Ni Aibu na Fedheha kubwa sana kwa CHADEMA Nzima kushindwa kumpatia Gari la Ofisi Makamu Mwenyekiti wake Mpaka anaamua kutumia la kukodi

Ni Aibu na Fedheha kubwa sana kwa CHADEMA Nzima kushindwa kumpatia Gari la Ofisi Makamu Mwenyekiti wake Mpaka anaamua kutumia la kukodi

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Inasikitisha sana,ni aibu kubwa ,inafedhehesha,inaleta maswali mengi sana juu ya umakini na akili za chama hiki cha CHADEMA. Hii ni baada ya kusikika kwa taarifa kuwa Lissu alikuwa hana gari la kutumia katika shughuli za chama, na kwamba gari alilokuwa akitumia lilikuwa ni gari la kukodi ambalo lilikuwa likikodiwa kwa gharama kubwa sana. Na kwamba sasa imeanzishwa kampeni na harambee mitandaoni ya kuomba watu wamchangie pesa ili aweze kununua gari mpya.

Swali nalojiuliza mimi Mwashambwa ni kuwa ina maana CHADEMA ilishindwa kumpatia gari makamu mwenyekiti wake? CHADEMA katika mamilioni kwa mamilioni iliyopokea na ambayo imekuwa ikiyapata kama Ruzuku ilishindwa na imeshindwa kununua gari rasmi kwa ajili ya ofisi ya makamu Mwenyekiti wa chama Taifa? Sasa ofisi inaendeshwaje na kujiendesha vipi?

Majuzi juzi tu hapa si chama kilipokea Billion 2 na millioni mia saba? Pesa zote hizo kimepeleka wapi ikiwa hata tu gari la kumsaidia makamu wake kufanyia ziara na shughuli za chama imeshindikana kununuliwa? Hivi CHADEMA kwanini inaendeshwa kijanja janja kiasi hiki? Kwanini chama kinakosa ,mipango, mikakati na vipaombele? Kwanini chama hakijiweki katika mazingira na taswira ya chama kikuu cha upinzani na chenye viongozi wenye maono? Kwanini chama kinakuwa kama kinaongozwa na vipofu na kwenda mzobemzobe.

Hii ndio maana kuna wakati unakuta viongozi wakuu wake wamekwenda mahali kufanya ziara za kichama , halafu unasikia taarifa kuwa wanakosa mahali pa kulala kwa kisingizio kuwa eti vyumba vyote vya kulala wageni vilikuwa vimelipiwa na kuchukuliwa na watu au mtu ambaye wanasema ni adui wao kisiasa. Swali unalojiuliza ina maana chama na viongozi wake huwa wanashindwa kujuwa na kuweka mipango na mikakati mapema ya walau hata wiki moja nyuma kuwa ni wapi viongozi wake wakuu ngazi ya Taifa watalala na kufikia na kufanyia vikao vya ndani na siri? Au wao wakimaliza mikutano na kushuka jukwaani ndio wanaanza kupuyanga mitaani kutafuta vyumba vya kulala viongozi wao?

CHADEMA inatia aibu kubwa sana tena sana. Hii ndio sababu hata ukienda mikoani unakuta chama hakina hata ofisi wala pagala lililojengwa kwa ajili ya kuja kuwa ofisi. Ukiwauliza utasikia sisi tunajenga na tumejenga ofisi zetu mioyoni mwa watanzania. Kana kwamba huko mioyoni ndiko watafanyia vikao vyao,kutolea kadi za chama,kufanyia na kupanga mikakati ,kukutania kuweka misimamo ya kichama na mambo mengine mengi. CHADEMA ni chama ambacho kimekaa kizembe kizembe tu muda wote. Ni chama ambacho hakina utayari wala maandalizi ya chochote na hakiwezi kikaweka mipango hata ya nusu mwaka mbele. Ndio maana hakinaga ajenda na sera ya kueleweka kinayoisimamia zaidi ya kurukia matukio yanayojitokeza na yanayopita kama mvuke.

Naweka kalamu yangu chini na kuishia hapa kwa leo. Ila nimesikia watu mitaani pia wanauliza kuwa ina maana Lissu hakukatia Bima Gari lake? Kama kuna mwenye Elimu zaidi ya suala hili la Bima anaweza eleza hapa ili niwajibu huku mitaani.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Inasikitisha sana,ni aibu kubwa ,inafedhehesha,inaleta maswali mengi sana juu ya umakini na akili za chama hiki cha

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Achana na ya CHADEMA mbona walimu walipochangia mwenyekiti wenu fedha ya fomu hukusema acha wenye uchungu tuchange....au wewe ndo ulimshambulia.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Inasikitisha sana,ni aibu kubwa ,inafedhehesha,inaleta maswali mengi sana juu ya umakini na akili za chama hiki cha CHADEMA. Hii ni baada ya kusikika kwa taarifa kuwa Lissu alikuwa hana gari la kutumia katika shughuli za chama, na

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kazana kunywa dawa mwezi unaandama huo
 
Ndugu zangu Watanzania,

Inasikitisha sana,ni aibu kubwa ,inafedhehesha,inaleta maswali mengi sana juu ya umakini na akili za chama hiki cha endelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kwani wewe hutaki pesa, mkodishie lako,ila tu na roho yako hiyo,upotayari kupoteza na gari lako,ukamilishe ile kazi ya mawakala wa shetani iliyoshindwa😁
 
Ndugu zangu Watanzania,

Inasikitisha sana,ni aibu kubwa ,inafedhehesha,inaleta maswali mengi sana juu ya umakini na akili za chama hiki cha CHADEMA. Hii ni baada ya kusikika kwa taarifa kuwa Lissu alikuwa hana gari la kutumia katika shughuli za chama, na kwamba gari alilokuwa akitumia lilikuwa ni gari la kukodi ambalo lilikuwa likikodiwa kwa gharama kubwa sana. Na kwamba sasa imeanzishwa kampeni na harambee mitandaoni ya kuomba watu wamchangie pesa ili aweze kununua gari mpya.

Swali nalojiuliza mimi Mwashambwa ni kuwa ina maana CHADEMA ilishindwa kumpatia gari makamu mwenyekiti wake? CHADEMA katika mamilioni kwa mamilioni iliyopokea na ambayo imekuwa ikiyapata kama Ruzuku ilishindwa na imeshindwa kununua gari rasmi kwa ajili ya ofisi ya makamu Mwenyekiti wa chama Taifa? Sasa ofisi inaendeshwaje na kujiendesha vipi?

Majuzi juzi tu hapa si chama kilipokea Billion 2 na millioni mia saba? Pesa zote hizo kimepeleka wapi ikiwa hata tu gari la kumsaidia makamu wake kufanyia ziara na shughuli za chama imeshindikana kununuliwa? Hivi CHADEMA kwanini inaendeshwa kijanja janja kiasi hiki? Kwanini chama kinakosa ,mipango, mikakati na vipaombele? Kwanini chama hakijiweki katika mazingira na taswira ya chama kikuu cha upinzani na chenye viongozi wenye maono? Kwanini chama kinakuwa kama kinaongozwa na vipofu na kwenda mzobemzobe.

Hii ndio maana kuna wakati unakuta viongozi wakuu wake wamekwenda mahali kufanya ziara za kichama , halafu unasikia taarifa kuwa wanakosa mahali pa kulala kwa kisingizio kuwa eti vyumba vyote vya kulala wageni vilikuwa vimelipiwa na kuchukuliwa na watu au mtu ambaye wanasema ni adui wao kisiasa. Swali unalojiuliza ina maana chama na viongozi wake huwa wanashindwa kujuwa na kuweka mipango na mikakati mapema ya walau hata wiki moja nyuma kuwa ni wapi viongozi wake wakuu ngazi ya Taifa watalala na kufikia na kufanyia vikao vya ndani na siri? Au wao wakimaliza mikutano na kushuka jukwaani ndio wanaanza kupuyanga mitaani kutafuta vyumba vya kulala viongozi wao?

CHADEMA inatia aibu kubwa sana tena sana. Hii ndio sababu hata ukienda mikoani unakuta chama hakina hata ofisi wala pagala lililojengwa kwa ajili ya kuja kuwa ofisi. Ukiwauliza utasikia sisi tunajenga na tumejenga ofisi zetu mioyoni mwa watanzania. Kana kwamba huko mioyoni ndiko watafanyia vikao vyao,kutolea kadi za chama,kufanyia na kupanga mikakati ,kukutania kuweka misimamo ya kichama na mambo mengine mengi. CHADEMA ni chama ambacho kimekaa kizembe kizembe tu muda wote. Ni chama ambacho hakina utayari wala maandalizi ya chochote na hakiwezi kikaweka mipango hata ya nusu mwaka mbele. Ndio maana hakinaga ajenda na sera ya kueleweka kinayoisimamia zaidi ya kurukia matukio yanayojitokeza na yanayopita kama mvuke.

Naweka kalamu yangu chini na kuishia hapa kwa leo. Ila nimesikia watu mitaani pia wanauliza kuwa ina maana Lissu hakukatia Bima Gari lake? Kama kuna mwenye Elimu zaidi ya suala hili la Bima anaweza eleza hapa ili niwajibu huku mitaani.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Nadhani kwenye hili tuwaachie Wanachama wa Chama chao na Raia wengine watakaoguswa na Sisi huku Wengine tuendelee kumchangia hela za Fomu Mama yetu Kipenzi cha Watanzania.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Inasikitisha sana,ni aibu kubwa ,inafedhehesha,inaleta maswali mengi sana juu ya umakini na akili za chama hiki cha CHADEMA. Hii ni baada ya kusikika kwa taarifa kuwa Lissu alikuwa hana gari la kutumia katika shughuli za chama, na kwamba gari alilokuwa akitumia lilikuwa ni gari la kukodi ambalo lilikuwa likikodiwa kwa gharama kubwa sana. Na kwamba sasa imeanzishwa kampeni na harambee mitandaoni ya kuomba watu wamchangie pesa ili aweze kununua gari mpya.

Swali nalojiuliza mimi Mwashambwa ni kuwa ina maana CHADEMA ilishindwa kumpatia gari makamu mwenyekiti wake? CHADEMA katika mamilioni kwa mamilioni iliyopokea na ambayo imekuwa ikiyapata kama Ruzuku ilishindwa na imeshindwa kununua gari rasmi kwa ajili ya ofisi ya makamu Mwenyekiti wa chama Taifa? Sasa ofisi inaendeshwaje na kujiendesha vipi?

Majuzi juzi tu hapa si chama kilipokea Billion 2 na millioni mia saba? Pesa zote hizo kimepeleka wapi ikiwa hata tu gari la kumsaidia makamu wake kufanyia ziara na shughuli za chama imeshindikana kununuliwa? Hivi CHADEMA kwanini inaendeshwa kijanja janja kiasi hiki? Kwanini chama kinakosa ,mipango, mikakati na vipaombele? Kwanini chama hakijiweki katika mazingira na taswira ya chama kikuu cha upinzani na chenye viongozi wenye maono? Kwanini chama kinakuwa kama kinaongozwa na vipofu na kwenda mzobemzobe.

Hii ndio maana kuna wakati unakuta viongozi wakuu wake wamekwenda mahali kufanya ziara za kichama , halafu unasikia taarifa kuwa wanakosa mahali pa kulala kwa kisingizio kuwa eti vyumba vyote vya kulala wageni vilikuwa vimelipiwa na kuchukuliwa na watu au mtu ambaye wanasema ni adui wao kisiasa. Swali unalojiuliza ina maana chama na viongozi wake huwa wanashindwa kujuwa na kuweka mipango na mikakati mapema ya walau hata wiki moja nyuma kuwa ni wapi viongozi wake wakuu ngazi ya Taifa watalala na kufikia na kufanyia vikao vya ndani na siri? Au wao wakimaliza mikutano na kushuka jukwaani ndio wanaanza kupuyanga mitaani kutafuta vyumba vya kulala viongozi wao?

CHADEMA inatia aibu kubwa sana tena sana. Hii ndio sababu hata ukienda mikoani unakuta chama hakina hata ofisi wala pagala lililojengwa kwa ajili ya kuja kuwa ofisi. Ukiwauliza utasikia sisi tunajenga na tumejenga ofisi zetu mioyoni mwa watanzania. Kana kwamba huko mioyoni ndiko watafanyia vikao vyao,kutolea kadi za chama,kufanyia na kupanga mikakati ,kukutania kuweka misimamo ya kichama na mambo mengine mengi. CHADEMA ni chama ambacho kimekaa kizembe kizembe tu muda wote. Ni chama ambacho hakina utayari wala maandalizi ya chochote na hakiwezi kikaweka mipango hata ya nusu mwaka mbele. Ndio maana hakinaga ajenda na sera ya kueleweka kinayoisimamia zaidi ya kurukia matukio yanayojitokeza na yanayopita kama mvuke.

Naweka kalamu yangu chini na kuishia hapa kwa leo. Ila nimesikia watu mitaani pia wanauliza kuwa ina maana Lissu hakukatia Bima Gari lake? Kama kuna mwenye Elimu zaidi ya suala hili la Bima anaweza eleza hapa ili niwajibu huku mitaani.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kubwajinga
 
Ndugu zangu Watanzania,

Inasikitisha sana,ni aibu kubwa ,inafedhehesha,inaleta maswali mengi sana juu ya umakini na akili za chama hiki cha CHADEMA. Hii ni baada ya kusikika kwa taarifa kuwa Lissu alikuwa hana gari la kutumia katika shughuli za chama, na kwamba gari alilokuwa akitumia lilikuwa ni gari la kukodi ambalo lilikuwa likikodiwa kwa gharama kubwa sana. Na kwamba sasa imeanzishwa kampeni na harambee mitandaoni ya kuomba watu wamchangie pesa ili aweze kununua gari mpya.

Swali nalojiuliza mimi Mwashambwa ni kuwa ina maana CHADEMA ilishindwa kumpatia gari makamu mwenyekiti wake? CHADEMA katika mamilioni kwa mamilioni iliyopokea na ambayo imekuwa ikiyapata kama Ruzuku ilishindwa na imeshindwa kununua gari rasmi kwa ajili ya ofisi ya makamu Mwenyekiti wa chama Taifa? Sasa ofisi inaendeshwaje na kujiendesha vipi?

Majuzi juzi tu hapa si chama kilipokea Billion 2 na millioni mia saba? Pesa zote hizo kimepeleka wapi ikiwa hata tu gari la kumsaidia makamu wake kufanyia ziara na shughuli za chama imeshindikana kununuliwa? Hivi CHADEMA kwanini inaendeshwa kijanja janja kiasi hiki? Kwanini chama kinakosa ,mipango, mikakati na vipaombele? Kwanini chama hakijiweki katika mazingira na taswira ya chama kikuu cha upinzani na chenye viongozi wenye maono? Kwanini chama kinakuwa kama kinaongozwa na vipofu na kwenda mzobemzobe.

Hii ndio maana kuna wakati unakuta viongozi wakuu wake wamekwenda mahali kufanya ziara za kichama , halafu unasikia taarifa kuwa wanakosa mahali pa kulala kwa kisingizio kuwa eti vyumba vyote vya kulala wageni vilikuwa vimelipiwa na kuchukuliwa na watu au mtu ambaye wanasema ni adui wao kisiasa. Swali unalojiuliza ina maana chama na viongozi wake huwa wanashindwa kujuwa na kuweka mipango na mikakati mapema ya walau hata wiki moja nyuma kuwa ni wapi viongozi wake wakuu ngazi ya Taifa watalala na kufikia na kufanyia vikao vya ndani na siri? Au wao wakimaliza mikutano na kushuka jukwaani ndio wanaanza kupuyanga mitaani kutafuta vyumba vya kulala viongozi wao?

CHADEMA inatia aibu kubwa sana tena sana. Hii ndio sababu hata ukienda mikoani unakuta chama hakina hata ofisi wala pagala lililojengwa kwa ajili ya kuja kuwa ofisi. Ukiwauliza utasikia sisi tunajenga na tumejenga ofisi zetu mioyoni mwa watanzania. Kana kwamba huko mioyoni ndiko watafanyia vikao vyao,kutolea kadi za chama,kufanyia na kupanga mikakati ,kukutania kuweka misimamo ya kichama na mambo mengine mengi. CHADEMA ni chama ambacho kimekaa kizembe kizembe tu muda wote. Ni chama ambacho hakina utayari wala maandalizi ya chochote na hakiwezi kikaweka mipango hata ya nusu mwaka mbele. Ndio maana hakinaga ajenda na sera ya kueleweka kinayoisimamia zaidi ya kurukia matukio yanayojitokeza na yanayopita kama mvuke.

Naweka kalamu yangu chini na kuishia hapa kwa leo. Ila nimesikia watu mitaani pia wanauliza kuwa ina maana Lissu hakukatia Bima Gari lake? Kama kuna mwenye Elimu zaidi ya suala hili la Bima anaweza eleza hapa ili niwajibu huku mitaani.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Asante saana kwa kufuatilia shughuli za CHADEMA .YOU ARE PROMOTING THEM IN ONE WAY OR ANOTHER. KEEP IT UP.
 
Lucas Mwashamba hutapata cheo chochote vetting ilikwisha kutema zamani
 
Ndugu zangu Watanzania,

Inasikitisha sana,ni aibu kubwa ,inafedhehesha,inaleta maswali mengi sana juu ya umakini na akili za chama hiki cha CHADEMA. Hii ni baada ya kusikika kwa taarifa kuwa Lissu alikuwa hana gari la kutumia katika shughuli za chama, na kwamba gari alilokuwa akitumia lilikuwa ni gari la kukodi ambalo lilikuwa likikodiwa kwa gharama kubwa sana. Na kwamba sasa imeanzishwa kampeni na harambee mitandaoni ya kuomba watu wamchangie pesa ili aweze kununua gari mpya.

Swali nalojiuliza mimi Mwashambwa ni kuwa ina maana CHADEMA ilishindwa kumpatia gari makamu mwenyekiti wake? CHADEMA katika mamilioni kwa mamilioni iliyopokea na ambayo imekuwa ikiyapata kama Ruzuku ilishindwa na imeshindwa kununua gari rasmi kwa ajili ya ofisi ya makamu Mwenyekiti wa chama Taifa? Sasa ofisi inaendeshwaje na kujiendesha vipi?

Majuzi juzi tu hapa si chama kilipokea Billion 2 na millioni mia saba? Pesa zote hizo kimepeleka wapi ikiwa hata tu gari la kumsaidia makamu wake kufanyia ziara na shughuli za chama imeshindikana kununuliwa? Hivi CHADEMA kwanini inaendeshwa kijanja janja kiasi hiki? Kwanini chama kinakosa ,mipango, mikakati na vipaombele? Kwanini chama hakijiweki katika mazingira na taswira ya chama kikuu cha upinzani na chenye viongozi wenye maono? Kwanini chama kinakuwa kama kinaongozwa na vipofu na kwenda mzobemzobe.

Hii ndio maana kuna wakati unakuta viongozi wakuu wake wamekwenda mahali kufanya ziara za kichama , halafu unasikia taarifa kuwa wanakosa mahali pa kulala kwa kisingizio kuwa eti vyumba vyote vya kulala wageni vilikuwa vimelipiwa na kuchukuliwa na watu au mtu ambaye wanasema ni adui wao kisiasa. Swali unalojiuliza ina maana chama na viongozi wake huwa wanashindwa kujuwa na kuweka mipango na mikakati mapema ya walau hata wiki moja nyuma kuwa ni wapi viongozi wake wakuu ngazi ya Taifa watalala na kufikia na kufanyia vikao vya ndani na siri? Au wao wakimaliza mikutano na kushuka jukwaani ndio wanaanza kupuyanga mitaani kutafuta vyumba vya kulala viongozi wao?

CHADEMA inatia aibu kubwa sana tena sana. Hii ndio sababu hata ukienda mikoani unakuta chama hakina hata ofisi wala pagala lililojengwa kwa ajili ya kuja kuwa ofisi. Ukiwauliza utasikia sisi tunajenga na tumejenga ofisi zetu mioyoni mwa watanzania. Kana kwamba huko mioyoni ndiko watafanyia vikao vyao,kutolea kadi za chama,kufanyia na kupanga mikakati ,kukutania kuweka misimamo ya kichama na mambo mengine mengi. CHADEMA ni chama ambacho kimekaa kizembe kizembe tu muda wote. Ni chama ambacho hakina utayari wala maandalizi ya chochote na hakiwezi kikaweka mipango hata ya nusu mwaka mbele. Ndio maana hakinaga ajenda na sera ya kueleweka kinayoisimamia zaidi ya kurukia matukio yanayojitokeza na yanayopita kama mvuke.

Naweka kalamu yangu chini na kuishia hapa kwa leo. Ila nimesikia watu mitaani pia wanauliza kuwa ina maana Lissu hakukatia Bima Gari lake? Kama kuna mwenye Elimu zaidi ya suala hili la Bima anaweza eleza hapa ili niwajibu huku mitaani.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.


Hapo mwisho umeharibu mana umeleta habari za mama kuonyesha wazi kuwa umejawa na uCCM na uchawa kwenye mambo yanayohusu Taifa la Tanzania hasa Tanganyika iliyopoteza uhuru wake mwaka 1977 na kuvamiwa yena na wageni mpaka sasa Tanganyika inatawaliwa na Rais toka nchini Oman kupitia Zanzibar.
Huyo Rais hana sifa ya kuitawala Zanzibar kulingana na kanuni zake .
Iweje mtu asiyekua na sifa ya kuitawala Zanzibar kwao awe na sifa ya kuitawala Tangpanyika kama sio shamba la bibi?

Bajeti yote ya Chadema kwa mwaka mzima ni Safari moja ya Mama kwenda kula bata Dubai.

Umewahi kukemea ubadhirifu na matumizi mabaya ya Misafara ya Viongozi wa Tanzania?

Msafara wa DC kwenda kuzindua Choo cha shimo cha shule ya msingi ni mkubwa na wa gharama kubwa kuliko msafara wa mwenyekiti wa Chadema Taifa.

Hivi kweli bil. mbili zinaweza kuendesha chama kikuu cha upinzani Tanzania chenye wanachama nchi nzima katika mazingira yenye watawala wasiotaka kutoka madarakani kwa kura.

Kauli za Ally Happy na Yule mhuni wa UVCCM ni kauli za kuwaza mauaji tu na kuwaua wapinzani halafu eti wapate kirahisi Mahalia pa kulala wakati asilimia 88 ya mahoteli ni ya makada wa CCM?

Hivi unajua ziara za makamu wa mwenyekiti wa CCM zinapokelewa na kuratibiwa na kamati ya ulinzi na usalama ya mikoa na Wilaya. Utaipimaje mikakati ya kisiasa Tanzania kwa kama wewe ni mwana CCM chama cha kijeshi. Yaani chana dola na cha kimapinduzi . Kinachotumia Vyombo vya dola Kuratibu shughuli zake ndani na nje ya dola.


Ulianza vizuri mwishowe ukaharibu kabisa.

Haupo siriasi kulitetea Taifa zaidi ya kutetea uchawa wako na maslahi ya Waarabu na wazungu wanaoivamia Tanganyika wakishirikiana na Viongozi waCCM Wageni kama Kinana , Yule mkubwa na kadhalika.

Mwalimu Nyerere alikua ni Rais mwenye maono ya milele juu ya Taifa hili na Watu wake na Afrika nzima.

Tulipigana Vita na Uganda kwa miaka miwili . Tukiwa ni Taifa changa sana . Vita ilitengenezea na Wazungu na waarabu kupitia Libya.
Tanzania ilitengwq na nchi za magharibi kwa lengo la kudhoofisha ujamaa wetu na umoia wetu.

Tulishinda vita kwa ujamaa wetu na umoja wetu. Leo hii nchi imeuzwa kwa Wazungu na waarabu wale wale waliotupiganisha na Waganda kwa manufaa yao ya kuudhoofisha ujamaa wetu.

sasa tumekua na kizazi ambacho hakijui umuhimu wa ujamaa katika Uchumi wa nchi maskini.

Tumeaminishwa kuwa ujamaa hauwezi kuleta mapinduzi ya kiuchumi na kisiasa . Matokeo yake tumekua na vijana wa hovyo wanaonunuliwa na Waarabu na wazungu kuwa machawa na kishangilia nchi ikiuzwa huku wakiwa wanapewa rushwa na kulamba watawala miguu .

Ulaya hata waziri mkuu hana gari la maana lakini huku kwetu tunatafsiri Uongozi kwa kushindanisha magari ya kifahari kama watoto wadogo.
Yote ni kuwaiengea watawala roho chafu za kupenda starehe na anasa kwa akodi za watanzania .

Watawala wakipenda anasa wanageuza nchi zao kuwa soko la vitu vya anasa. Kusanya Kodi kwa maskini wasio na dawa za kisukari na presha na figo kisha leta magari ya kofahari kwa watawala. Msafara wa DC magari hamsini lakini Mwana JESHI MSHAURI WA MGAMBO WA WILAYA HANA gari OCD. Sasa hapo utajiuliza ni kwa nini wanaCCM wanaubinafsi hata mbele ya vyombo vyao vya dola ?

Au huoni polisi wakiwaandikia faini watu wenye magari mabovu wakati wao wakiwa wanabebwa kwenye magari mabovu ?
Kwa nini usihoji hayo mambo ya msingi yanayofanywa na serikali ya CCM inayokusanya mabilioni ya pesa na kununua mabasi ya Scania kuwahamisha wamasai kwenye maebeo yae eti wanaharibu mazingira halafu inawaleta waarabu na wazungu kuja kujenga mahoteli na viwanja vya ndege kwenye hifadhi na kubeba wanyama kama twiga ,simba vifaru ,tembo n.k . wenye to hamani kubwa sana . Huku wakinunua SMG kwa ajili ya kuwaua na kuwatesa Watanganyika wanaotega kwa mitego ya asili digidigi asiyefikia hata sh. elfu 30 kwa ajili ya kitoweo.

2025 Wote wanaotegemea ardhi hii ya Tanganyika kwa ajili ya makazi ,mifugo na kilimo na nyuki kanwe hawawezi kumchagua mama wa kambo ili aendelee kuuza ardhi yao nao wawaachie watoto wao utumwa na ukimbizi kwenye nchi yao.

Tanganyika , Tanganyika,nakupenda kwa moyo wote.
Nchi yangu Tanganyika ,jina lako ni Tamu sana .

Ndugu zangu Watanzania,

Inasikitisha sana,ni aibu kubwa ,inafedhehesha,inaleta maswali mengi sana juu ya umakini na akili za chama hiki cha CHADEMA. Hii ni baada ya kusikika kwa taarifa kuwa Lissu alikuwa hana gari la kutumia katika shughuli za chama, na kwamba gari alilokuwa akitumia lilikuwa ni gari la kukodi ambalo lilikuwa likikodiwa kwa gharama kubwa sana. Na kwamba sasa imeanzishwa kampeni na harambee mitandaoni ya kuomba watu wamchangie pesa ili aweze kununua gari mpya.

Swali nalojiuliza mimi Mwashambwa ni kuwa ina maana CHADEMA ilishindwa kumpatia gari makamu mwenyekiti wake? CHADEMA katika mamilioni kwa mamilioni iliyopokea na ambayo imekuwa ikiyapata kama Ruzuku ilishindwa na imeshindwa kununua gari rasmi kwa ajili ya ofisi ya makamu Mwenyekiti wa chama Taifa? Sasa ofisi inaendeshwaje na kujiendesha vipi?

Majuzi juzi tu hapa si chama kilipokea Billion 2 na millioni mia saba? Pesa zote hizo kimepeleka wapi ikiwa hata tu gari la kumsaidia makamu wake kufanyia ziara na shughuli za chama imeshindikana kununuliwa? Hivi CHADEMA kwanini inaendeshwa kijanja janja kiasi hiki? Kwanini chama kinakosa ,mipango, mikakati na vipaombele? Kwanini chama hakijiweki katika mazingira na taswira ya chama kikuu cha upinzani na chenye viongozi wenye maono? Kwanini chama kinakuwa kama kinaongozwa na vipofu na kwenda mzobemzobe.

Hii ndio maana kuna wakati unakuta viongozi wakuu wake wamekwenda mahali kufanya ziara za kichama , halafu unasikia taarifa kuwa wanakosa mahali pa kulala kwa kisingizio kuwa eti vyumba vyote vya kulala wageni vilikuwa vimelipiwa na kuchukuliwa na watu au mtu ambaye wanasema ni adui wao kisiasa. Swali unalojiuliza ina maana chama na viongozi wake huwa wanashindwa kujuwa na kuweka mipango na mikakati mapema ya walau hata wiki moja nyuma kuwa ni wapi viongozi wake wakuu ngazi ya Taifa watalala na kufikia na kufanyia vikao vya ndani na siri? Au wao wakimaliza mikutano na kushuka jukwaani ndio wanaanza kupuyanga mitaani kutafuta vyumba vya kulala viongozi wao?

CHADEMA inatia aibu kubwa sana tena sana. Hii ndio sababu hata ukienda mikoani unakuta chama hakina hata ofisi wala pagala lililojengwa kwa ajili ya kuja kuwa ofisi. Ukiwauliza utasikia sisi tunajenga na tumejenga ofisi zetu mioyoni mwa watanzania. Kana kwamba huko mioyoni ndiko watafanyia vikao vyao,kutolea kadi za chama,kufanyia na kupanga mikakati ,kukutania kuweka misimamo ya kichama na mambo mengine mengi. CHADEMA ni chama ambacho kimekaa kizembe kizembe tu muda wote. Ni chama ambacho hakina utayari wala maandalizi ya chochote na hakiwezi kikaweka mipango hata ya nusu mwaka mbele. Ndio maana hakinaga ajenda na sera ya kueleweka kinayoisimamia zaidi ya kurukia matukio yanayojitokeza na yanayopita kama mvuke.

Naweka kalamu yangu chini na kuishia hapa kwa leo. Ila nimesikia watu mitaani pia wanauliza kuwa ina maana Lissu aaaàaahakukatia Bima Gari lake? Kama kuna mwenye Elimu zaidi ya suala hili la Bima anaweza eleza hapa ili niwajibu huku mitaani.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Inasikitisha sana,ni aibu kubwa ,inafedhehesha,inaleta maswali mengi sana juu ya umakini na akili za chama hiki cha CHADEMA. Hii ni baada ya kusikika kwa taarifa kuwa Lissu alikuwa hana gari la kutumia katika shughuli za chama, na kwamba gari alilokuwa akitumia lilikuwa ni gari la kukodi ambalo lilikuwa likikodiwa kwa gharama kubwa sana. Na kwamba sasa imeanzishwa kampeni na harambee mitandaoni ya kuomba watu wamchangie pesa ili aweze kununua gari mpya.

Swali nalojiuliza mimi Mwashambwa ni kuwa ina maana CHADEMA ilishindwa kumpatia gari makamu mwenyekiti wake? CHADEMA katika mamilioni kwa mamilioni iliyopokea na ambayo imekuwa ikiyapata kama Ruzuku ilishindwa na imeshindwa kununua gari rasmi kwa ajili ya ofisi ya makamu Mwenyekiti wa chama Taifa? Sasa ofisi inaendeshwaje na kujiendesha vipi?

Majuzi juzi tu hapa si chama kilipokea Billion 2 na millioni mia saba? Pesa zote hizo kimepeleka wapi ikiwa hata tu gari la kumsaidia makamu wake kufanyia ziara na shughuli za chama imeshindikana kununuliwa? Hivi CHADEMA kwanini inaendeshwa kijanja janja kiasi hiki? Kwanini chama kinakosa ,mipango, mikakati na vipaombele? Kwanini chama hakijiweki katika mazingira na taswira ya chama kikuu cha upinzani na chenye viongozi wenye maono? Kwanini chama kinakuwa kama kinaongozwa na vipofu na kwenda mzobemzobe.

Hii ndio maana kuna wakati unakuta viongozi wakuu wake wamekwenda mahali kufanya ziara za kichama , halafu unasikia taarifa kuwa wanakosa mahali pa kulala kwa kisingizio kuwa eti vyumba vyote vya kulala wageni vilikuwa vimelipiwa na kuchukuliwa na watu au mtu ambaye wanasema ni adui wao kisiasa. Swali unalojiuliza ina maana chama na viongozi wake huwa wanashindwa kujuwa na kuweka mipango na mikakati mapema ya walau hata wiki moja nyuma kuwa ni wapi viongozi wake wakuu ngazi ya Taifa watalala na kufikia na kufanyia vikao vya ndani na siri? Au wao wakimaliza mikutano na kushuka jukwaani ndio wanaanza kupuyanga mitaani kutafuta vyumba vya kulala viongozi wao?

CHADEMA inatia aibu kubwa sana tena sana. Hii ndio sababu hata ukienda mikoani unakuta chama hakina hata ofisi wala pagala lililojengwa kwa ajili ya kuja kuwa ofisi. Ukiwauliza utasikia sisi tunajenga na tumejenga ofisi zetu mioyoni mwa watanzania. Kana kwamba huko mioyoni ndiko watafanyia vikao vyao,kutolea kadi za chama,kufanyia na kupanga mikakati ,kukutania kuweka misimamo ya kichama na mambo mengine mengi. CHADEMA ni chama ambacho kimekaa kizembe kizembe tu muda wote. Ni chama ambacho hakina utayari wala maandalizi ya chochote na hakiwezi kikaweka mipango hata ya nusu mwaka mbele. Ndio maana hakinaga ajenda na sera ya kueleweka kinayoisimamia zaidi ya kurukia matukio yanayojitokeza na yanayopita kama mvuke.

Naweka kalamu yangu chini na kuishia hapa kwa leo. Ila nimesikia watu mitaani pia wanauliza kuwa ina maana Lissu hakukatia Bima Gari lake? Kama kuna mwenye Elimu zaidi ya suala hili la Bima anaweza eleza hapa ili niwajibu huku mitaani.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wajinga mnazidi kuongeza
 
Ndugu zangu Watanzania,

Inasikitisha sana,ni aibu kubwa ,inafedhehesha,inaleta maswali mengi sana juu ya umakini na akili za chama hiki cha CHADEMA. Hii ni baada ya kusikika kwa taarifa kuwa Lissu alikuwa hana gari la kutumia katika shughuli za chama, na kwamba gari alilokuwa akitumia lilikuwa ni gari la kukodi ambalo lilikuwa likikodiwa kwa gharama kubwa sana. Na kwamba sasa imeanzishwa kampeni na harambee mitandaoni ya kuomba watu wamchangie pesa ili aweze kununua gari mpya.

Swali nalojiuliza mimi Mwashambwa ni kuwa ina maana CHADEMA ilishindwa kumpatia gari makamu mwenyekiti wake? CHADEMA katika mamilioni kwa mamilioni iliyopokea na ambayo imekuwa ikiyapata kama Ruzuku ilishindwa na imeshindwa kununua gari rasmi kwa ajili ya ofisi ya makamu Mwenyekiti wa chama Taifa? Sasa ofisi inaendeshwaje na kujiendesha vipi?

Majuzi juzi tu hapa si chama kilipokea Billion 2 na millioni mia saba? Pesa zote hizo kimepeleka wapi ikiwa hata tu gari la kumsaidia makamu wake kufanyia ziara na shughuli za chama imeshindikana kununuliwa? Hivi CHADEMA kwanini inaendeshwa kijanja janja kiasi hiki? Kwanini chama kinakosa ,mipango, mikakati na vipaombele? Kwanini chama hakijiweki katika mazingira na taswira ya chama kikuu cha upinzani na chenye viongozi wenye maono? Kwanini chama kinakuwa kama kinaongozwa na vipofu na kwenda mzobemzobe.

Hii ndio maana kuna wakati unakuta viongozi wakuu wake wamekwenda mahali kufanya ziara za kichama , halafu unasikia taarifa kuwa wanakosa mahali pa kulala kwa kisingizio kuwa eti vyumba vyote vya kulala wageni vilikuwa vimelipiwa na kuchukuliwa na watu au mtu ambaye wanasema ni adui wao kisiasa. Swali unalojiuliza ina maana chama na viongozi wake huwa wanashindwa kujuwa na kuweka mipango na mikakati mapema ya walau hata wiki moja nyuma kuwa ni wapi viongozi wake wakuu ngazi ya Taifa watalala na kufikia na kufanyia vikao vya ndani na siri? Au wao wakimaliza mikutano na kushuka jukwaani ndio wanaanza kupuyanga mitaani kutafuta vyumba vya kulala viongozi wao?

CHADEMA inatia aibu kubwa sana tena sana. Hii ndio sababu hata ukienda mikoani unakuta chama hakina hata ofisi wala pagala lililojengwa kwa ajili ya kuja kuwa ofisi. Ukiwauliza utasikia sisi tunajenga na tumejenga ofisi zetu mioyoni mwa watanzania. Kana kwamba huko mioyoni ndiko watafanyia vikao vyao,kutolea kadi za chama,kufanyia na kupanga mikakati ,kukutania kuweka misimamo ya kichama na mambo mengine mengi. CHADEMA ni chama ambacho kimekaa kizembe kizembe tu muda wote. Ni chama ambacho hakina utayari wala maandalizi ya chochote na hakiwezi kikaweka mipango hata ya nusu mwaka mbele. Ndio maana hakinaga ajenda na sera ya kueleweka kinayoisimamia zaidi ya kurukia matukio yanayojitokeza na yanayopita kama mvuke.

Naweka kalamu yangu chini na kuishia hapa kwa leo. Ila nimesikia watu mitaani pia wanauliza kuwa ina maana Lissu hakukatia Bima Gari lake? Kama kuna mwenye Elimu zaidi ya suala hili la Bima anaweza eleza hapa ili niwajibu huku mitaani.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
TANGU LINI UKAWA NA UCHUNGU NA TL WW CHAWA WA MAMA.
 
Back
Top Bottom