Kitimoto
JF-Expert Member
- Aug 25, 2012
- 6,941
- 7,808
Akili zako ziko vizuri kweli?Yanga kesho watapangiwa timu ya kuanza nayo preliminary round, wakati wanaume zao Simba watasubiri second round.
Kudadadeki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili zako ziko vizuri kweli?Yanga kesho watapangiwa timu ya kuanza nayo preliminary round, wakati wanaume zao Simba watasubiri second round.
Kudadadeki
Sio tyuu kufika, na ubingwa tunachukuaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Champion ligi Yanga kafika robo uliyokuwa unajifichia.
Sasa na wewe ufike final huko uliko mtani.
We si mkubwa.
Pambana Sasa uwanjani na sio social media
Ila wewe unasemaje kuhusu hilo kombe?🤣🤣 Pia nasikia likitakwa kufutwaKwa mujibu wa kichaa wenu mnaemfuga hapo utopoloni manara...aliwadhalilisha sana...inamaana hata zile medali mlizopata ni za ki luza 😀😀😀😀
Ni kweli kwa sababu nakujibu kwa hoja na niko tayari kubishana nawe...Wachambuzi wa mpira Tanzania ni wa hovyo sana, hakuna hata anayejuwa mpira.Unalitendea haki jina lako
Likifutwa ni sawa tuu..ss tuna letu la AFLIla wewe unasemaje kuhusu hilo kombe?🤣🤣 Pia nasikia likitakwa kufutwa
Kuanza siyo hoja ila atamalizaje? Atavuka hatua atakayoanzia? Atacheka na kufurahi zaidi yule atakaemaliza hatua ya juu kabisa!!Simba kwa michuano yoyote ya vilabu ingeanzia raundi ya pili. Nafasi ya tano Afrika sio ya kitoto
Michuano ya CAF ni ya CAF tu b... hizo zingine ni mbwembwe tu.Aaaah, tafadhali b… weka mambo sawasawa kwamba ni michuano ya Shirikisho Afrika (CAFCC), michuano ya CAF iko mingi.
Hakuna kujificha kwenye kichaka cha CAF. Lols
Nimecheka sana, unadhani nimesahau dhihaka zako juu yetu kwenye michuano mliyopo ya Shirikisho?Michuano ya CAF ni ya CAF tu b... hizo zingine ni mbwembwe tu.
Ova
Hakuna timu kubwa inacheza shirikishosisi ni wakubwa nyie pimbi.
Lol! Labda niliandika nikiwa nimelewa b... ila katika fahamu zangu siwezi kuyasema vibaya mashindano yoyote ya CAF. Kwa kuwa yote ni makubwa.Nimecheka sana, unadhani nimesahau dhihaka zako juu yetu kwenye michuano mliyopo ya Shirikisho?
Ngoja siku nipate muda niitafute ile post, usiende kuifuta sasa. Naikumbuka neno kwa neno!
We si umeona unaanzia na level zako Vitali ya 🇧🇮 BurundiHakuna timu kubwa inacheza shirikisho
Kwenye mashindano gani?We si umeona unaanzia na level zako Vitali ya 🇧🇮 Burundi
LOSERS.Nakumbuka ulisema kule ni LOOSERS sjajua Hili Bado unakubaliana nalo.
Kumbe hujui timu yako inaanzia hatua ya chekechea na nani?Kwenye mashindano gani?
Hata club bingwa kwa point zetu huwa hatuanzi preliminary stageHiyo 2nd round Simba wanasubiria kwenye michuano gani mkuu? Nasubiri jibu hapa.
Ulitaka Yanga wajiwekee utarayibu wao na watakavyo wao? Au mimi ndiye sijakuelewa?Yanga kesho watapangiwa timu ya kuanza nayo preliminary round, wakati wanaume zao Simba watasubiri second round.
Kudadadeki
Hivi mlipocheza na Nyasa big bullet msimu wa 2022/2023 ile sio preliminary stage? Au mnajisaulishaHata club bingwa kwa point zetu huwa hatuanzi preliminary stage
Sanamu la Rage hawataki kulijenga ila ni muhimu sana ili kuweka mambo sawa. Mashabiki wa Simba asilimia kubwa ni zero brain, timu ni mbovu ila hawaoni, usajili mbovu ila hawaoni, timu iko ndondo cup ila hawaoni!Hakuna timu kubwa inacheza shirikisho
Kwenye mashindano gani sema kwa sauti bila kuliaKumbe hujui timu yako inaanzia hatua ya chekechea na nani?