Ni aibu na fedheha kubwa kwa Wana-CCM wa JF kutelekezwa huku Marehemu akiteuliwa!

Ni aibu na fedheha kubwa kwa Wana-CCM wa JF kutelekezwa huku Marehemu akiteuliwa!

Hatupo CCM kwa ajili ya kupigania vyeo na madaraka.tupo na nipo CCM kwa sababu nina imani kubwa na CCM,kwa kuwa ni CCM pekee yenye uwezo wa kuliongoza Taifa letu na kulipatia maendeleo. Ninyi CHADEMA kwa akili zenu fupi za kuwaza vyeo ndio maana uchaguzi tu ndani ya chama Chenu unawapasua na kuwasambaratisha,kutokana na uroho na uchu wenu wa madaraka.ndio maana mnapigana hadi ngumu na kurushiana matusi kwa sababu tu ya kung'ang'ania vyeo na madaraka.

Ndani ya CCM hatugawani vyeo bali tunagawana majukumu.ndani ya CCM cheo ni utumishi kwa watu na siyo sehemu ya kujineemesha na kuvimbisha tumbo kwa pesa chafu za ufisadi na rushwa.ndio maana unaona mimi kwa uzalendo wangu na upendo wangu kwa CCM , serikali na Taifa langu naendelea kuchapa kazi na kuisemea serikali yangu,chama changu na kulitetea Taifa langu bila kulipwa wala kununuliwa vocha na mtu yeyote yule.

Sijiulizi CCM itanifayia nini ,bali najiuliza nitaifanyia nini CCM,.sijiulizi Rais wangu Mama Samia Jemedari hodari atanifanyia nini ,bali najiuliza kwa kushirikiana naye na serikali yake tutafanya nini kama Taifa kuhakikisha Taifa letu linasonga mbele kimaendeleo na kugusa maisha ya kila mtanzania. Naangalia kesho iliyo bora kwa watanzania wote na siyo leo yangu bora .Naangalia ustawi wa Taifa letu na watanzania wote na siyo ustawi wangu Mwenyewe. Usipende kuwa na moyo wa ubinafsi kwa kutaka upate wewe tu kila kitu.

Hicho ndicho kinachowaangamiza CHADEMA na kuwasambaratisha kabisa kwa kuwa waroho wa vyeo na madaraka na kuona ni ninyi tu ndio wateule na wenye kustahili kila fursa nzuri muipate ninyi tu.
CCM OYEEEEE 😂
 
Yaani pamoja na wengine kuipambania CCM humu kwa kiwango hata cha kujidhalilisha, huku mkijitutumua kwa kuweka hata namba zenu za simu ili mkumbukwe, lakini mwisho wa siku mnaishiwa kupewa vocha tu!

Kitendo cha Mamlaka kuteua waliokufa na kuwapuuza nyie mlio hai, Si tu kwamba kimewadhalilisha, bali pia ni uthibitisho kwamba hakuna yeyote katika hao mnawatukuza anayewajua, yaani nyinyi mnajipendekeza tu na mtaendelea kutumikishwa kwa ujira wa fulana na kofia.

Lakini tulishawaonya humu kitambo sana kwamba CCM ina wenyewe, nyie mtatumikishwa lakini vyeo wanapewa jamaa zao, nadhani sasa mmeanza kuelewa, kuna taarifa zimetufikia kwamba mnalia kudharauliwa, sasa mnamlilia nani nyie?

Wala hata siwahurumii Wajinga wakubwa nyie na mabwege kabisa, tumewafundisha sana lakini yanaingilia huku yanatokea kule.

View attachment 3010859
Erythrocyte, Sugu anagawa Madera umeshachukuwa lako?
 
Yaani pamoja na wengine kuipambania CCM humu kwa kiwango hata cha kujidhalilisha, huku mkijitutumua kwa kuweka hata namba zenu za simu ili mkumbukwe, lakini mwisho wa siku mnaishiwa kupewa vocha tu!

Kitendo cha Mamlaka kuteua waliokufa na kuwapuuza nyie mlio hai, Si tu kwamba kimewadhalilisha, bali pia ni uthibitisho kwamba hakuna yeyote katika hao mnawatukuza anayewajua, yaani nyinyi mnajipendekeza tu na mtaendelea kutumikishwa kwa ujira wa fulana na kofia.

Lakini tulishawaonya humu kitambo sana kwamba CCM ina wenyewe, nyie mtatumikishwa lakini vyeo wanapewa jamaa zao, nadhani sasa mmeanza kuelewa, kuna taarifa zimetufikia kwamba mnalia kudharauliwa, sasa mnamlilia nani nyie?

Wala hata siwahurumii Wajinga wakubwa nyie na mabwege kabisa, tumewafundisha sana lakini yanaingilia huku yanatokea kule.

View attachment 3010859
MAZA kaona bora marehemu kuliko hao mchwa walio hai hawanamsaada,sasahivi ni mwendo wa ccm kuongozwa toka kuzimuni,hao kina mshamba na tlatlaah waendelee na uanaharakati,ni zamu ya marehemu nao kufaidi keki ya taifa
 
Hatupo CCM kwa ajili ya kupigania vyeo na madaraka.tupo na nipo CCM kwa sababu nina imani kubwa na CCM,kwa kuwa ni CCM pekee yenye uwezo wa kuliongoza Taifa letu na kulipatia maendeleo. Ninyi CHADEMA kwa akili zenu fupi za kuwaza vyeo ndio maana uchaguzi tu ndani ya chama Chenu unawapasua na kuwasambaratisha,kutokana na uroho na uchu wenu wa madaraka.ndio maana mnapigana hadi ngumu na kurushiana matusi kwa sababu tu ya kung'ang'ania vyeo na madaraka.

Ndani ya CCM hatugawani vyeo bali tunagawana majukumu.ndani ya CCM cheo ni utumishi kwa watu na siyo sehemu ya kujineemesha na kuvimbisha tumbo kwa pesa chafu za ufisadi na rushwa.ndio maana unaona mimi kwa uzalendo wangu na upendo wangu kwa CCM , serikali na Taifa langu naendelea kuchapa kazi na kuisemea serikali yangu,chama changu na kulitetea Taifa langu bila kulipwa wala kununuliwa vocha na mtu yeyote yule.

Sijiulizi CCM itanifayia nini ,bali najiuliza nitaifanyia nini CCM,.sijiulizi Rais wangu Mama Samia Jemedari hodari atanifanyia nini ,bali najiuliza kwa kushirikiana naye na serikali yake tutafanya nini kama Taifa kuhakikisha Taifa letu linasonga mbele kimaendeleo na kugusa maisha ya kila mtanzania. Naangalia kesho iliyo bora kwa watanzania wote na siyo leo yangu bora .Naangalia ustawi wa Taifa letu na watanzania wote na siyo ustawi wangu Mwenyewe. Usipende kuwa na moyo wa ubinafsi kwa kutaka upate wewe tu kila kitu.

Hicho ndicho kinachowaangamiza CHADEMA na kuwasambaratisha kabisa kwa kuwa waroho wa vyeo na madaraka na kuona ni ninyi tu ndio wateule na wenye kustahili kila fursa nzuri muipate ninyi tu.
Ha ha ha ha! Kwa hiyo CHADEMA inawahusu nini hii!?! Nadhani umepotoka. Mimi nina mawazo tofauti. Madaraka lazima uonyeshe unayapenda tena hadharani ili usije kuteuliwa kumbe wewe ni marehemu.
 
Die hard fans ambao ni invincible huwezi kuwakuta CCM.

Hawa wako huku upinzani hususani CHADEMA chama adui wa CCM namba Moja na watawala kinachoongoza harakati za ukombozi wa pili wa nchi yetu ya Tanganyika toka kwa mkoloni mweusi CCM.

Huko CCM uchawa ambao uko characterized na unafiki, kujipendedeza, uongo, uzushi na kupaka mafuta ya sifa viongozi wenu kwa mgongo wa chupa ndio mpango mzima na ni lazima uufanye waziwazi kama sharti la kulamba uteuzi.

Huwezi kufanya uchawa ukiwa CCM huku ukiwa umejificha nyuma ya pazia. Acha kutudanganya hapa.!!

Unataka kuhakiki hili?

Watazame na waulize hawa nduguzo, ukianza na kujihoji na kujiuliza wewe mwenyewe Chinese blade, kisha nenda kwa hawa chiembe, Lucas Mwashambwa,namna wanavyofanya uchawa wao ktk namna ya kujidhalilisha kwenye social media na mwisho kuacha namba zao za Simu wakitaraji kuambulia chochote kwa ujinga wao kuwa considered na mabwana zenu.!

Cha kusikitisha na kushangaza kumbe hawa jamaa tunawajua humu tu. Huko kwenye chama chao wanajulikana kama "machawa wajinga" wasiostahili kuaminiwa.!

Ooh🤔🤔, pole zao
Umamaliza kila kitu
 
Hawa CCM waliopo humu wanaojua kuanzisha nyuzi kila dakika hawana sifa za kuteuliwa katika nafasi za uongozi na wala wazazi wao hawajulikani popote.

Wao waendelea kupoteza muda na bando zao kusifia chama chao.
 
Hatupo CCM kwa ajili ya kupigania vyeo na madaraka.tupo na nipo CCM kwa sababu nina imani kubwa na CCM,kwa kuwa ni CCM pekee yenye uwezo wa kuliongoza Taifa letu na kulipatia maendeleo. Ninyi CHADEMA kwa akili zenu fupi za kuwaza vyeo ndio maana uchaguzi tu ndani ya chama Chenu unawapasua na kuwasambaratisha,kutokana na uroho na uchu wenu wa madaraka.ndio maana mnapigana hadi ngumu na kurushiana matusi kwa sababu tu ya kung'ang'ania vyeo na madaraka.

Ndani ya CCM hatugawani vyeo bali tunagawana majukumu.ndani ya CCM cheo ni utumishi kwa watu na siyo sehemu ya kujineemesha na kuvimbisha tumbo kwa pesa chafu za ufisadi na rushwa.ndio maana unaona mimi kwa uzalendo wangu na upendo wangu kwa CCM , serikali na Taifa langu naendelea kuchapa kazi na kuisemea serikali yangu,chama changu na kulitetea Taifa langu bila kulipwa wala kununuliwa vocha na mtu yeyote yule.

Sijiulizi CCM itanifayia nini ,bali najiuliza nitaifanyia nini CCM,.sijiulizi Rais wangu Mama Samia Jemedari hodari atanifanyia nini ,bali najiuliza kwa kushirikiana naye na serikali yake tutafanya nini kama Taifa kuhakikisha Taifa letu linasonga mbele kimaendeleo na kugusa maisha ya kila mtanzania. Naangalia kesho iliyo bora kwa watanzania wote na siyo leo yangu bora .Naangalia ustawi wa Taifa letu na watanzania wote na siyo ustawi wangu Mwenyewe. Usipende kuwa na moyo wa ubinafsi kwa kutaka upate wewe tu kila kitu.

Hicho ndicho kinachowaangamiza CHADEMA na kuwasambaratisha kabisa kwa kuwa waroho wa vyeo na madaraka na kuona ni ninyi tu ndio wateule na wenye kustahili kila fursa nzuri muipate ninyi tu.
Nani yuko ndani ya ccm kwa kuwatumikia wananchi?mbona wakati wa mwamba JPm wote mlifyata mikoa na mkaa za kumchafua kama ni kweli mko kwa ajili ya wananchi?mbona hamkumwunga mkono badala yake mlimtenga?ccm ni kichaka cha wezi kama vilivyo vichaka vingine.
 
Hiyo siyo haki hata kidogo,mtu kama mwanetu kabisa Lucas mwashambwa hadi ameota kibiongo kupinda mgongo kuipigia debe CCM humu tena na namba za simu anaweka kabisa lakini eti hawamuoni lakini macho yao yanamuona marehemu
 
Yaani pamoja na wengine kuipambania CCM humu kwa kiwango hata cha kujidhalilisha, huku mkijitutumua kwa kuweka hata namba zenu za simu ili mkumbukwe, lakini mwisho wa siku mnaishiwa kupewa vocha tu!

Kitendo cha Mamlaka kuteua waliokufa na kuwapuuza nyie mlio hai, Si tu kwamba kimewadhalilisha, bali pia ni uthibitisho kwamba hakuna yeyote katika hao mnawatukuza anayewajua, yaani nyinyi mnajipendekeza tu na mtaendelea kutumikishwa kwa ujira wa fulana na kofia.

Lakini tulishawaonya humu kitambo sana kwamba CCM ina wenyewe, nyie mtatumikishwa lakini vyeo wanapewa jamaa zao, nadhani sasa mmeanza kuelewa, kuna taarifa zimetufikia kwamba mnalia kudharauliwa, sasa mnamlilia nani nyie?

Wala hata siwahurumii Wajinga wakubwa nyie na mabwege kabisa, tumewafundisha sana lakini yanaingilia huku yanatokea kule.

View attachment 3010859
Hakunaga anayetelekezwa mfano Mshana Jr na Daudi Mchambuzi walishalamba Teuzi kitambo tu
 
Yaani pamoja na wengine kuipambania CCM humu kwa kiwango hata cha kujidhalilisha, huku mkijitutumua kwa kuweka hata namba zenu za simu ili mkumbukwe, lakini mwisho wa siku mnaishiwa kupewa vocha tu!

Kitendo cha Mamlaka kuteua waliokufa na kuwapuuza nyie mlio hai, Si tu kwamba kimewadhalilisha, bali pia ni uthibitisho kwamba hakuna yeyote katika hao mnawatukuza anayewajua, yaani nyinyi mnajipendekeza tu na mtaendelea kutumikishwa kwa ujira wa fulana na kofia.

Lakini tulishawaonya humu kitambo sana kwamba CCM ina wenyewe, nyie mtatumikishwa lakini vyeo wanapewa jamaa zao, nadhani sasa mmeanza kuelewa, kuna taarifa zimetufikia kwamba mnalia kudharauliwa, sasa mnamlilia nani nyie?

Wala hata siwahurumii Wajinga wakubwa nyie na mabwege kabisa, tumewafundisha sana lakini yanaingilia huku yanatokea kule.

View attachment 3010859
Sasa mbona wajikanganya , unawakandia watendaji, watendewa au watanzania kwa ujumla?
Halafu huna jibu la kutueleza kuwa nini kifanyike!
 
Back
Top Bottom