Hawako serious na maisha ya uchumi wa kati aiseee, hizo mpya wawauzie hao hao matajiri....Yani mzigo almost 80m kabla ya kodi! Ukigongwa kodi ya 60m juu akili lazma ikukae sawa ๐ !
Unanunua corrolla ya mwaka 2021 kwa 150m, wakati hio hela ukinunua mtumba wa 2009 unaweza fungua yard kabisa ๐ ๐ ๐
Hahahahah kwa Japan hio ni hela ya kitoto tuHawako serious na maisha ya uchumi wa kati aiseee, hizo mpya wawauzie hao hao matajiri....
Hizi mpya za umeme watakazoanza kutengeneza, sijui sisi wa used tutaanza kuzipata lini.....Hahahahah kwa Japan hio ni hela ya kitoto tu
Used zipo mbona tayari ila kwa kuwa TRA wapo kuwafanya muishi kama mashetani ๐ ๐ ๐ utashangaa zinapigwa kodi ya scaniaHizi mpya za umeme watakazoanza kutengeneza, sijui sisi wa used tutaanza kuzipata lini.....
Kama muuzaji kala mil. 5, TRA wanakula mil.7 ya tozo ya uzalendo.....Used zipo mbona tayari ila kwa kuwa TRA wapo kuwafanya muishi kama mashetani ๐ ๐ ๐ utashangaa zinapigwa kodi ya scania
Hizi akili za Chapati ya majiUzi wa Matajiri huu. Watu kwenye huu uzi hawamiliki aina yeyote ile ya Toyota wao ni Gari za ulimwengu wa Kwanza tu. Hongereni sana wakuu kwa Maendeleo yenu..
Naomba unisaidie kuulizia pia LC300 na LC 200 VXR V8 mpyaKuna siku kama miaka kumi iliyopita nilienda kuulizia bei ya toyota corolla mpya pale kwenye ofisi yao, walivyonitajia bei sikuwahi tena kuulizia bei ya gari mpya, sina uhakika ni lini nitauvunja huu mwiko wa hata kutoulizia bei ya gari mpya, Mungu mwenyewe anajua.....
Kuna kigari Cha Muitaliano kinaitwa FIAT UNO kina 1200cc na 1500cc. Kinanusa mafuta kama Ist na wakina Passo na kina nguvu Sana.Hivi gari za muitaliano ni kama zipi?..
Ukweli mchungu na japo humu ukiandika wenye utofauti wataanza kukuandama,
Ila ukweli IST, Passo, Spacio, noah, vitz hizi gari nunua kwa kuzingatia hali yako ya kiuchumi, Fuel efficiency ila kiukweli hizi gari huwezi endesha kwa kujiachia kabisa....
I guess kuna watu kibao watakuwa wanapitisha magaru bila kulipa ushuru wengi tuYani mzigo almost 80m kabla ya kodi! Ukigongwa kodi ya 60m juu akili lazma ikukae sawa [emoji28]!
Unanunua corrolla ya mwaka 2021 kwa 150m, wakati hio hela ukinunua mtumba wa 2009 unaweza fungua yard kabisa [emoji28][emoji28][emoji28]
'FIAT UNO',ngoja nikaichimbe hii kitu niijue vizuri mkuu.Kuna kigari Cha Muitaliano kinaitwa FIAT UNO kina 1200cc na 1500cc. Kinanusa mafuta kama Ist na wakina Passo na kina nguvu Sana.
Tafadhali sana mkuu, nisije kuanguka kwa mshtuko......uchumi wa kati huu yaheee.....Naomba unisaidie kuulizia pia LC300 na LC 200 VXR V8 mpya
Kama mnataka kuagiza gari za umeme basi hamna budi kuchangia ujenzi wa bwawa la Mwalimu Nyerere ili tupate megawati za kutosha๐คฃUsed zipo mbona tayari ila kwa kuwa TRA wapo kuwafanya muishi kama mashetani ๐ ๐ ๐ utashangaa zinapigwa kodi ya scania
hahahah utashangaa tu Nyerere Hydropower ElectricIty Levy (NHE Levy) 50%Kama mnataka kuagiza gari za umeme basi hamna budi kuchangia ujenzi wa bwawa la Mwalimu Nyerere ili tupate megawati za kutosha๐คฃ
Bro bei ya hii gari ni usiombeHii Suzuki Jimny sio mbayaView attachment 1877242View attachment 1877243