Ni aibu na fedheha kubwa kwa Wana-CCM wa JF kutelekezwa huku Marehemu akiteuliwa!

Ni aibu na fedheha kubwa kwa Wana-CCM wa JF kutelekezwa huku Marehemu akiteuliwa!

Mambo ni mengi ya kufanya, nadhani unafahamu ila acha nikukumbushe tu, kuna watu wanavibeba vyama vya upinzani na hawajulikani na viongozi wa vyama husika ila wanapambana kuhakikisha upinzani inataka nyoyo na akili za watanzania, ko hali iko hivyo pia kwa wanaccm wapo baadhi yao ni kupiga kampeni bila kutarajia teuzi au ulaji, ingelikuwa ni mpira au michezo basi watu wa namna hiyo tungewaita (die hard fans).
 
Yaani pamoja na wengine kuipambania CCM humu kwa kiwango hata cha kujidhalilisha, huku mkijitutumua kwa kuweka hata namba zenu za simu ili mkumbukwe, lakini mwisho wa siku mnaishiwa kupewa vocha tu!

Kitendo cha Mamlaka kuteua waliokufa na kuwapuuza nyie mlio hai, Si tu kwamba kimewadhalilisha, bali pia ni uthibitisho kwamba hakuna yeyote katika hao mnawatukuza anayewajua, yaani nyinyi mnajipendekeza tu na mtaendelea kutumikishwa kwa ujira wa fulana na kofia.

Lakini tulishawaonya humu kitambo sana kwamba CCM ina wenyewe, nyie mtatumikishwa lakini vyeo wanapewa jamaa zao, nadhani sasa mmeanza kuelewa, kuna taarifa zimetufikia kwamba mnalia kudharauliwa, sasa mnamlilia nani nyie?

Wala hata siwahurumii Wajinga wakubwa nyie na mabwege kabisa, tumewafundisha sana lakini yanaingilia huku yanatokea kule.

View attachment 3010859
Maza amekosa watu wa kuteua mpk anateua marehemu, jitu jinga kama Lucas Mwashambwa unaliteua likafanye kazi gani?
 
Hatupo CCM kwa ajili ya kupigania vyeo na madaraka.tupo na nipo CCM kwa sababu nina imani kubwa na CCM,kwa kuwa ni CCM pekee yenye uwezo wa kuliongoza Taifa letu na kulipatia maendeleo. Ninyi CHADEMA kwa akili zenu fupi za kuwaza vyeo ndio maana uchaguzi tu ndani ya chama Chenu unawapasua na kuwasambaratisha,kutokana na uroho na uchu wenu wa madaraka.ndio maana mnapigana hadi ngumu na kurushiana matusi kwa sababu tu ya kung'ang'ania vyeo na madaraka.

Ndana ya CCM hatugawani vyeo bali tunagawana majukumu.bdai ya CCM cheo ni utumishi kwa watu na siyo sehemu ya kujineemesha na kuvimbisha tumbo kwa pesa chafu za ufisadi na rushwa.ndio maana unaona mimi kwa uzalt wangu na upendo wangu kwa CCM , serikali na Taifa langu naendelea kuchapa kazi na kuisemea serikali yangu,chama changu na kulitetea Taifa langu bila kulipwa wala kununuliwa vocha na mtu yeyote yule.
Acha kujifariji ndugu..

Bila "cheo fulani" huko CCM wewe unakuwa hujawa kwenye mtandao wa ulaji.!

Usitudanganye kuwa, hizi kelele zote, uchawa wowote eti na kuacha namba zako simu kila umalizapo "kunena kwa lugha" eti ni "kufanya jukumu fulani".

Jukumu gani hilo brother Lucas Mwashambwa kama sio kutafuta fursa za kuingia kwenye mfumo wa ulaji wa dhuluma tu?

Usifikiri kuwa hatujui kazi ya chawa nyie ni nini.

Tunajua kuwa, kazi ya Chawa ni kutafuta fursa tu kwa kutumia njia ya umbea, fitna na kwa kuwapaka mafuta kwa mgongo wa chupa (sifa feki, bandia) wale mnaowadhania kuwa ndiyo wameshikilia fursa hizo kuwapa ninyi.

Kwa hiyo, acha kujifariji kaka. Wafu wamepata teuzi, nyie mlio hai mnaopiga domo usiku na mchana kumrushia sifa feki na bandia huyo "nani kama mama" akiwa hata hawajui wala kutambua kuwa mpo.!!
 
Yaani pamoja na wengine kuipambania CCM humu kwa kiwango hata cha kujidhalilisha, huku mkijitutumua kwa kuweka hata namba zenu za simu ili mkumbukwe, lakini mwisho wa siku mnaishiwa kupewa vocha tu!

Kitendo cha Mamlaka kuteua waliokufa na kuwapuuza nyie mlio hai, Si tu kwamba kimewadhalilisha, bali pia ni uthibitisho kwamba hakuna yeyote katika hao mnawatukuza anayewajua, yaani nyinyi mnajipendekeza tu na mtaendelea kutumikishwa kwa ujira wa fulana na kofia.

Lakini tulishawaonya humu kitambo sana kwamba CCM ina wenyewe, nyie mtatumikishwa lakini vyeo wanapewa jamaa zao, nadhani sasa mmeanza kuelewa, kuna taarifa zimetufikia kwamba mnalia kudharauliwa, sasa mnamlilia nani nyie?

Wala hata siwahurumii Wajinga wakubwa nyie na mabwege kabisa, tumewafundisha sana lakini yanaingilia huku yanatokea kule.

View attachment 3010859
Wakiongozwa na Luka mshamba na mwingine anaitwa sijui Tantalila. Wanazidiwa na wafu, wafu wana thamani mbele ya chama cha mambuzi kuliko machawa.
 
Yaani pamoja na wengine kuipambania CCM humu kwa kiwango hata cha kujidhalilisha, huku mkijitutumua kwa kuweka hata namba zenu za simu ili mkumbukwe, lakini mwisho wa siku mnaishiwa kupewa vocha tu!

Kitendo cha Mamlaka kuteua waliokufa na kuwapuuza nyie mlio hai, Si tu kwamba kimewadhalilisha, bali pia ni uthibitisho kwamba hakuna yeyote katika hao mnawatukuza anayewajua, yaani nyinyi mnajipendekeza tu na mtaendelea kutumikishwa kwa ujira wa fulana na kofia.

Lakini tulishawaonya humu kitambo sana kwamba CCM ina wenyewe, nyie mtatumikishwa lakini vyeo wanapewa jamaa zao, nadhani sasa mmeanza kuelewa, kuna taarifa zimetufikia kwamba mnalia kudharauliwa, sasa mnamlilia nani nyie?

Wala hata siwahurumii Wajinga wakubwa nyie na mabwege kabisa, tumewafundisha sana lakini yanaingilia huku yanatokea kule.

View attachment 3010859
Hahahahahaaaaa
 
Mambo ni mengi ya kufanya, nadhani unafahamu ila acha nikukumbushe tu, kuna watu wanavibeba vyama vya upinzani na hawajulikani na viongozi wa vyama husika ila wanapambana kuhakikisha upinzani inataka nyoyo na akili za watanzania, ko hali iko hivyo pia kwa wanaccm wapo baadhi yao ni kupiga kampeni bila kutarajia teuzi au ulaji, ingelikuwa ni mpira au michezo basi watu wa namna hiyo tungewaita (die hard fans).
Lucas huwa anaweka no za cm za nini hapa kama siyo kusaka fursa? CCM kitu cha kwanza kwao ni maslahi, kuwa upinzani nchi hii ni uhaini asee
 
Mambo ni mengi ya kufanya, nadhani unafahamu ila acha nikukumbushe tu, kuna watu wanavibeba vyama vya upinzani na hawajulikani na viongozi wa vyama husika ila wanapambana kuhakikisha upinzani inataka nyoyo na akili za watanzania, ko hali iko hivyo pia kwa wanaccm wapo baadhi yao ni kupiga kampeni bila kutarajia teuzi au ulaji, ingelikuwa ni mpira au michezo basi watu wa namna hiyo tungewaita (die hard fans).
Die hard fans ambao ni invincible huwezi kuwakuta CCM.

Hawa wako huku upinzani hususani CHADEMA chama adui wa CCM namba Moja na watawala kinachoongoza harakati za ukombozi wa pili wa nchi yetu ya Tanganyika toka kwa mkoloni mweusi CCM.

Huko CCM uchawa ambao uko characterized na unafiki, kujipendedeza, uongo, uzushi na kupaka mafuta ya sifa viongozi wenu kwa mgongo wa chupa ndio mpango mzima na ni lazima uufanye waziwazi kama sharti la kulamba uteuzi.

Huwezi kufanya uchawa ukiwa CCM huku ukiwa umejificha nyuma ya pazia. Acha kutudanganya hapa.!!

Unataka kuhakiki hili?

Watazame na waulize hawa nduguzo, ukianza na kujihoji na kujiuliza wewe mwenyewe Chinese blade, kisha nenda kwa hawa chiembe, Lucas Mwashambwa,namna wanavyofanya uchawa wao ktk namna ya kujidhalilisha kwenye social media na mwisho kuacha namba zao za Simu wakitaraji kuambulia chochote kwa ujinga wao kuwa considered na mabwana zenu.!

Cha kusikitisha na kushangaza kumbe hawa jamaa tunawajua humu tu. Huko kwenye chama chao wanajulikana kama "machawa wajinga" wasiostahili kuaminiwa.!

Ooh🤔🤔, pole zao
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Unajua kujifariji ujinga, marehemu kateuliwa wewe umeachwa pamoja kujivua kote huko akili lakini bila bila. So wameona marehemu ni bora kuliko wewe! Hapo ndipo ujue jinsi gani unaonekana huna maana
 
Die hard fans ambao ni invincible huwezi kuwakuta CCM bro. Hawa wako huku upinzani hususani CHADEMA chama adui wa CCM na watawala kinachoongoza harakati za ukombozi wa pili wa nchi yetu ya Tanganyika toka kwa mkoloni mweusi CCM.

Huko CCM uchawa ambao uko characterized na unafiki, kujipendedeza, uongo, uzushi na kupaka mafuta ya sifa viongozi wenu kwa mgongo wa chupa ndio mpango mzima na ni lazima uufanye waziwazi kama sharti la kulamba uteuzi. Huwezi kufanya uchawa ukiwa umejificha, acha kutudanganya hapa.!!

Unataka kuhakiki hili? Watazame na waulize hawa, wewe Chinese blade, chiembe, Lucas Mwashambwa,namna wanavyofanya uchawa wao ktk namna ya kujidhalilisha kwenye social media na mwisho kuacha namba zao za Simu wakitaraji kuambulia chochote kwa ujinga wao kuwa considered na mabwana zenu.!

Cha kusikitisha na kushangaza kumbe hawa jamaa tunawajua humu tu. Huko kwenye chama chao wanajulikana kama "machawa wajinga" wasiostahili kuaminiwa.!

Ooh🤔🤔, pole zao
Hilo ni tatizo kuiongelea nafsi ya mtu kana kwamba mpo pamoja kwenye makusudio!!!
 
Hilo ni tatizo kuiongelea nafsi ya mtu kana kwamba mpo pamoja kwenye makusudio!!!
Tuko pamoja, umekuja mwenyewe humu, ukaanika kilicho moyoni mwako wazi na umejibiwa. Kwa hiyo usijifarague hapa, mko pamoja na waliokujibu!

Maandishi yako hapa yanasomeka vyema, yanajieleza kwa uwazi kabisa

Ungekuwa na kusudio lako binafsi, ungekaa nalo huko mafichoni ulikokuwa kimya kimya kama "invincible die hard fan" wa CCM ukisubiri uteuliwe kimyakimya tu kama ndio lengo lako!
 
Utumishi wa umma haupaswi kuwa kwa wanachama wa chama fulani hasa CCM. Unapaswa uwe kwa watanzania wote wenye uwezo. Ukishaanza kuona mtu anateuliwa kulingana na rangi ya kadi yake ya chama cha siasa usitegemee mazuri. Pia kuteuliwa pia ni tatizo, hizo ni nafasi ambazo mtu anapaswa kuwa na uweledi usio na mashaka hivyo ni bora ziwe zinafanyiwa usaili. Katiba mpya ielekeze hili
 
Back
Top Bottom