwa kugundua chanjo ya Corona na sasa vinashindana kutoa tahadhari

Ni aibu kwa vyuo vikuu hapa nchini kushindwa kugundua chanjo ya Corona na sasa vinashindana kutoa tahadhari

Si kweli mkuu. Kwenye suala la korona nimeamua kuisimamia kweli. Kwahiyo sitakuwa upande wa kundi/taasisi/mtu yeyote anayeendekeza porojo juu ya suala hili.
Like son like father
 
Kazi kubwa za vyuo vikuu ni tatu:
-kuelimisha/kifundisha (teaching)
-kuandika vitabu (publication)
-kufanya tafiti (Research).

Kati ya kazi hizo tatu research ndiyo huleta maana kubwa sana kwa uwepo wa chuo kikuu chochote mahala popote. Ni sawa na benki, kwa mfano, ina kazi nyingi sana lkn utoaji wa mikopo ndiyo huleta tija na faida zaidi kwa jamii na benki yenyewe..

Nimestushwa na mfululizo wa matamko ya tahadhari dhidi ya korona yanayotolewa na vyuo vikuu hapa nchini kwa jumuiya zao.

Nilitegemea vyuo vikuu hivi viwe vimeshafanya tafiti na kuja na chanjo ya korona badala ya kutupigia kelele bila suluhisho.

Najiuliza maswali mengi kuhusu hivi vuuo vikuu. Hivi kuna wasomi kweli? Ama kuna mkusanyiko wa wahuni wenye vyeti tu? Tija yao nn kwa taifa? Vyuo viku hivi vimeshindwa kushirikiana vikatuletea hata dawa za kufubaza virusi hivi?

Malaria, ukimwi, athma, mafua ni magonjwa ambayo yapo kwa miaka lukuki lkn hivi vuuo vikuu havijagundua hata kidonge!

Sasa navitaka vyuo vikuu hivi kukaa kimya, endeleeni kunywa pombe, kufanya ngono, na kurushiana video za umbea. Mqmbo ya corona waachieni Oxford, Harvard na Berlin universities waizungumzie.

Rubbish!!!
Kwani Tanzania kuna Vyuo Vikuu au kuna Vituo tu vya Kusaidia Kupunguza Ujinga uliokithiri kwa Wananchi?
 
Vyuo vikuu gani? Au unasema Vyuo Uchwara, kwa Taarifa yako Tanzania hatuna ubora wa hivyo katika Elimu
 
Waganga wa kienyeji wamelala mnele,wanasikilizia kwa mbaaali.
 
Chanjo ya corona inatengenezwa na egg white, umeshaona hayo ma tray ya mayai kwa siku yanayochezewa kwenye research.

Tray ya mayai bongo bei yake ni sh elfu 6-7 kwa siku watu wanaweza chezea tray 2000 kama million 14 za kitanzania now imagine research labda inachukua miezi sita.

Piga hesabu ya cost 14 m x 180 days.
Yupo huyo supplier reliable wa mayai.
Hathari zake kwa soko la mayai maana Tanzania adverse kidogo tu sokoni ya supply and demand bei hizo zinapaa.
Bado wale ambao wakijua egg york unatupa utumii kwenye research na njaa zao, waanze kulia lia mnachezea chakula.

Tujikite kukuza uchumi kwanza sio kuwaza mambo ambayo mazingira yetu hayapo tayari ku-support ata kama hao scientists tunao.
Mfano mzuri. Jamaa inaelekea hajui gharama za research. Atakuwa anazifananisha research na experiments za shuleni.
 
Sijajua tatizo ni nini zaid Ila ukweli wasomi wa Tanzania kichefuchefu wapo wachache ambao elimu yao imekuwa msaada kwa jamii au mazingira ya chuo husika Ila wengi wao Hanna kitu


Binafs nakereka kuona Profwa SUA anahangaika na biashara za bar na kuacha taaluma yake ikiishia hewani

Tuna muhimbili tuna udom pamoja na kcmc hawa katika maradhi kama covid walipaswa kuwa front line kuhangaikia chanjo kwa njia ya tafit Ila ajabu mpaka Leo wapo tu mpaka wazee wa tiba asili wanaoneka bora zaid kuliko hao



Tuna maabara ya taifa haitumiki ipasavyo

Hapa siwalaumi sana wanafunzi Ila nalia na Dr Prof tulionao na hili nj kwa baada zima la Africa
 
physics na umeme ni mambo tofauti.
how ever umeme umetokea kwenye physics.

kwa ninavyojua hakuna profesa anapiga kishoka.
ukishafika hizo level labda uweuke mwenyewe. lakin sio kupiga kishoka. degree labda.. masters labda.. sio prof ni kitu kingine
Prof ni utafiti hawa wetu wametafit nini? Acha tupige nyungu
 
Chanjo ya corona inatengenezwa na egg white, umeshaona hayo ma tray ya mayai kwa siku yanayochezewa kwenye research.

Tray ya mayai bongo bei yake ni sh elfu 6-7 kwa siku watu wanaweza chezea tray 2000 kama million 14 za kitanzania now imagine research labda inachukua miezi sita.

Piga hesabu ya cost 14 m x 180 days.
Yupo huyo supplier reliable wa mayai.
Hathari zake kwa soko la mayai maana Tanzania adverse kidogo tu sokoni ya supply and demand bei hizo zinapaa.
Bado wale ambao wakijua egg york unatupa utumii kwenye research na njaa zao, waanze kulia lia mnachezea chakula.

Tujikite kukuza uchumi kwanza sio kuwaza mambo ambayo mazingira yetu hayapo tayari ku-support ata kama hao scientists tunao.
Tafit huwa zinafadhiliwa acha kujiongopea
 
Mfano mzuri. Jamaa inaelekea hajui gharama za research. Atakuwa anazifananisha research na experiments za shuleni.
Hakuna wafanya research Tanzania. Kwa elimu gani? Acha kujificha kwenye kichaka cha gharama.

Hao Oxford na wengine wamepewa fedha na WHO kufanya research za corona. Unafikiri kwann hakikupewa chuo kimojawapo Cha Tanzania?

Hapa hakuna wasomi, Kuna kikundi cha malaya, walevi na mqkahaba wenye makaratasi yanayo watambulisha kama wasomi
 
Viongozi wa Vyuo Vikuu hawajitambui
0FB8504F-4A22-4719-8E63-ED329E386085.jpeg
 
Hakuna wafanya research Tanzania. Kwa elimu gani? Acha kujificha kwenye kichaka cha gharama.

Hao Oxford na wengine wamepewa fedha na WHO kufanya research za corona. Unafikiri kwann hakikupewa chuo kimojawapo Cha Tanzania?

Hapa hakuna wasomi, Kuna kikundi cha malaya, walevi na mqkahaba wenye makaratasi yanayo watambulisha kama wasomi
Research haianzi tu kwa kuwa kuna Corona. Kuna kuwa na research activities ambao Zina endelea Kila Siku hivyo Zina build capacity na ku enhance new ideas.

Pesa inahozungumziwa hapa Siyo ya kufanya research ya Corona Bali ni ya kufanya research kwa ujumla. Na hilo tatizo halipo TZ tu Bali Africa na nchi nyingi.
 
Kazi kubwa za vyuo vikuu ni tatu:
-kuelimisha/kifundisha (teaching)
-kuandika vitabu (publication)
-kufanya tafiti (Research).

Kati ya kazi hizo tatu research ndiyo huleta maana kubwa sana kwa uwepo wa chuo kikuu chochote mahala popote. Ni sawa na benki, kwa mfano, ina kazi nyingi sana lkn utoaji wa mikopo ndiyo huleta tija na faida zaidi kwa jamii na benki yenyewe..

Nimestushwa na mfululizo wa matamko ya tahadhari dhidi ya korona yanayotolewa na vyuo vikuu hapa nchini kwa jumuiya zao.

Nilitegemea vyuo vikuu hivi viwe vimeshafanya tafiti na kuja na chanjo ya korona badala ya kutupigia kelele bila suluhisho.

Najiuliza maswali mengi kuhusu hivi vuuo vikuu. Hivi kuna wasomi kweli? Ama kuna mkusanyiko wa wahuni wenye vyeti tu? Tija yao nn kwa taifa? Vyuo viku hivi vimeshindwa kushirikiana vikatuletea hata dawa za kufubaza virusi hivi?

Malaria, ukimwi, athma, mafua ni magonjwa ambayo yapo kwa miaka lukuki lkn hivi vuuo vikuu havijagundua hata kidonge!

Sasa navitaka vyuo vikuu hivi kukaa kimya, endeleeni kunywa pombe, kufanya ngono, na kurushiana video za umbea. Mqmbo ya corona waachieni Oxford, Harvard na Berlin universities waizungumzie.

Rubbish!!!
shika adabu yako
 
Kazi kubwa za vyuo vikuu ni tatu:
-kuelimisha/kifundisha (teaching)
-kuandika vitabu (publication)
-kufanya tafiti (Research).

Kati ya kazi hizo tatu research ndiyo huleta maana kubwa sana kwa uwepo wa chuo kikuu chochote mahala popote. Ni sawa na benki, kwa mfano, ina kazi nyingi sana lkn utoaji wa mikopo ndiyo huleta tija na faida zaidi kwa jamii na benki yenyewe..

Nimestushwa na mfululizo wa matamko ya tahadhari dhidi ya korona yanayotolewa na vyuo vikuu hapa nchini kwa jumuiya zao.

Nilitegemea vyuo vikuu hivi viwe vimeshafanya tafiti na kuja na chanjo ya korona badala ya kutupigia kelele bila suluhisho.

Najiuliza maswali mengi kuhusu hivi vuuo vikuu. Hivi kuna wasomi kweli? Ama kuna mkusanyiko wa wahuni wenye vyeti tu? Tija yao nn kwa taifa? Vyuo viku hivi vimeshindwa kushirikiana vikatuletea hata dawa za kufubaza virusi hivi?

Malaria, ukimwi, athma, mafua ni magonjwa ambayo yapo kwa miaka lukuki lkn hivi vuuo vikuu havijagundua hata kidonge!

Sasa navitaka vyuo vikuu hivi kukaa kimya, endeleeni kunywa pombe, kufanya ngono, na kurushiana video za umbea. Mqmbo ya corona waachieni Oxford, Harvard na Berlin universities waizungumzie.

Rubbish!!!
Aliyekuambia sisi tuna tatizo la corona ni nani? Yaani tuhangaike na mafua? Waache wapambane wazungu, siye mafua siyo issue kihivyo! Tunapambana kutokomeza kifua kikuu, na malaria (haya ni majanga ya kiasili! Ngoma na corona ni majanga ya kutengenezwa na wazungu, hivyo wanawajibika kutafuta ufumbuzi wake! Watakapo shindwa ndipo tutaanzie😂😂😂! Kwa sasa tunawachora tu😱!
 
Unamaanisha serikali haiwezi kughalamia mchakato huu kwasababu haina fedha?
Mnaenda mbali kote huko, chanjo ya covid 19? Hiyo dawa ya mabusha na matende tu zimewashinda sembuse huko?!!watu bwana, bongo kuna wasomi bwana?!!kama usomi wenywewe ndio huo eti alipata alama" A"Zote UDSM!!kwa mawazo hayo kwa taifa zima bora nibaki na ELIMU YANGU YA WATU WAZIMA LANGU
 
Aibu ipi hata hao wenye techologia ya juu hawajagundua chanjo kamili
 
Fedha, reliable supplier, impact ya soko la mayai, willingness to gamble (maana unaweza tumia hela zote na usipate chanjo au ukachukua muda zaidi) + research facilities (vitu kama ivyo vinafanyika ndani ya controlled environment not just any lab will do).
Fedha na uhimilivu wa matokeo ya mchakato.
 
Ninalia na Sua kwani tunawategemea hasa kwa tishio la nzige na mengineyo, niliwahi sikia China wakijipanga kupeleka msaada wa wa ndege-batakutokomeza nzige huko Irani .. Ni wakati wa Sua kuwa na tafiti za namna hii
 
Back
Top Bottom