Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Ford Mustang
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namna hiiHabari wadau..!
Ebu tupeane ushauri ni aina gari ya gari ambayo nikiwa nayo nitavimba hapa mjini??
...Dah, Mkuu! Hata kuitaja tu Prado?? [emoji16]Itategemea mzee baba. Kwa mfano ukaongelea brand au size ya gari.
1. Kwa Brands Germany zote zinatisha mfano BMW, Benz, Audi, au England Land Rover zote, au Italia performance cars.
2. Kwa size nadhani SUV kama RR, X5, Harrier etc. ukiwa na hivi vidude vidogo unadharaulika.
3. Ila mademu wanapagawa sana na RR, BMW, Benz, etc izo ni sukari.
Hivi vidude kama IST, Passo, etc mzee baba we tulia tu.
kuna nyingine hazina heshima,hauwezi vimba na vits au IST mkuuItakayo kupendeza machoni ndyo itakayo faa kuvimbanayo
Personally sijawahi miliki gari.
So hata ikatokea nimemiliki the most ugly, underperforming car ni lazima nitavimba tu.
Ila kama unataka kuwa kwenye spotlight nafikiri Rolls Royce ni tiba.
Kuendesha kwa kujiachia ndo kukoje?Hivi gari za muitaliano ni kama zipi?..
Ukweli mchungu na japo humu ukiandika wenye utofauti wataanza kukuandama,
Ila ukweli IST, Passo, Spacio, noah, vitz hizi gari nunua kwa kuzingatia hali yako ya kiuchumi, Fuel efficiency ila kiukweli hizi gari huwezi endesha kwa kujiachia kabisa....
Naona unataja vyombo vya usafiri, hayo siyo magari.😎kuna nyingine hazina heshima,hauwezi vimba na vits au IST mkuu
ILI UVIMBE KIUME CHUKUA WANYAMA HAWA :Habari wadau.
Ebu tupeane ushauri ni aina gari ya gari ambayo nikiwa nayo nitavimba hapa mjini?
Dah..itakuwa ushakuwa na hela..safiiHabari wadau.
Ebu tupeane ushauri ni aina gari ya gari ambayo nikiwa nayo nitavimba hapa mjini?
Hii si kama ile ya kwenye the gods must be crazy 1?
Heheheheh naamini utakuwa balozi mzuri kwa wengine wanaopondea mitumba ya kijapani kwa kuita gari za watu baby walkers!Kuna siku kama miaka kumi iliyopita nilienda kuulizia bei ya toyota corolla mpya pale kwenye ofisi yao, walivyonitajia bei sikuwahi tena kuulizia bei ya gari mpya, sina uhakika ni lini nitauvunja huu mwiko wa hata kutoulizia bei ya gari mpya, Mungu mwenyewe anajua.....
Hatari sana, kitu dola elf 35 na ushee.....wakati dola buku tatu unapata kitu used kutoka jepu.......ngoja nisubiri toleo la gari za umeme nikaulizie tena bei.Heheheheh naamini utakuwa balozi mzuri kwa wengine wanaopondea mitumba ya kijapani kwa kuita gari za watu baby walkers!
Maana huyo mtu anayeongea hilo ukimwambia japo anunue Passo tu ya 2018 jasho litamtoka kila kona ya mwili!
Yani mzigo almost 80m kabla ya kodi! Ukigongwa kodi ya 60m juu akili lazma ikukae sawa 😅!Hatari sana, kitu dola elf 35 na ushee.....wakati dola buku tatu unapata kitu used kutoka jepu.......ngoja nisubiri toleo la gari za umeme nikaulizie tena bei.