Hawako serious na maisha ya uchumi wa kati aiseee, hizo mpya wawauzie hao hao matajiri....Yani mzigo almost 80m kabla ya kodi! Ukigongwa kodi ya 60m juu akili lazma ikukae sawa 😅!
Unanunua corrolla ya mwaka 2021 kwa 150m, wakati hio hela ukinunua mtumba wa 2009 unaweza fungua yard kabisa 😅😅😅