Hujaelewa, anamaanisha serikali ndo imegundua haya madudu siyo wapinzani, Ina maana wapinzani wanagonjea hadi serikali igundue tatizo then ndo waanze kuisakama serikali,
CAG ni mtumishi wa serikali na kazi yake ni kugundua matatizo kama hayo,,
Hapana hayo ni mwazo ya kianaharakatiSoma katiba kwanza ujue kwa nini ofisi ya CAG ilianzishwa, ujue ukomo na mipaka yake. Usiandike jambo kwa pupa. CCM yako inamiliki UVCC, UWT na idara zake si mihimili ya dola kama ofisi ya CAG, TAKUKURU etc
ofisi ya CAG si mali ya chama cho chote cha siasa.
Jiongezee ufahamu kabla ya kukurupuka
comment ya kuumbumbumbu kabisa hii...ukijibiwa jambo usilojua unageuzia kwenye uanaharakati au hujui kazi ya ofisi ya CAG unadhani ni kuihabarisha serikali au chama tawala tu?Hapana hayo ni mwazo ya kianaharakati
Kwa maoni yangu naona si jambo baya kama CAG amebaini mapungufu ya Serikali ambayo yanasababishwa na uzembe, tabia za kifisadi na kutokuwajibika na hivyo kusababisha hasara kwa walipa kodi. Wanaweza wakatumia hayo kuseti agenda na kuipeleka kwa jamii maana taarifa ya CAG kuna maeneo hata hawajui kinachoendelea.....kwa maoni yangu narudia sioni tatizo hapoKatika demokrasia ya vyama vingi, vyama vya upinzani hutafuta madudu ya serikali na kuyatoa kwa jamii. Hapa Tanzaia vyama vyetu vya upinzani vinatumia taarifa za serikali kuikosoa serikali.
Kwa mfano taarifa ya CAG ni taarifa ya serikali ikionyesha ilivyotengeneza taasisi za kuisaidia kujisahihisha na kuonyesha kuwepo kwa uwazi. Hili la serikali kuonyesha uwazi ni jambo la kupongezwa.
Kwa maana hiyo ni aibu kubwa kwa vyama vya upinzani kuitumia kama msingi kwa kuikosoa serikali. Kwa maana nyingine kama serikali ingeamaua kutoiweka taarifa ya CAG hadharani wapinzani wasingekuwa na cha kusema.
Hii inaonyesha haviko tayari kuwa wapinzani wala kuwa chama tawala.
Ni sawa kwa mfano taarifa ya Zitto ya Barrick aliitafuta na alikuwa owner wake. Hii ya kutumia taarifa ya CAG siyo sawa kwani hiyo ni internal control mechanism ya serikali
Wizi na binadamu havitangamani,, Wizi upo na utakuepo tu, hata walete utawala gani,, binadamu kiasiliana ana self interest,Katiba ni ya CCM kumbe sikujua. Ndio maana hamtaki ibadilishwe. Umeulizwa swali jepesi umeshindwa kujibu, mmechukua hatua gani Kama CCM kukomesha wizi?. We unarudia tu Yale Yale.
Miaka yote mnaiba hamjawahi kuridhika hata siku moja tangu loliondo gate , Richmond dowans, escrow, 1.5 trillion etc
Miaka ya nyuma riport ilikuwa haiwekwi hadharani,, Shida iliyopo ripoti inapoanza kutumika kisiasa,Ndio maana nashauri hiyo ripoti wawe wanaipeleka kwenye halamshauri kuu ya CCM na sio kutupigia kelele. Unaleta ripoti ya CAG hadharani halafu hutaki CHADEMA waijadili kana kwamba CAG analipwa na pesa za CCM , wakati analipwa kwa Kodi zlna tozo za wafuasi wa Upinzani pia.
Hoja dhaifu mno hii. Ni sawa na kusema upinzani haupaswi kuikosoa serikali kwa matendo yake.Katika demokrasia ya vyama vingi, vyama vya upinzani hutafuta madudu ya serikali na kuyatoa kwa jamii. Hapa Tanzaia vyama vyetu vya upinzani vinatumia taarifa za serikali kuikosoa serikali.
Kwa mfano taarifa ya CAG ni taarifa ya serikali ikionyesha ilivyotengeneza taasisi za kuisaidia kujisahihisha na kuonyesha kuwepo kwa uwazi. Hili la serikali kuonyesha uwazi ni jambo la kupongezwa.
Kwa maana hiyo ni aibu kubwa kwa vyama vya upinzani kuitumia kama msingi kwa kuikosoa serikali. Kwa maana nyingine kama serikali ingeamaua kutoiweka taarifa ya CAG hadharani wapinzani wasingekuwa na cha kusema.
Hii inaonyesha haviko tayari kuwa wapinzani wala kuwa chama tawala.
Nimesema na ninasema wapinzani wanayo haki ya kuikosoa serikali lakini hawezi kutumia taarifa za serikali kuikosoa- sijui kwa nini unapata tabu kuelewaHoja dhaifu mno hii. Ni sawa na kusema upinzani haupaswi kuikosoa serikali kwa matendo yake.
Kwa hiyo ulitaka wakae kimya?Katika demokrasia ya vyama vingi, vyama vya upinzani hutafuta madudu ya serikali na kuyatoa kwa jamii. Hapa Tanzaia vyama vyetu vya upinzani vinatumia taarifa za serikali kuikosoa serikali.
Kwa mfano taarifa ya CAG ni taarifa ya serikali ikionyesha ilivyotengeneza taasisi za kuisaidia kujisahihisha na kuonyesha kuwepo kwa uwazi. Hili la serikali kuonyesha uwazi ni jambo la kupongezwa.
Kwa maana hiyo ni aibu kubwa kwa vyama vya upinzani kuitumia kama msingi kwa kuikosoa serikali. Kwa maana nyingine kama serikali ingeamaua kutoiweka taarifa ya CAG hadharani wapinzani wasingekuwa na cha kusema.
Hii inaonyesha haviko tayari kuwa wapinzani wala kuwa chama tawala.
Toa mfano wa mtu aliyechukuliwa hatua. NB. Udsiniambie bodi inevunjwa.
- Tumeunda, kuiopa uwezo taasisi ya CAG kikatiba
- Tumeifanya taasis ya CAG kutoa taarifa kwa mamlaka na umma
- Tumewapa nafasi wahusika kutoa maelezo ya mapungufu yao kwa mjibu wa taarifa ya CAG
- Wanaobainika wanachukuliwa hatua za kinidhamu na kisheria
Kama hizo taarifa zinawahusu watanzania kwanini upinzani usikosoe?Nimesema na ninasema wapinzani wanayo haki ya kuikosoa serikali lakini hawezi kutumia taarifa za serikali kuikosoa- sijui kwa nini unapata tabu kuelewa
unakosoa serikali au taarifa? Ninachosema hapa ni kazi ya upinzani kuikosoa serikali; wanakosoa serikali kwa taarifa walizozipata wenyewe na si kwa kutumia taarifa za serikaliKama hizo taarifa zinawahusu watanzania kwanini upinzani usikosoe?
Mkuu haina ubishi serikali ni ya CCMCCM ilitakiwa ijitengenezee mifumo ya kuisaidia ndani ya chama chao, na sio kupitia fedha za umma. Au unadhani fedha za serikali zinatokana na kodi za wañaccm tu? Mmekuwa wajinga hadi miradi ya serikali mnaona kama ni ya CCM. Iko siku utasema wapinzani wanapita kwenye barabara zilizojengwa na CCM na wala sio kodi za wananchi.
Sijui kama ulishirikisha akili yako wakati wa kuandika huu utumbo!Kwa maana hiyo ni aibu kubwa kwa vyama vya upinzani kuitumia kama msingi kwa kuikosoa serikali. Kwa maana nyingine kama serikali ingeamaua kutoiweka taarifa ya CAG hadharani wapinzani wasingekuwa na cha kusema.