Ni aibu na fedheha kubwa kwa Wana-CCM wa JF kutelekezwa huku Marehemu akiteuliwa!

Ni aibu na fedheha kubwa kwa Wana-CCM wa JF kutelekezwa huku Marehemu akiteuliwa!

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Yaani pamoja na wengine kuipambania CCM humu kwa kiwango hata cha kujidhalilisha, huku mkijitutumua kwa kuweka hata namba zenu za simu ili mkumbukwe, lakini mwisho wa siku mnaishiwa kupewa vocha tu!

Kitendo cha Mamlaka kuteua waliokufa na kuwapuuza nyie mlio hai, Si tu kwamba kimewadhalilisha, bali pia ni uthibitisho kwamba hakuna yeyote katika hao mnawatukuza anayewajua, yaani nyinyi mnajipendekeza tu na mtaendelea kutumikishwa kwa ujira wa fulana na kofia.

Lakini tulishawaonya humu kitambo sana kwamba CCM ina wenyewe, nyie mtatumikishwa lakini vyeo wanapewa jamaa zao, nadhani sasa mmeanza kuelewa, kuna taarifa zimetufikia kwamba mnalia kudharauliwa, sasa mnamlilia nani nyie?

Wala hata siwahurumii Wajinga wakubwa nyie na mabwege kabisa, tumewafundisha sana lakini yanaingilia huku yanatokea kule.

FB_IMG_1575390800494.jpg
 
Yaani pamoja na wengine kuipambania CCM humu kwa kiwango hata cha kujidhalilisha, huku mkijitutumua kwa kuweka hata namba zenu za simu ili mkumbukwe, lakini mwisho wa siku mnaishiwa kupewa vocha tu!

Kitendo cha Mamlaka kuteua waliokufa na kuwapuuza nyie mlio hai, Si tu kwamba kimewadhalilisha, bali pia ni uthibitisho kwamba hakuna yeyote katika hao mnawatukuza anayewajua, yaani nyinyi mnajipendekeza tu na mtaendelea kutumikishwa kwa ujira wa fulana na kofia.

Lakini tulishawaonya humu kitambo sana kwamba CCM ina wenyewe, nyie mtatumikishwa lakini vyeo wanapewa jamaa zao, nadhani sasa mmeanza kuelewa, kuna taarifa zimetufikia kwamba mnalia kudharauliwa, sasa mnamlilia nani nyie?

Wala hata siwahurumii Wajinga wakubwa nyie na mabwege kabisa, tumewafundisha sana lakini yanaingilia huku yanatokea kule.

View attachment 3010859
Cc.
Lucas
Thlatila
 
Hatupo CCM kwa ajili ya kupigania vyeo na madaraka.tupo na nipo CCM kwa sababu nina imani kubwa na CCM,kwa kuwa ni CCM pekee yenye uwezo wa kuliongoza Taifa letu na kulipatia maendeleo. Ninyi CHADEMA kwa akili zenu fupi za kuwaza vyeo ndio maana uchaguzi tu ndani ya chama Chenu unawapasua na kuwasambaratisha,kutokana na uroho na uchu wenu wa madaraka.ndio maana mnapigana hadi ngumu na kurushiana matusi kwa sababu tu ya kung'ang'ania vyeo na madaraka.

Ndani ya CCM hatugawani vyeo bali tunagawana majukumu.ndani ya CCM cheo ni utumishi kwa watu na siyo sehemu ya kujineemesha na kuvimbisha tumbo kwa pesa chafu za ufisadi na rushwa.ndio maana unaona mimi kwa uzalendo wangu na upendo wangu kwa CCM , serikali na Taifa langu naendelea kuchapa kazi na kuisemea serikali yangu,chama changu na kulitetea Taifa langu bila kulipwa wala kununuliwa vocha na mtu yeyote yule.

Sijiulizi CCM itanifayia nini ,bali najiuliza nitaifanyia nini CCM,.sijiulizi Rais wangu Mama Samia Jemedari hodari atanifanyia nini ,bali najiuliza kwa kushirikiana naye na serikali yake tutafanya nini kama Taifa kuhakikisha Taifa letu linasonga mbele kimaendeleo na kugusa maisha ya kila mtanzania. Naangalia kesho iliyo bora kwa watanzania wote na siyo leo yangu bora .Naangalia ustawi wa Taifa letu na watanzania wote na siyo ustawi wangu Mwenyewe. Usipende kuwa na moyo wa ubinafsi kwa kutaka upate wewe tu kila kitu.

Hicho ndicho kinachowaangamiza CHADEMA na kuwasambaratisha kabisa kwa kuwa waroho wa vyeo na madaraka na kuona ni ninyi tu ndio wateule na wenye kustahili kila fursa nzuri muipate ninyi tu.
 
Hatupo CCM kwa ajili ya kupigania vyeo na madaraka.tupo na nipo CCM kwa sababu nina imani kubwa na CCM,kwa kuwa ni CCM pekee yenye uwezo wa kuliongoza Taifa letu na kulipatia maendeleo. Ninyi CHADEMA kwa akili zenu fupi za kuwaza vyeo ndio maana uchaguzi tu ndani ya chama Chenu unawapasua na kuwasambaratisha,kutokana na uroho na uchu wenu wa madaraka.ndio maana mnapigana hadi ngumu na kurushiana matusi kwa sababu tu ya kung'ang'ania vyeo na madaraka.

Ndana ya CCM hatugawani vyeo bali tunagawana majukumu.bdai ya CCM cheo ni utumishi kwa watu na siyo sehemu ya kujineemesha na kuvimbisha tumbo kwa pesa chafu za ufisadi na rushwa.ndio maana unaona mimi kwa uzalt wangu na upendo wangu kwa CCM , serikali na Taifa langu naendelea kuchapa kazi na kuisemea serikali yangu,chama changu na kulitetea Taifa langu bila kulipwa wala kununuliwa vocha na mtu yeyote yule.
Wewe utakuwa umelogwa tu, unakuwaje na Imani na wasiokuamini?
 
Yaani pamoja na wengine kuipambania CCM humu kwa kiwango hata cha kujidhalilisha, huku mkijitutumua kwa kuweka hata namba zenu za simu ili mkumbukwe, lakini mwisho wa siku mnaishiwa kupewa vocha tu!

Kitendo cha Mamlaka kuteua waliokufa na kuwapuuza nyie mlio hai, Si tu kwamba kimewadhalilisha, bali pia ni uthibitisho kwamba hakuna yeyote katika hao mnawatukuza anayewajua, yaani nyinyi mnajipendekeza tu na mtaendelea kutumikishwa kwa ujira wa fulana na kofia.

Lakini tulishawaonya humu kitambo sana kwamba CCM ina wenyewe, nyie mtatumikishwa lakini vyeo wanapewa jamaa zao, nadhani sasa mmeanza kuelewa, kuna taarifa zimetufikia kwamba mnalia kudharauliwa, sasa mnamlilia nani nyie?

Wala hata siwahurumii Wajinga wakubwa nyie na mabwege kabisa, tumewafundisha sana lakini yanaingilia huku yanatokea kule.

View attachment 3010859
Good thinking
 
Yaani pamoja na wengine kuipambania CCM humu kwa kiwango hata cha kujidhalilisha, huku mkijitutumua kwa kuweka hata namba zenu za simu ili mkumbukwe, lakini mwisho wa siku mnaishiwa kupewa vocha tu!

Kitendo cha Mamlaka kuteua waliokufa na kuwapuuza nyie mlio hai, Si tu kwamba kimewadhalilisha, bali pia ni uthibitisho kwamba hakuna yeyote katika hao mnawatukuza anayewajua, yaani nyinyi mnajipendekeza tu na mtaendelea kutumikishwa kwa ujira wa fulana na kofia.

Lakini tulishawaonya humu kitambo sana kwamba CCM ina wenyewe, nyie mtatumikishwa lakini vyeo wanapewa jamaa zao, nadhani sasa mmeanza kuelewa, kuna taarifa zimetufikia kwamba mnalia kudharauliwa, sasa mnamlilia nani nyie?

Wala hata siwahurumii Wajinga wakubwa nyie na mabwege kabisa, tumewafundisha sana lakini yanaingilia huku yanatokea kule.

View attachment 3010859
Mwacheni mwenye bahati yake,huyo huenda kama alikuwa motoni huenda akapunguziwa adhabu au akapata msamaha wa dhambi zake😅.Ila sasa aendelee kulipwa mshahara na marupurupu aliyostahili katika uteuzi wake mpya,ila mpunga uingie akaunti ya familia yake aliyoiacha duniani🫠
 
Yaani pamoja na wengine kuipambania CCM humu kwa kiwango hata cha kujidhalilisha, huku mkijitutumua kwa kuweka hata namba zenu za simu ili mkumbukwe, lakini mwisho wa siku mnaishiwa kupewa vocha tu!

Kitendo cha Mamlaka kuteua waliokufa na kuwapuuza nyie mlio hai, Si tu kwamba kimewadhalilisha, bali pia ni uthibitisho kwamba hakuna yeyote katika hao mnawatukuza anayewajua, yaani nyinyi mnajipendekeza tu na mtaendelea kutumikishwa kwa ujira wa fulana na kofia.

Lakini tulishawaonya humu kitambo sana kwamba CCM ina wenyewe, nyie mtatumikishwa lakini vyeo wanapewa jamaa zao, nadhani sasa mmeanza kuelewa, kuna taarifa zimetufikia kwamba mnalia kudharauliwa, sasa mnamlilia nani nyie?

Wala hata siwahurumii Wajinga wakubwa nyie na mabwege kabisa, tumewafundisha sana lakini yanaingilia huku yanatokea kule.

View attachment 3010859
Ni aibu kweli mkuu . Ila anajua chawa huwa ni vichwa panzi . Huwa wanamsifia sifa ambazo hana .
 
Back
Top Bottom