Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora watu waendelee na CCM mara elfu Moja.
Bob ninakuelewa lakini:Kwema Wakuu!
Chama hakipaswi kuchekea mambo ya Rushwa au wanaotoa tuhuma kwa wenzao kwamba wanakula Rushwa. Lazima chama kichukue hatua ikiwezekana kuwavukuza uanachama
Rushwa kwa vyama Makini ni kosa kubwa Sana ambalo linatosha kumfukuzisha mtu uanachama. Rushwa ni Jinai kwa upande wa Sheria.
Lisu anatoa shutuma kuwa kuna kiongozi Mkubwa ambaye alimleta Abdul nyumbani kwake kwaajili ya kutaka kumhonga, kumpa Rushwa.
Fununu zinaeleza kiongozi huyo ni Wenje.
Ikiwa ni Kweli CHADEMA ilipaswa ishughulike na Wenje kujihusisha na Rushwa.
Na kama sio Kweli Basi chama kinapaswa kimshughulikie Lisu ili asichafue viongozi wenzake na kukichafua chama. Na kutoa funzo kwa watu wengine ambao watoa shutuma za uongo kwa wengine.
Lakini cha ajabu, Lisu anagombea uenyekiti. Wenje anagombea umakamu.
Sasa hapo wote wakishinda watashirikiana vipi? Hapo lazima Mmoja apoteze au wote wapoteze lakini Mmoja atakuwa kaonewa.
CHADEMA bado kinazidi kuonyesha makucha ambayo yalikuwa yamejificha kupitia yanayoendelea
wengine machawa tu ka dottomagari hatamia hawapatiHuyo ni kama dalali naye anakuwa na mgao wake biashara ikifanyika.
Unafikiri itaenda bure
Mkuu japo ni tuhuma, nimemsikiliza wenje kuhusu Ili sakata, maneno na macho ya wenje yanaashiria kitu, Wenje kumpeleka mtoto wa rais kwa lissu Kuna maswali mengi hayana majibu, je Abdul ni nani? Je wenje anajuaje kitendo Cha kumpeleka mtoto wa rais kwa lissu hakiwezi kuwa sehemu ya kwenda kuhongwa? Ana uhakika Gani na Abdul? Hili jambo sio rahis kiasi hicho.Kuna kitu nyuma yakeKwema Wakuu!
Chama hakipaswi kuchekea mambo ya Rushwa au wanaotoa tuhuma kwa wenzao kwamba wanakula Rushwa. Lazima chama kichukue hatua ikiwezekana kuwavukuza uanachama
Rushwa kwa vyama Makini ni kosa kubwa Sana ambalo linatosha kumfukuzisha mtu uanachama. Rushwa ni Jinai kwa upande wa Sheria.
Lisu anatoa shutuma kuwa kuna kiongozi Mkubwa ambaye alimleta Abdul nyumbani kwake kwaajili ya kutaka kumhonga, kumpa Rushwa.
Fununu zinaeleza kiongozi huyo ni Wenje.
Ikiwa ni Kweli CHADEMA ilipaswa ishughulike na Wenje kujihusisha na Rushwa.
Na kama sio Kweli Basi chama kinapaswa kimshughulikie Lisu ili asichafue viongozi wenzake na kukichafua chama. Na kutoa funzo kwa watu wengine ambao watoa shutuma za uongo kwa wengine.
Lakini cha ajabu, Lisu anagombea uenyekiti. Wenje anagombea umakamu.
Sasa hapo wote wakishinda watashirikiana vipi? Hapo lazima Mmoja apoteze au wote wapoteze lakini Mmoja atakuwa kaonewa.
CHADEMA bado kinazidi kuonyesha makucha ambayo yalikuwa yamejificha kupitia yanayoendelea
Shida ni kwamba wenje kakataa moja kwa moja lissu hakutaka kuhongwa na Abdul, Kuna maswali yataibuka, je baada ya wenje kumpeleka Abdul kwa lissu, wenje anajua yote yaliyozungumzwa kati ya lissu baada ya lissu na Abdul kuunganishwa na wenje kule kwa lissu? Je wenje harakaharaka kumuamini mtoto wa rais wamekutana kwenye function isiyo rasmi, alimuamini vipi mtoto wa rais Abdul mpaka kumshirikisha jambo la serikali ilhali Abdul sio kiongozi wa serikali? Je wenje baada ya kubadilishana contact zao na abdu amempeleka Abdul kwa makada wangapi wa chadema ukimuondoa lissu? Jambo hili lissu akirudi kulizungimzia tutajua mengi zaidi.Inshort wenje alijirahis Sana kwa Abdul, viongozi wa upinzani njaa na kiherehere kinawaponza, hawawezi kugundua jambo kirais, Abdul amewatega wametegekaHata wewe mtu akikuomba umpeleka kwa fulani ana mazungumzo naye huwezi kujua undani wa hayo mazungumzo ila kama una mahusiano mazuri na wote wawili lazima utamkubalia ombi lake.
Hii haitoshi kumhukumu Wenje.
Pia hakuna ukweli wa kauli ya Lissu inaweza kuwa Kiki tu.
Kwa thamani ya Lissu hivi sasa kama ni kuhongwa haiwezi kupungua Shilingi Bilioni 1, hela nyingi kama hiyo haiwezi kubebwa katika magunia akapelekewa.
Siku hiyo ilikuwa ni mazungumzo tu hata kama ni ya kuhusu rushwa, baada ya kukubaliana kiwango cha rushwa na angependa alipwaje yaani fedha ipelekwe benki gani au wapi na kupitia kwa nani ili kuondoa traces za ushahidi ndipo sasa hiyo rushwa ingeenda kuandaliwa na Lissu angewasilishiwa mzigo kwa namna walivyokubaliana. Lakini kwa vyovyote vile Abdu hakiwa na pesa mkononi siku hiyo.
Hivyo hakuna mantiki ya kuwakata Lissu na Wenje.
Tatizo siku hizi rushwa na ufisadi ndani ya chadema Kasi ya kuukemea imeshuka Sana.Huo ndo ukwelilolote linaweza tokea ila approach ipi wanachadema wangetumia kuimaliza hii kirusi ni ipi? nani apite kama kiongozi kuinusuru chadema? kimtazamo chadema wakiweza tegua huu mtego ndo kutatathimini uhai na kukua chama kikubwa au kifo kama chama kikubwa
Hiyo ni fact, Abdul ametumika vizuri sana kujisafishasystem vs lissu
🌤️🙋♂️✍️🎯💐🎁👍👌👊👏🤝🙏🗼🛡️Sabatto njema.Kwema Wakuu!
Chama hakipaswi kuchekea mambo ya Rushwa au wanaotoa tuhuma kwa wenzao kwamba wanakula Rushwa. Lazima chama kichukue hatua ikiwezekana kuwavukuza uanachama
Rushwa kwa vyama Makini ni kosa kubwa Sana ambalo linatosha kumfukuzisha mtu uanachama. Rushwa ni Jinai kwa upande wa Sheria.
Lisu anatoa shutuma kuwa kuna kiongozi Mkubwa ambaye alimleta Abdul nyumbani kwake kwaajili ya kutaka kumhonga, kumpa Rushwa.
Fununu zinaeleza kiongozi huyo ni Wenje.
Ikiwa ni Kweli CHADEMA ilipaswa ishughulike na Wenje kujihusisha na Rushwa.
Na kama sio Kweli Basi chama kinapaswa kimshughulikie Lisu ili asichafue viongozi wenzake na kukichafua chama. Na kutoa funzo kwa watu wengine ambao watoa shutuma za uongo kwa wengine.
Lakini cha ajabu, Lisu anagombea uenyekiti. Wenje anagombea umakamu.
Sasa hapo wote wakishinda watashirikiana vipi? Hapo lazima Mmoja apoteze au wote wapoteze lakini Mmoja atakuwa kaonewa.
CHADEMA bado kinazidi kuonyesha makucha ambayo yalikuwa yamejificha kupitia yanayoendelea
😲😲😲Wenje hawezi Kushinda jalada lake litasambazwa sikukuu ya Christmas
Nimemsikiliza Wenje kwa umakini nikaishia kumshangaaShida ni kwamba wenje kakataa moja kwa moja lissu hakutaka kuhongwa na Abdul, Kuna maswali yataibuka, je baada ya wenje kumpeleka Abdul kwa lissu, wenje anajua yote yaliyozungumzwa kati ya lissu baada ya lissu na Abdul kuunganishwa na wenje kule kwa lissu? Je wenje harakaharaka kumuamini mtoto wa rais wamekutana kwenye function isiyo rasmi, alimuamini vipi mtoto wa rais Abdul mpaka kumshirikisha jambo la serikali ilhali Abdul sio kiongozi wa serikali? Je wenje baada ya kubadilishana contact zao na abdu amempeleka Abdul kwa makada wangapi wa chadema ukimuondoa lissu? Jambo hili lissu akirudi kulizungimzia tutajua mengi zaidi.Inshort wenje alijirahis Sana kwa Abdul, viongozi wa upinzani njaa na kiherehere kinawaponza, hawawezi kugundua jambo kirais, Abdul amewatega wametegeka
Mbaya zaidi anamuamini Abdul 100%, anajua dhamira yake yoote Toka moyoni? Wenje tamaa imemponza, kisa kusikia ni mtoto wa Samia na kujishusha kuchukua contact, anajua how system works?Nimemsikiliza Wenje kwa umakini nikaishia kumshangaa
🤣 🤣 🤣Kama Lowwassa alisafishwa, washindwe nn Kwa Wenje?
🤣 🤣 🤣Lisu anataka kuvunja vibarua vya watu
Toa ushahidi ili uelewekeHawawezi maana Mbowe mwenyewe ni mnufaika wa hayo mahela ya Abdul.
Pia Mnyika na Mbowe walihusika moja kwa moja kuwapeleka covid 19 bungeni, zile kelele zao zilikuwa ni hadaa tu.
Hawawezi maana Mbowe mwenyewe ni mnufaika wa hayo mahela ya Abdul.
Pia Mnyika na Mbowe walihusika moja kwa moja kuwapeleka covid 19 bungeni, zile kelele zao zilikuwa ni hadaa tu.
Kwanza usimuamini Lissu kama dini kwani yeye hawezi kudanganya ili kufikia malengo yake kisiasa? Fikiri kidogo.Shida ni kwamba wenje kakataa moja kwa moja lissu hakutaka kuhongwa na Abdul, Kuna maswali yataibuka, je baada ya wenje kumpeleka Abdul kwa lissu, wenje anajua yote yaliyozungumzwa kati ya lissu baada ya lissu na Abdul kuunganishwa na wenje kule kwa lissu? Je wenje harakaharaka kumuamini mtoto wa rais wamekutana kwenye function isiyo rasmi, alimuamini vipi mtoto wa rais Abdul mpaka kumshirikisha jambo la serikali ilhali Abdul sio kiongozi wa serikali? Je wenje baada ya kubadilishana contact zao na abdu amempeleka Abdul kwa makada wangapi wa chadema ukimuondoa lissu? Jambo hili lissu akirudi kulizungimzia tutajua mengi zaidi.Inshort wenje alijirahis Sana kwa Abdul, viongozi wa upinzani njaa na kiherehere kinawaponza, hawawezi kugundua jambo kirais, Abdul amewatega wametegeka