Ni aidha Wenje au Lissu waenguliwe CHADEMA kama chama kipo Makini, vinginevyo ni utapeli

Ni aidha Wenje au Lissu waenguliwe CHADEMA kama chama kipo Makini, vinginevyo ni utapeli

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Kwema Wakuu!

Chama hakipaswi kuchekea mambo ya Rushwa au wanaotoa tuhuma kwa wenzao kwamba wanakula Rushwa. Lazima chama kichukue hatua ikiwezekana kuwavukuza uanachama

Rushwa kwa vyama Makini ni kosa kubwa Sana ambalo linatosha kumfukuzisha mtu uanachama. Rushwa ni Jinai kwa upande wa Sheria.

Lisu anatoa shutuma kuwa kuna kiongozi Mkubwa ambaye alimleta Abdul nyumbani kwake kwaajili ya kutaka kumhonga, kumpa Rushwa.
Fununu zinaeleza kiongozi huyo ni Wenje.

Ikiwa ni Kweli CHADEMA ilipaswa ishughulike na Wenje kujihusisha na Rushwa.

Na kama sio Kweli Basi chama kinapaswa kimshughulikie Lisu ili asichafue viongozi wenzake na kukichafua chama. Na kutoa funzo kwa watu wengine ambao watoa shutuma za uongo kwa wengine.

Lakini cha ajabu, Lisu anagombea uenyekiti. Wenje anagombea umakamu.

Sasa hapo wote wakishinda watashirikiana vipi? Hapo lazima Mmoja apoteze au wote wapoteze lakini Mmoja atakuwa kaonewa.

CHADEMA bado kinazidi kuonyesha makucha ambayo yalikuwa yamejificha kupitia yanayoendelea
 
Hawawezi maana Mbowe mwenyewe ni mnufaika wa hayo mahela ya Abdul.

Pia Mnyika na Mbowe walihusika moja kwa moja kuwapeleka covid 19 bungeni, zile kelele zao zilikuwa ni hadaa tu.
Ok. Kama walishiriki kupeleka kwanini wananganganiwa na spika wakati katjba ya nchi imepinga hivyo?
 
Labda bahati mbaya katiba Yao hujaijua
Ishi ni kwamba tundu LISU alitoa tuhuma kitambo na kuziwakilisha kamati kuu

Kamati kuu ,baada ya kujadili hayo haijawahi mpelekea makamu mwenyekiti akiwa mwenyekiti wa kamati ya maadili ili tuhuma hizo zijadiliwe (mkuu wa kamati kuu ni mwenyekiti wa chama mbowe)

Za ndani zinasema mbowe ndo aliweka shinikizo au kutuma wenje agombee nafasi hiyo ...ndo kisa Cha LISu ku-skip mtego akaona Sasa ego kwa ego wagombee nafasi Moja

Swali kubwa lakujiuliza wenje alimpeleka kweli Abdul kwa LISu,ilikuwaje inakuwaje kwenye pambano la vita nahodha anakutana na upande wa pili uwanja wa vita
 
Kwema Wakuu!

Chama hakipaswi kuchekea mambo ya Rushwa au wanaotoa tuhuma kwa wenzao kwamba wanakula Rushwa. Lazima chama kichukue hatua ikiwezekana kuwavukuza uanachama

Rushwa kwa vyama Makini ni kosa kubwa Sana ambalo linatosha kumfukuzisha mtu uanachama. Rushwa ni Jinai kwa upande wa Sheria.

Lisu anatoa shutuma kuwa kuna kiongozi Mkubwa ambaye alimleta Abdul nyumbani kwake kwaajili ya kutaka kumhonga, kumpa Rushwa.
Fununu zinaeleza kiongozi huyo ni Wenje.

Ikiwa ni Kweli CHADEMA ilipaswa ishughulike na Wenje kujihusisha na Rushwa.

Na kama sio Kweli Basi chama kinapaswa kimshughulikie Lisu ili asichafue viongozi wenzake na kukichafua chama. Na kutoa funzo kwa watu wengine ambao watoa shutuma za uongo kwa wengine.

Lakini cha ajabu, Lisu anagombea uenyekiti. Wenje anagombea umakamu.

Sasa hapo wote wakishinda watashirikiana vipi? Hapo lazima Mmoja apoteze au wote wapoteze lakini Mmoja atakuwa kaonewa.

CHADEMA bado kinazidi kuonyesha makucha ambayo yalikuwa yamejificha kupitia yanayoendelea
Hata wewe mtu akikuomba umpeleka kwa fulani ana mazungumzo naye huwezi kujua undani wa hayo mazungumzo ila kama una mahusiano mazuri na wote wawili lazima utamkubalia ombi lake.

Hii haitoshi kumhukumu Wenje.
Pia hakuna ukweli wa kauli ya Lissu inaweza kuwa Kiki tu.

Kwa thamani ya Lissu hivi sasa kama ni kuhongwa haiwezi kupungua Shilingi Bilioni 1, hela nyingi kama hiyo haiwezi kubebwa katika magunia akapelekewa.

Siku hiyo ilikuwa ni mazungumzo tu hata kama ni ya kuhusu rushwa, baada ya kukubaliana kiwango cha rushwa na angependa alipwaje yaani fedha ipelekwe benki gani au wapi na kupitia kwa nani ili kuondoa traces za ushahidi ndipo sasa hiyo rushwa ingeenda kuandaliwa na Lissu angewasilishiwa mzigo kwa namna walivyokubaliana. Lakini kwa vyovyote vile Abdu hakiwa na pesa mkononi siku hiyo.

Hivyo hakuna mantiki ya kuwakata Lissu na Wenje.
 
Back
Top Bottom