Ni aibu kwa vyuo vikuu hapa nchini kushindwa kugundua chanjo ya Corona na sasa vinashindana kutoa tahadhari

Ni aibu kwa vyuo vikuu hapa nchini kushindwa kugundua chanjo ya Corona na sasa vinashindana kutoa tahadhari

Watagunduaje chanjo ya ugonjwa ambao officially haupo Tz?
 
Kazi kubwa za vyuo vikuu ni tatu:
  • Kuelimisha/kifundisha (teaching)
  • Kuandika vitabu (publication)
  • Kufanya tafiti (Research).
Kati ya kazi hizo tatu research ndiyo huleta maana kubwa sana kwa uwepo wa chuo kikuu chochote mahala popote. Ni sawa na benki, kwa mfano, ina kazi nyingi sana lkn utoaji wa mikopo ndiyo huleta tija na faida zaidi kwa jamii na benki yenyewe..

Nimestushwa na mfululizo wa matamko ya tahadhari dhidi ya korona yanayotolewa na vyuo vikuu hapa nchini kwa jumuiya zao.

Nilitegemea vyuo vikuu hivi viwe vimeshafanya tafiti na kuja na chanjo ya korona badala ya kutupigia kelele bila suluhisho.

Najiuliza maswali mengi kuhusu hivi vuuo vikuu. Hivi kuna wasomi kweli? Ama kuna mkusanyiko wa wahuni wenye vyeti tu? Tija yao nn kwa taifa? Vyuo viku hivi vimeshindwa kushirikiana vikatuletea hata dawa za kufubaza virusi hivi?

Malaria, ukimwi, athma, mafua ni magonjwa ambayo yapo kwa miaka lukuki lkn hivi vuuo vikuu havijagundua hata kidonge!

Sasa navitaka vyuo vikuu hivi kukaa kimya, endeleeni kunywa pombe, kufanya ngono, na kurushiana video za umbea. Mqmbo ya corona waachieni Oxford, Harvard na Berlin universities waizungumzie.

Rubbish!!!
Hivi sexless una matatizo gani na utawala huu au nchi hii.
Maana kuna vyuo vikubwa zaidi ya vyetu lakini nao hawajatoa hiyo dawa
 
Kazi kubwa za vyuo vikuu ni tatu:
  • Kuelimisha/kifundisha (teaching)
  • Kuandika vitabu (publication)
  • Kufanya tafiti (Research).
Kati ya kazi hizo tatu research ndiyo huleta maana kubwa sana kwa uwepo wa chuo kikuu chochote mahala popote. Ni sawa na benki, kwa mfano, ina kazi nyingi sana lkn utoaji wa mikopo ndiyo huleta tija na faida zaidi kwa jamii na benki yenyewe..

Nimestushwa na mfululizo wa matamko ya tahadhari dhidi ya korona yanayotolewa na vyuo vikuu hapa nchini kwa jumuiya zao.

Nilitegemea vyuo vikuu hivi viwe vimeshafanya tafiti na kuja na chanjo ya korona badala ya kutupigia kelele bila suluhisho.

Najiuliza maswali mengi kuhusu hivi vuuo vikuu. Hivi kuna wasomi kweli? Ama kuna mkusanyiko wa wahuni wenye vyeti tu? Tija yao nn kwa taifa? Vyuo viku hivi vimeshindwa kushirikiana vikatuletea hata dawa za kufubaza virusi hivi?

Malaria, ukimwi, athma, mafua ni magonjwa ambayo yapo kwa miaka lukuki lkn hivi vuuo vikuu havijagundua hata kidonge!

Sasa navitaka vyuo vikuu hivi kukaa kimya, endeleeni kunywa pombe, kufanya ngono, na kurushiana video za umbea. Mqmbo ya corona waachieni Oxford, Harvard na Berlin universities waizungumzie.

Rubbish!!!
Hivi sexless una matatizo gani na utawala huu au nchi hii.
Maana kuna vyuo vikubwa zaidi ya vyetu lakini nao hawajatoa hiyo dawa
 
Wakati JIWE anasema hakuna corona ulimwandikia hili bandiko lako au baaada ya kusikia watu wanakufa kama kuku ndo unawageukia maprofesa?
Maprof walikaa kimya wakati kilaza jiwe anasema hakuna korona. Kosa la kwanza kwa maprof hili. Kwann hawakutumia taalima zao kupinga kauli ya kilaza jiwe?
 
Kazi kubwa za vyuo vikuu ni tatu:
  • Kuelimisha/kifundisha (teaching)
  • Kuandika vitabu (publication)
  • Kufanya tafiti (Research).
Kati ya kazi hizo tatu research ndiyo huleta maana kubwa sana kwa uwepo wa chuo kikuu chochote mahala popote. Ni sawa na benki, kwa mfano, ina kazi nyingi sana lkn utoaji wa mikopo ndiyo huleta tija na faida zaidi kwa jamii na benki yenyewe..

Nimestushwa na mfululizo wa matamko ya tahadhari dhidi ya korona yanayotolewa na vyuo vikuu hapa nchini kwa jumuiya zao.

Nilitegemea vyuo vikuu hivi viwe vimeshafanya tafiti na kuja na chanjo ya korona badala ya kutupigia kelele bila suluhisho.

Najiuliza maswali mengi kuhusu hivi vuuo vikuu. Hivi kuna wasomi kweli? Ama kuna mkusanyiko wa wahuni wenye vyeti tu? Tija yao nn kwa taifa? Vyuo viku hivi vimeshindwa kushirikiana vikatuletea hata dawa za kufubaza virusi hivi?

Malaria, ukimwi, athma, mafua ni magonjwa ambayo yapo kwa miaka lukuki lkn hivi vuuo vikuu havijagundua hata kidonge!

Sasa navitaka vyuo vikuu hivi kukaa kimya, endeleeni kunywa pombe, kufanya ngono, na kurushiana video za umbea. Mqmbo ya corona waachieni Oxford, Harvard na Berlin universities waizungumzie.

Rubbish!!!
Yaani akili za waimba mapambio ya kusifu na kuabudu awamu ya tano Ni za ajabu sana Zina operate anticlockwise , akili za Lumumba kijani kibichi yaani hata akili za mbuzi kuvukia barabara hawana , hata akili za kujua ng'ombe anatikisa mkia na sio mkia unatikisa ng'ombe hawana , Paul Freire aliona mbali sana empty head a .k .a tabulalasa .
 
Hata huko unakosikia chanjo zinatafutwa serikali na mashirika makubwa yameweka billions of money
Unafikiri kwann mashirika makubwa hayaweki billions of money kwenye vyuo vikuu vya bongo? Ujuzi kiduchu na janjajqnja kibao. Mtu anajulikana kwa makaratasi tu kuwa ni profesa. Nje ya hapo hana tofauti na Joseph Msukuma Kusheku.
 
Niliweka post mpya nikiuliza
Wale magenius wa TZ wanaopata 1st Upper class wapo wapi?: Serikali iweke mfumo wa kuwatambua na kuwatumia ili waweze kugundua hayo madawa, chanjo nk
Uongozi wa JF ukafuta post yangu???
 
Hivi sexless una matatizo gani na utawala huu au nchi hii.
Maana kuna vyuo vikubwa zaidi ya vyetu lakini nao hawajatoa hiyo dawa
Ghana wamegundua gari lao. South Afrika wana Mambo kibao tu ikiwemo program ya kompyuta iitwayo Ubuntu. Hapa bongo maprof wamekaa kifutuhi futuhi tu. Wengi ni wanaccm wakizengea uteuzi
 
Niliweka post mpya nikiuliza
Wale magenius wa TZ wanaopata 1st Upper class wapo wapi?: Serikali iweke mfumo wa kuwatambua na kuwatumia ili waweze kugundua hayo madawa, chanjo nk
Uongozi wa JF ukafuta post yangu???
Mageius wa bongo hawana kitu mkuu. Hawa ni wazuri wa kumeza na kuhifadhi yaliyogunduliwa na kuhifadhiwa lkn hawana uwezo wa kugundua.
 
Niliweka post mpya nikiuliza
Wale magenius wa TZ wanaopata 1st Upper class wapo wapi?: Serikali iweke mfumo wa kuwatambua na kuwatumia ili waweze kugundua hayo madawa, chanjo nk
Uongozi wa JF ukafuta post yangu???


Irudishe tena hiyo post.
 
Kazi kubwa za vyuo vikuu ni tatu:
  • Kuelimisha/kifundisha (teaching)
  • Kuandika vitabu (publication)
  • Kufanya tafiti (Research).
Kati ya kazi hizo tatu research ndiyo huleta maana kubwa sana kwa uwepo wa chuo kikuu chochote mahala popote. Ni sawa na benki, kwa mfano, ina kazi nyingi sana lkn utoaji wa mikopo ndiyo huleta tija na faida zaidi kwa jamii na benki yenyewe..

Nimestushwa na mfululizo wa matamko ya tahadhari dhidi ya korona yanayotolewa na vyuo vikuu hapa nchini kwa jumuiya zao.

Nilitegemea vyuo vikuu hivi viwe vimeshafanya tafiti na kuja na chanjo ya korona badala ya kutupigia kelele bila suluhisho.

Najiuliza maswali mengi kuhusu hivi vuuo vikuu. Hivi kuna wasomi kweli? Ama kuna mkusanyiko wa wahuni wenye vyeti tu? Tija yao nn kwa taifa? Vyuo viku hivi vimeshindwa kushirikiana vikatuletea hata dawa za kufubaza virusi hivi?

Malaria, ukimwi, athma, mafua ni magonjwa ambayo yapo kwa miaka lukuki lkn hivi vuuo vikuu havijagundua hata kidonge!

Sasa navitaka vyuo vikuu hivi kukaa kimya, endeleeni kunywa pombe, kufanya ngono, na kurushiana video za umbea. Mqmbo ya corona waachieni Oxford, Harvard na Berlin universities waizungumzie.

Rubbish!!!
Hivi sexless una matatizo gani na utawala huu au nchi hii.
Maana kuna vyuo vikubwa zaidi ya vyetu lakini nao hawajatoa hiyo dawa
Ghana wamegundua gari lao. South Afrika wana Mambo kibao tu ikiwemo program ya kompyuta iitwayo Ubuntu. Hapa bongo maprof wamekaa kifutuhi futuhi tu. Wengi ni wanaccm wakizengea uteuzi
kama gari ni kigezo au vitu kama hivyo sisi tuna nyumbu kama unaijua bongo vizuri kweli, na NIMRI haikuanzishwa kimakosa, na tuna other institutions kama ifakara medical research , kuna research ya mambo ya matende, alipokuwa Dr Mwele kabla ya kuwa Mkurugenzi NIMRI etc .
Hilo gari la Ghana linaitwaje.
Basi Ghana watakuwa ahead of Nigeria na Angola etc zenye utajiri wa mafuta.
Ukisema kuhusu hiyo programme ya computer , mbona sisi tunayo G E PAyment system au hilo hajui
 
Mkuu ingia Google. Jina nimelisahau kidogo
Kantanka Automobile

Kantanka Automobile, a Ghana based automotive assembler and manufacturer, was established in 1994 by Kwadwo Safo Kantanka and incorporated as a limited liability company in 2004 to research into the manufacturing of automotive components and their combination with other parts outsourced from component suppliers to form .


Imagetuico.or.tz › pages › tatc-nyumbu

Web results​

TATC-NYUMBU | Ministry of Defence and National Service
TATC was established with a purpose to have a Centre of Excellence to advance Automotive Technology innovations in Tanzania
 
Kantanka Automobile

Kantanka Automobile, a Ghana based automotive assembler and manufacturer, was established in 1994 by Kwadwo Safo Kantanka and incorporated as a limited liability company in 2004 to research into the manufacturing of automotive components and their combination with other parts outsourced from component suppliers to form .


View attachment 1699999tuico.or.tz › pages › tatc-nyumbu

Web results

TATC-NYUMBU | Ministry of Defence and National Service
TATC was established with a purpose to have a Centre of Excellence to advance Automotive Technology innovations in Tanzania
Asante sana mkuu
 
Mnaenda mbali kote huko, chanjo ya covid 19? Hiyo dawa ya mabusha na matende tu zimewashinda sembuse huko?!!watu bwana, bongo kuna wasomi bwana?!!kama usomi wenywewe ndio huo eti alipata alama" A"Zote UDSM!!kwa mawazo hayo kwa taifa zima bora nibaki na ELIMU YANGU YA WATU WAZIMA LANGU
Huna shughuli ya kufanya?
 
Back
Top Bottom