Nina miaka 28. Kwa mara ya kwanza juzi mwezi wa kumi ndio nimeweza kukamata Milion 5 za jasho langu mwenyewe.mkisha pata vi hela mnaanza dharau, kwamba gari imekuwa matako sasa kila mwanaume awe nayo.
mil5 unaitaja kama umekatika kichwa hata pato la mtz hujui kwa wastani n sh. ngap. watu tunapigana ila mambo si mambo bado sio kwamba ni wajinga
Maneno ya mkosaji hayo, gari gari tuu,Wanaume wa dar utawajua tu. True car kwa ajili ya mwanaume ni kuanzia mil 20. Hizo vitz,passo unavamia gari za kina dada. So usijione saaana uko class ya juu kwa kumiliki passo.
Wee kimbaumbau mbona hata baiskeli huna!Kabisa mkuu, na likitambi la haja afu unamuona anazungusha funguo kidoleni.
Ukimfatilia uone "ndinga" unamuona anajipachika kwenye "ka-babywalker" kake huyooo
Nyie ndio mna akili za mwaka 47Wanaume Wa Dar ,, wamepanga alafu anamiliki gar .
Anaishi kwao alafu anamiliki gar.
Maisha nimipango mkuu mwingine kapnga awe mijengo mitatu ,, awe na vyanzo vya pesa vyakutosha alafu ndo anafikiria ndinga.
DuuhUnakuta dume la kilo 90+ liko ndani ya Passo au vits. Aisee ni afadhari kupambana na mwendokasi.
Barabara zenyewe hizo za, mashimo mashimo.fly over zinajengwa barabara ziko za kutosha
Mimi nilijua kabisa wewe una mawazo finyu ndio maana ukaleta thread ya kijinga na kitoto namna hii.sikujua kama una mawazo finyu kiasi hiki
Ushamba bado ni mzigo kwa wengi hata kama wanaishi mjini.Sipati picha na hako ka Nadia ulichonunua mwezi uliopita
Yaani umekuwa limbukeni mpaka unanikera sasa
Nakumbuka zamani ulivyokuwa unavizia lifti kwenye Gari yangu
Jamani TZ mtaendelea lini? Yaani kuwa na gari uanaume. Wewe lzima umeingiza mgari yako yankudodea pale yard. Uanaume ni kumtoa girl/mke/watoto out na kufanya starehe zote na familia kuangalia mahitaji muhimu. Nchi za wenzenu mtu anapata license akiwa na miaka 18. Na hata hajui atanunua lini gari, na wengine wanazeekaga na license zako kwenye wallet
shukuru kwa ilo mkuu watu wana 30's ila m. moko wanaisikia tu leo jamaa analeta majivuno ya kitotoNina miaka 28. Kwa mara ya kwanza juzi mwezi wa kumi ndio nimeweza kukamata Milion 5 za jasho langu mwenyewe.
For the very first time, akaunti yangu ilisoma 5m na miaka yote hii niliyonayo.
Hili life hili.....
Swadaqta mkuu hayo nimeshuhudia nchi nyingi... na ni Convinience kbs!!Aelewe pia nchi zingine watu huacha magari yao hupanda treni na mwendokasi.
Tafadhali usiGeneralize !! kujumuisha siyo vizuri !!!Kuna waislam wana madharau sana
Sikujua hata wa swala 5 wana madharau hivi baada tu ya kununua paso kutoka zanzibar
Wabillah Tawfiq
Na kuhongwa ka passo basi anajiona mjaaanjaKasha tanuliwa marinda mtoa mada