Ni aibu kwa vyuo vikuu hapa nchini kushindwa kugundua chanjo ya Corona na sasa vinashindana kutoa tahadhari

Ni aibu kwa vyuo vikuu hapa nchini kushindwa kugundua chanjo ya Corona na sasa vinashindana kutoa tahadhari

Umeonea vyuo vyetu vikuu na vingine vingi vya hata mataifa makubwa. Kazi ya vyuo vikuu ni kuchochea fikirishi ya kitafiti. Vipo vyuo ambayo chokozo hizo zimetoa matokeo, lakini utafiti mkubwa unahitaji muda, na fedha nyingi sana!!!! Uwekezaji ndio tatizo la msingi na wanaoweza kufanya hivi ni wale wanaotarajia faida baada ya matokeo sahihi ya tafiti zao. Vyuo hivi havina pesa kiasi hicho!!!

Umeshajiuliza kwanini makapuni ya madawa ndio yanayofanya tafiti sio vyuo vikuu??? Utafiti sio jambo la lelemama. Hasira zako ziko misplaced!!
Hapana sio kwamba wanaonewa. Huo ndio ukweli wenyewe kwamba ma-professor na ma-doctor(PhD) wetu wamekosa committment kabisa.

Hawajakuwa serious at all. Kama hawajakuwa committed kwenye masuala ya tafiti zinazoweza kuleta positive impact mwenye jamii taasisi gani itawapati fedha kwaajili ya kuendesha hizo tafiti??....ma-professor na ma-doctor wetu hawana focus wameamua kujali matumbo yao na familia zao which has nothing to do with maendeleo ya taifa.

As said earlier, Mwl. Nyerere ali-invest sana kwenye the then the village for science and technology lakini ma-professor wetu wakaamua kupenda zaidi siasa na kuitelekeza ile taasisi ambayo ingeweza kuwa ni engine kwa maendeleo ya Taifa letu.

Sasa hivi ma-professor na ma-doctors wetu wameacha ku-dwell na fafiti na ufundishaji wamekaa wakisubilia teuzi za kisiasa serikali.......shame on them!!!!!😓😓😓😓
 
Researcher hawezi kurupuka na kufanya research bila kupata Sponsor au Funding Agent.
Kwann Oxford, Harvard, etal wapate vya Tanzania hata kimoja visipate? Ni kwasabb hamuaminiki, havijitumi, havina wabobezi na vipo vipo tu.
 
Kama hawajakuwa committed kwenye masuala ya tafiti zinazoweza kuleta positive impact mwenye jamii taasisi gani itawapati fedha kwaajili ya kuendesha hizo tafiti??...
Swali zuri sana hili mkuu
 
Hapana sio kwamba wanaonewa. Huo ndio ukweli wenyewe kwamba ma-professor na ma-doctor(PhD) wetu wamekosa committment kabisa.

Hawajakuwa serious at all. Kama hawajakuwa committed kwenye masuala ya tafiti zinazoweza kuleta positive impact mwenye jamii taasisi gani itawapati fedha kwaajili ya kuendesha hizo tafiti??....ma-professor na ma-doctor wetu hawana focus wameamua kujali matumbo yao na familia zao which has nothing to do with maendeleo ya taifa.

As said earlier, Mwl. Nyerere ali-invest sana kwenye the then the village for science and technology lakini ma-professor wetu wakaamua kupenda zaidi siasa na kuitelekeza ile taasisi ambayo ingeweza kuwa ni engine kwa maendeleo ya Taifa letu.

Sasa hivi ma-professor na ma-doctors wetu wameacha ku-dwell na fafiti na ufundishaji wamekaa wakisubilia teuzi za kisiasa serikali.......shame on them!!!!!😓😓😓😓
Mkuu inaonekana wewe ni kichwa maji kabisa. Unaongea mipasho isiyo na mantiki
 
Kazi kubwa za vyuo vikuu ni tatu:
  • Kuelimisha/kifundisha (teaching)
  • Kuandika vitabu (publication)
  • Kufanya tafiti (Research).

Kati ya kazi hizo tatu research ndiyo huleta maana kubwa sana kwa uwepo wa chuo kikuu chochote mahala popote. Ni sawa na benki, kwa mfano, ina kazi nyingi sana lkn utoaji wa mikopo ndiyo huleta tija na faida zaidi kwa jamii na benki yenyewe..

Nimestushwa na mfululizo wa matamko ya tahadhari dhidi ya korona yanayotolewa na vyuo vikuu hapa nchini kwa jumuiya zao.

Nilitegemea vyuo vikuu hivi viwe vimeshafanya tafiti na kuja na chanjo ya korona badala ya kutupigia kelele bila suluhisho.

Najiuliza maswali mengi kuhusu hivi vuuo vikuu. Hivi kuna wasomi kweli? Ama kuna mkusanyiko wa wahuni wenye vyeti tu? Tija yao nn kwa taifa? Vyuo viku hivi vimeshindwa kushirikiana vikatuletea hata dawa za kufubaza virusi hivi?

Malaria, ukimwi, athma, mafua ni magonjwa ambayo yapo kwa miaka lukuki lkn hivi vuuo vikuu havijagundua hata kidonge!

Sasa navitaka vyuo vikuu hivi kukaa kimya, endeleeni kunywa pombe, kufanya ngono, na kurushiana video za umbea. Mqmbo ya corona waachieni Oxford, Harvard na Berlin universities waizungumzie.

Rubbish!!!


Acha kutukana vyuo vikuu vya Tanzania, jiulize swali simple tu Kwa Afrika nzima umesikia chuo kikuu kipi kimetoa chanjo ya Covid? Achilia mbali vyuo vyetu vya Tz ambavyo hata top 20 ya vyuo bora Afrika havipo, nchi za South Africa na Egypt zenye vyuo vikuu bora Afrika wametoa lini hiyo chanjo ya Covid mpaka uwatukane wahadhiri wa Tanzania?

Unafikiri miundombinu ya maabara ya kufanyia Tafiti za Magonjwa hatari ya mlipuko yanayosababishwa na virusi gharama yake ni kiasi gani? Nchi yako inaweza kuimudu au unataka itembeza bakuli kuomba hisani kwa mabeberu? Nchi yako imetenga kiasi gani kwaajili ya kuwezesha tafiti vyuo vikuu? Au unafikiri kupata chanjo hao ma-Dr na Ma-Prof wanazipata kwa njia ya midahalo?

Umekurupuka mkuu mimi nadhani hata ungewashukuru kwa kuibuka na dawa zinazotibu baadhi ya symptoms za Covid kutoka NIMR,UDSM na TIRDO
 
Vyuo vikuu vipi unabizungumzia? Kule tunakaririshana tu notice, quiz za kuviziana na assignment za kukomoana.
 
Kazi kubwa za vyuo vikuu ni tatu:
  • Kuelimisha/kifundisha (teaching)
  • Kuandika vitabu (publication)
  • Kufanya tafiti (Research).
Kati ya kazi hizo tatu research ndiyo huleta maana kubwa sana kwa uwepo wa chuo kikuu chochote mahala popote. Ni sawa na benki, kwa mfano, ina kazi nyingi sana lkn utoaji wa mikopo ndiyo huleta tija na faida zaidi kwa jamii na benki yenyewe..

Nimestushwa na mfululizo wa matamko ya tahadhari dhidi ya korona yanayotolewa na vyuo vikuu hapa nchini kwa jumuiya zao.

Nilitegemea vyuo vikuu hivi viwe vimeshafanya tafiti na kuja na chanjo ya korona badala ya kutupigia kelele bila suluhisho.

Najiuliza maswali mengi kuhusu hivi vuuo vikuu. Hivi kuna wasomi kweli? Ama kuna mkusanyiko wa wahuni wenye vyeti tu? Tija yao nn kwa taifa? Vyuo viku hivi vimeshindwa kushirikiana vikatuletea hata dawa za kufubaza virusi hivi?

Malaria, ukimwi, athma, mafua ni magonjwa ambayo yapo kwa miaka lukuki lkn hivi vuuo vikuu havijagundua hata kidonge!

Sasa navitaka vyuo vikuu hivi kukaa kimya, endeleeni kunywa pombe, kufanya ngono, na kurushiana video za umbea. Mqmbo ya corona waachieni Oxford, Harvard na Berlin universities waizungumzie.

Rubbish!!!


Mkuu, kuna njia kuu mbili za kupata elimu, njia ya kwanza ni kupitia "acquisition" na ya pili ni kupitia "learning".

Mfano wa "acquisition" ni kama vile mtoto anavyojua kuongea lugha yoyote, yeye hujua hiyo lugha kwa ubongo wake kunukuu maneno yote anayoyasikia kutoka kwa wazazi na jamii inayomzunguka, ubongo wake hauna uwezo wa kuhoji neno lolote analolisikia isipokuwa ubongo wake hubeba tu kila neno na matumizi yake.

Mfano wa njia ya "learning" ni mtu yeyote anapojifunza lugha mpya, akili yake inatafakari kila neno na matumizi yake na sababu gani neno fulani litumike mahali fulani, kifupi ni kwamba kujifunza kwa aina hii kunazingatia hoja.

Maprofesa wetu na waalimu wetu wengi wamejifunza/wamepata elimu zao kupitia njia ya "acquisition", kifupi njia hii inalemaza akili kushindwa kuchanganua na kuhoji mambo mtu aliyojifunza, ni katika kuhoji na kuchanganua ndipo uwezo wa akili kufikiri zaidi ya kile ulichojifunza huanza, Maprofesa na Waalimu wetu hawezi kufikiri beyond what they have acquired.

Ili kuepuka huo msiba wa acquisition ni muhimu wapatikane waalimu watakao fundisha wanafunzi kupitia njia ya learning na sio acquisition na hatimaye wapatikane Waalimu na Maprof, watakaoweza kufanya mambo makubwa si kwa Tz au Africa pekee bali kwa dunia yote.

Acquisition perse is worse than Covid-19 & 20.
 
Chanjo ya corona inatengenezwa na egg white, umeshaona hayo ma tray ya mayai kwa siku yanayochezewa kwenye research.

Tray ya mayai bongo bei yake ni sh elfu 6-7 kwa siku watu wanaweza chezea tray 2000 kama million 14 za kitanzania now imagine research labda inachukua miezi sita.

Piga hesabu ya cost 14 m x 180 days.
Yupo huyo supplier reliable wa mayai.
Hathari zake kwa soko la mayai maana Tanzania adverse kidogo tu sokoni ya supply and demand bei hizo zinapaa.
Bado wale ambao wakijua egg york unatupa utumii kwenye research na njaa zao, waanze kulia lia mnachezea chakula.

Tujikite kukuza uchumi kwanza sio kuwaza mambo ambayo mazingira yetu hayapo tayari ku-support ata kama hao scientists tunao.
Kuna mtoto wangu alikuwa anashindwa kusema neno ''kilaza'' anasema ''kilatha''.
Kuna reserch nyingi zilizo kwenye uwezo wetu ni utashi tu. Kutengeneza chanjo hatuwezi na wala hatuna wataalam na uwezo. Hizi chanjo zinazotumika sasa hivi kuna serikali zimemwaga fedha nyingi kufadhili. Lakini bado kuna research nyingi tungeweza kufanya kuhusu huu ugonjwa. Una habari kwa mfano tangu hawa virus wa covid wapambe moto Kenya wanafanya research nyingi tu kuhusu hawa virus? Kwa nini kusiwe na research kwa mfano kuangalia kwa Tanzania ni watu wa aina gani wanaathirika zaidi au pengine kufa wengi? Kwa nini tusiangalie ni mikoa gani imeathirika zaidi na ni kwa nini? Je virus wana-mutate? Haya yote wala hayahitaji uchumi mkubwa ni suala la kuwa na viongozi wenye maono tu na utashi wa kutenga fedha za utafiti. Ila siyo ''kilatha'' kama bwana yule!
 
Kazi kubwa za vyuo vikuu ni tatu:
  • Kuelimisha/kifundisha (teaching)
  • Kuandika vitabu (publication)
  • Kufanya tafiti (Research).
Kati ya kazi hizo tatu research ndiyo huleta maana kubwa sana kwa uwepo wa chuo kikuu chochote mahala popote. Ni sawa na benki, kwa mfano, ina kazi nyingi sana lkn utoaji wa mikopo ndiyo huleta tija na faida zaidi kwa jamii na benki yenyewe..

Nimestushwa na mfululizo wa matamko ya tahadhari dhidi ya korona yanayotolewa na vyuo vikuu hapa nchini kwa jumuiya zao.

Nilitegemea vyuo vikuu hivi viwe vimeshafanya tafiti na kuja na chanjo ya korona badala ya kutupigia kelele bila suluhisho.

Najiuliza maswali mengi kuhusu hivi vuuo vikuu. Hivi kuna wasomi kweli? Ama kuna mkusanyiko wa wahuni wenye vyeti tu? Tija yao nn kwa taifa? Vyuo viku hivi vimeshindwa kushirikiana vikatuletea hata dawa za kufubaza virusi hivi?

Malaria, ukimwi, athma, mafua ni magonjwa ambayo yapo kwa miaka lukuki lkn hivi vuuo vikuu havijagundua hata kidonge!

Sasa navitaka vyuo vikuu hivi kukaa kimya, endeleeni kunywa pombe, kufanya ngono, na kurushiana video za umbea. Mqmbo ya corona waachieni Oxford, Harvard na Berlin universities waizungumzie.

Rubbish!!!
Kwani umesikia serikali imetenga kiasi gani kwa ajili ya utafiti juu ya Covid 19?, hakuna tafiti bila resource next time piga kelele juu ya uwezeshaji kwanza kabla hujashambulia vyuo vikuu
 
Back
Top Bottom