Ni ajabu hawa watu wana PhDs lakini ni Wapumbavu kabisa

Ni ajabu hawa watu wana PhDs lakini ni Wapumbavu kabisa

Kuna watu wana elimu ya juu kabisa, wana PhD, lakini ni wapumbavu wa kutupwa. Hebu leo tuangalie baadhi yao:

Richard Dawkins (PhD in Biology). Huyu ameshinda tuzo nyingi kwa kazi zake za sayansi, lakini anatumia muda mwingi kuhubiri kuwa Mungu hayupo. Anasema maisha yalitokea kwa bahati tu!

Lawrence Krauss (PhD in Theoretical Physics) - ameandika kitabu "A Universe from Nothing," akidai eti the universe can originate without a divine creator. Katika kitabu hicho, hana hoja za maana, anazungusha zungusha tu maneno.

Karl Marx (PhD in Philosophy). Huyu alikuwa staunch atheist. Ndiye aliyepandikiza sumu ya Ukomunisti, akifundisha kwamba dini ni "opium ya watu." Matokeo yake? Mamilioni walikufa kwa sababu ya mawazo yake potofu.

Hao watu Mungu anawaita “Wapumbavu”
"Wapumbavu hujisemea moyoni: “Hakuna Mungu.” – Zaburi 14:1(BHN)

Kumbe mtu anaweza kuwa na PhD, lakini kama anadai kwamba Mungu hayupo, mtu huyo ni MPUMBAVU kabisa mbele za Mungu.

Mungu kama anakuita Mpumbavu, unatarajia nini?
Hawa ni bora kuliko fake Pastor Tony na Mwamposa kwa sababu hawanyang'anyi kidogo cha maskini wala kuvunja ndoa za watu kwa kuwateka wanawake kisaikolojia. Pia ni bora kuliko viongozi wa Boko Haram na vikundi vingine viovu vinavyotumia dini.
 
Umesahau mwingine anaitwa Prof Betrand Russel.

Yeye alisema kuwa siku ya kiyama Mungu atajapokuja kuwahukumu watu wote yeye atajitetea hivi:

Bwani Mungu, nilijua haupo maana ushahidi ulioko hapa duniani hautoshi kuthibitisha uwepo wako mahali popote duniani.

Kisha Russel akasema atamwuliza:

Bwana Mungu, kwa nini unajificha kiasi hiki kama mhalifu anayekimbia macho ya watu?

Hoja ya Russel inao muundo wa kimantiki ufuatao:

1. If God exists, then nonbelief does not occur.

2. Nonbelief occurs.


3. Therefore, God does not exist.

Mpaka hapo upumbavu wa kina Russel uko wapi?

Na ujue siku ukienda kuwahubiria watu wenye uelewa mkubwa kama wa Russel lazima uzabwe vibao kama hiyo jamaa hapo chini.

View attachment 3267240
Bertrand Russell, hoja zake hazina mashiko. Zina makosa ya kimantiki.
1. Makosa ya Kuhusisha Matokeo(False Implication)
Russell anadai kwamba kama Mungu yupo, basi hakuna mtu atakayekosa kuamini. Hii sio sahihi kwa sababu Mungu amewapa wanadamu uhuru wa kuchagua(free will), hivyo watu wanaweza kuamua kumkataa.

Kutokuamini hakumaanishi kwamba kitu hakipo. Kuna watu hawaamini kwamba sayari ya Pluto ipo, lakini hilo halifanyi Pluto isiwepo.

Biblia inasema wazi kuwa kuna watu wasioamini kwa sababu shetani amepofusha akili zao (2 Wakorintho 4:4).

2. Makosa ya Kutoa Hitimisho Lisilo Sahihi(Non Sequitur)
Hata kama kuna watu wasioamini, hiyo haiwezi kuthibitisha kwamba Mungu hayupo. Kuna watu hawaamini kwamba kuna gravity, lakini wakiruka juu bado wanaanguka!

Kuhusu Kauli ya Russell "Kwa nini Mungu anajificha kama mhalifu?"
Jibu ni kwamba Mungu hajajificha, bali amejifunua kwa njia mbalimbali:

  • Kwa njia ya Uumbaji – Dunia na viumbe vyote vinaonyesha utukufu wa Mungu (Zaburi 19:1).
  • Kwa njia ya Dhamiri ya Binadamu – Kila mtu anayo dhamiri inayomwezesha kutofautisha mema na mabaya(Warumi 2:15).
  • Kwa njia ya Yesu Kristo – Mungu alijifunua kikamilifu kwa mwanadamu kupitia Yesu Kristo (Yohana 14:9).
  • Kwa njia ya Biblia – Neno la Mungu linafunua mpango wa Mungu kwa mwanadamu.

Kwahiyo tatizo sio kwamba Mungu anajificha, bali watu wenyewe ndio wanaokataa kumuona Mungu.

Mtu anaweza kuona mwanga wa jua, lakini akiamua kufumba macho, jua halitaonekana kwake. Vivyo hivyo, Mungu yupo wazi kwa wote wanaotaka kumuona kwa imani.
Yeremia 29:13 –
"Nanyi mtanitafuta na kuniona, mtakaponitafuta kwa moyo wenu wote."

Upumbavu wa Russel ndio huo. Ukweli umefunuliwa lakini yeye anazidi kupinga tu kwa kiburi.

Umesema mhubiri akiwahubiri watu wenye akili kama Russell atazabwa vibao. Ni sawa. Sio tu kuzabwa vibao hata kupigwa kwa mawe kama Stefano alivyofanyiwa. Yesu alijua hayo yatawapata wanafunzi wake ndio sababu aliwaambia:
"Msiwaogope wauuao mwili, wasiweze kuiua roho; mwogopeni yeye awezaye kuangamiza mwili na roho katika jehanum." (Mathayo 10:28)

Yesu alipigwa mijeledi, sembuse sisi?

Wanaowapiga wahubiri, siku ya mwisho watajitetea lakini utetezi wao hautakubaliwa na Mungu.

Mt 7:22-23. Wengi wataniambia siku ile, ‘Bwana, Bwana,...
Ndipo nitakapowaambia wazi, ‘Sikuwajua kamwe. Ondokeni kwangu, ninyi watenda maovu!’


Nimejibu maswali yako yote?
 
Ume msahau Stephen hawking, alisema uwezekano wa kuwepo na mungu kwenye ulimwengu ni mdogo sana.

Ukweli unaweza kuwaita unavyoweza kuwaita kwamba wajinga au wapumbavu ila wana hoja kuliko maaskofu na wanazuoni wengi.
Huyu huko alipo sasa hivi nafikiri ashaanza kuipata.
 
wanadamu wa kwanza Adam na Hawa walitenda dhambi kwa kula tunda la mti waliokatazwa
Huwa ni fix tu, mwanadamu amekuwepo duniani kwa mabilioni ya miaka lkn hivyo vitabu vinatuletea habari za miaka ya 2000 kabla ya kristo.
 
Kuna watu wana elimu ya juu kabisa, wana PhD, lakini ni wapumbavu wa kutupwa. Hebu leo tuangalie baadhi yao:

Richard Dawkins (PhD in Biology). Huyu ameshinda tuzo nyingi kwa kazi zake za sayansi, lakini anatumia muda mwingi kuhubiri kuwa Mungu hayupo. Anasema maisha yalitokea kwa bahati tu!

Lawrence Krauss (PhD in Theoretical Physics) - ameandika kitabu "A Universe from Nothing," akidai eti the universe can originate without a divine creator. Katika kitabu hicho, hana hoja za maana, anazungusha zungusha tu maneno.

Karl Marx (PhD in Philosophy). Huyu alikuwa staunch atheist. Ndiye aliyepandikiza sumu ya Ukomunisti, akifundisha kwamba dini ni "opium ya watu." Matokeo yake? Mamilioni walikufa kwa sababu ya mawazo yake potofu.

Hao watu Mungu anawaita “Wapumbavu”
"Wapumbavu hujisemea moyoni: “Hakuna Mungu.” – Zaburi 14:1(BHN)

Kumbe mtu anaweza kuwa na PhD, lakini kama anadai kwamba Mungu hayupo, mtu huyo ni MPUMBAVU kabisa mbele za Mungu.

Mungu kama anakuita Mpumbavu, unatarajia nini?
Geukia na upande wa wenye akili akina Mwamposa
 
Huyu mtaalam wetu wa Singeri kutoka jalalani anaingia kundi gani
 
Hivi siku ukija kujua dini ni mpango wa mtu utajisikiaje?
kuna swali najiulizaga nakosa jibu kipindi tunaishi bila dini kwa kufuata tamaduni zetu jamii zetu zilikuwa na busara na hekima za hali ya juu lakini cha kusikitisha katika zama hizi makanisa ni mengi hali ya maadili inaporomoka katika hali ya kusikitisha je dini hazna msaada? au dini imegeuka biashara?
 
Kiranga sasa hivi ni "The Last Resort Weapon" Ameshawaelimisha wengi kutoka gizani. UKINIJIBU MOJA KATI YA MASWALI HAYA KWA USHAHIDI HOJA THABITI NAOKOKA LEO HII.

  1. Ikiwa Mungu ni mwema na ana nguvu zote, kwa nini aliumba ulimwengu wenye mateso, magonjwa, na uovu?
  2. Kwa nini Mungu hajaacha uthibitisho wowote wa wazi wa uwepo wake ambao hauwezi kukanushwa na sayansi?
  3. Ikiwa kila kitu kinahitaji muumba, basi Mungu aliumbwa na nani?
  4. Kwa nini dini zote duniani zinadai kuwa zina ukweli wa pekee kuhusu Mungu, ilhali zinapingana?
  5. Kwa nini Mungu anahitaji kuabudiwa na wanadamu badala ya kuonyesha upendo wa moja kwa moja bila masharti?
  6. Kwa nini maombi hayawezi kuthibitishwa kisayansi kuwa yana matokeo ya moja kwa moja yanayozidi bahati mbaya?
  7. Kwa nini viumbe vingi duniani, ikiwemo wanadamu, vina kasoro nyingi ikiwa Mungu aliwaumba kwa ukamilifu?
  8. Kwa nini Mungu hakufanya sheria za maadili kuwa za wazi na zisizo na utata, badala ya kutegemea vitabu vya dini vinavyotafsiriwa kwa njia tofauti?
  9. Kwa nini watoto wadogo na viumbe wasio na hatia wanateseka ikiwa Mungu ni mwenye huruma?
  10. Kwa nini Mungu hakujitokeza moja kwa moja kwa kila mtu ili kuthibitisha uwepo wake badala ya kutegemea imani na mafundisho ya watu wengine?
 
Kiranga sasa hivi ni "The Last Resort Weapon" Ameshawaelimisha wengi kutoka gizani. UKINIJIBU MOJA KATI YA MASWALI HAYA KWA USHAHIDI HOJA THABITI NAOKOKA LEO HII.

  1. Ikiwa Mungu ni mwema na ana nguvu zote, kwa nini aliumba ulimwengu wenye mateso, magonjwa, na uovu?
  2. Kwa nini Mungu hajaacha uthibitisho wowote wa wazi wa uwepo wake ambao hauwezi kukanushwa na sayansi?
  3. Ikiwa kila kitu kinahitaji muumba, basi Mungu aliumbwa na nani?
  4. Kwa nini dini zote duniani zinadai kuwa zina ukweli wa pekee kuhusu Mungu, ilhali zinapingana?
  5. Kwa nini Mungu anahitaji kuabudiwa na wanadamu badala ya kuonyesha upendo wa moja kwa moja bila masharti?
  6. Kwa nini maombi hayawezi kuthibitishwa kisayansi kuwa yana matokeo ya moja kwa moja yanayozidi bahati mbaya?
  7. Kwa nini viumbe vingi duniani, ikiwemo wanadamu, vina kasoro nyingi ikiwa Mungu aliwaumba kwa ukamilifu?
  8. Kwa nini Mungu hakufanya sheria za maadili kuwa za wazi na zisizo na utata, badala ya kutegemea vitabu vya dini vinavyotafsiriwa kwa njia tofauti?
  9. Kwa nini watoto wadogo na viumbe wasio na hatia wanateseka ikiwa Mungu ni mwenye huruma?
  10. Kwa nini Mungu hakujitokeza moja kwa moja kwa kila mtu ili kuthibitisha uwepo wake badala ya kutegemea imani na mafundisho ya watu wengine?


Kiranga sasa hivi ni "The Last Resort Weapon" Ameshawaelimisha wengi kutoka gizani. UKINIJIBU MOJA KATI YA MASWALI HAYA KWA USHAHIDI HOJA THABITI NAOKOKA LEO HII.

  1. Ikiwa Mungu ni mwema na ana nguvu zote, kwa nini aliumba ulimwengu wenye mateso, magonjwa, na uovu?
  2. Kwa nini Mungu hajaacha uthibitisho wowote wa wazi wa uwepo wake ambao hauwezi kukanushwa na sayansi?
  3. Ikiwa kila kitu kinahitaji muumba, basi Mungu aliumbwa na nani?
  4. Kwa nini dini zote duniani zinadai kuwa zina ukweli wa pekee kuhusu Mungu, ilhali zinapingana?
  5. Kwa nini Mungu anahitaji kuabudiwa na wanadamu badala ya kuonyesha upendo wa moja kwa moja bila masharti?
  6. Kwa nini maombi hayawezi kuthibitishwa kisayansi kuwa yana matokeo ya moja kwa moja yanayozidi bahati mbaya?
  7. Kwa nini viumbe vingi duniani, ikiwemo wanadamu, vina kasoro nyingi ikiwa Mungu aliwaumba kwa ukamilifu?
  8. Kwa nini Mungu hakufanya sheria za maadili kuwa za wazi na zisizo na utata, badala ya kutegemea vitabu vya dini vinavyotafsiriwa kwa njia tofauti?
  9. Kwa nini watoto wadogo na viumbe wasio na hatia wanateseka ikiwa Mungu ni mwenye huruma?
  10. Kwa nini Mungu hakujitokeza moja kwa moja kwa kila mtu ili kuthibitisha uwepo wake badala ya kutegemea imani na mafundisho ya watu wengine?
Kiranga anamzidi Dawkins? Mwambie aje mwenyewe hapa, usikie atakujibu nini. Hoja zimemuishia.
Alijaribu kunihoji hoji maswali "akapigwa KO"
Anatetemeka (kama shetani) akisikia Neno la Mungu.
 
Hivi siku ukija kujua dini ni mpango wa mtu utajisikiaje?
kuna swali najiulizaga nakosa jibu kipindi tunaishi bila dini kwa kufuata tamaduni zetu jamii zetu zilikuwa na busara na hekima za hali ya juu lakini cha kusikitisha katika zama hizi makanisa ni mengi hali ya maadili inaporomoka katika hali ya kusikitisha je dini hazna msaada? au dini imegeuka biashara?
Ungekuwa unasoma Biblia usingekosa majibu ya maswali yako. Biblia inaeleza wazi hizi ni siku za mwisho ndio sababu maadili yameporomoka. Ukisoma 2 Tim 3:1-2 imeandikwa hivi:
"Kumbuka kwamba, katika siku za mwisho kutakuwa na nyakati za taabu. Watu watakuwa na ubinafsi, wenye tamaa ya fedha, wenye majivuno, wenye kujiona, wenye kumtukana Mungu, wasiowatii wazazi wao, wasio na shukrani na waovu; watatokea watu wasio na upendo moyoni, wasio na huruma, wachongezi, walafi na wakali; watachukia chochote kilicho chema; watakuwa wahaini, wakaidi na waliojaa kiburi; watapenda anasa kuliko kumpenda Mungu. Kwa nje wataonekana kama watu wenye kumcha Mungu, lakini wataikana nguvu yake. Jiepushe kabisa na watu wa namna hiyo..."

JESUS IS COMING SOON, REPENT OF YOUR SINS BEFORE IT'S TOO LATE.
 
Kuna watu wana elimu ya juu kabisa, wana PhD, lakini ni wapumbavu wa kutupwa. Hebu leo tuangalie baadhi yao:

Richard Dawkins (PhD in Biology). Huyu ameshinda tuzo nyingi kwa kazi zake za sayansi, lakini anatumia muda mwingi kuhubiri kuwa Mungu hayupo. Anasema maisha yalitokea kwa bahati tu!

Lawrence Krauss (PhD in Theoretical Physics) - ameandika kitabu "A Universe from Nothing," akidai eti the universe can originate without a divine creator. Katika kitabu hicho, hana hoja za maana, anazungusha zungusha tu maneno.

Karl Marx (PhD in Philosophy). Huyu alikuwa staunch atheist. Ndiye aliyepandikiza sumu ya Ukomunisti, akifundisha kwamba dini ni "opium ya watu." Matokeo yake? Mamilioni walikufa kwa sababu ya mawazo yake potofu.

Hao watu Mungu anawaita “Wapumbavu”
"Wapumbavu hujisemea moyoni: “Hakuna Mungu.” – Zaburi 14:1(BHN)

Kumbe mtu anaweza kuwa na PhD, lakini kama anadai kwamba Mungu hayupo, mtu huyo ni MPUMBAVU kabisa mbele za Mungu.

Mungu kama anakuita Mpumbavu, unatarajia nini?
Na wenyewe wanakuona wewe ni mpumbavu pia. Kwahiyo huwaita wapumbavu hujawakomoa wala kushinda chochote
 
Elimu ya dunia haiwezi kuyaelewa mambo ya Rohoni.
Mtume Paulo anasema, "Mtu wa tabia ya asili hayapokei mambo ya Roho wa Mungu; maana kwake ni upuzi" (1 Wakorintho 2:14)
Hivyo hivyo pia elimu ya kiroho haiwezi kuelewa mambo ya kidunia
 
Kuna watu wana elimu ya juu kabisa, wana PhD, lakini ni wapumbavu wa kutupwa. Hebu leo tuangalie baadhi yao:

Richard Dawkins (PhD in Biology). Huyu ameshinda tuzo nyingi kwa kazi zake za sayansi, lakini anatumia muda mwingi kuhubiri kuwa Mungu hayupo. Anasema maisha yalitokea kwa bahati tu!

Lawrence Krauss (PhD in Theoretical Physics) - ameandika kitabu "A Universe from Nothing," akidai eti the universe can originate without a divine creator. Katika kitabu hicho, hana hoja za maana, anazungusha zungusha tu maneno.

Karl Marx (PhD in Philosophy). Huyu alikuwa staunch atheist. Ndiye aliyepandikiza sumu ya Ukomunisti, akifundisha kwamba dini ni "opium ya watu." Matokeo yake? Mamilioni walikufa kwa sababu ya mawazo yake potofu.

Hao watu Mungu anawaita “Wapumbavu”
"Wapumbavu hujisemea moyoni: “Hakuna Mungu.” – Zaburi 14:1(BHN)

Kumbe mtu anaweza kuwa na PhD, lakini kama anadai kwamba Mungu hayupo, mtu huyo ni MPUMBAVU kabisa mbele za Mungu.

Mungu kama anakuita Mpumbavu, unatarajia nini?
Bora hao kuliko Tanzania ambako tunaongozwa na wapumbavu, upumbavu ni kipaji mpumbavu ni mtu aliyebobea kwenye jambo fulani lakini ana mapuuza hatekelezi majukumu yake kwa weledi anajizima data
 
Ungekuwa unasoma Biblia usingekosa majibu ya maswali yako. Biblia inaeleza wazi hizi ni siku za mwisho ndio sababu maadili yameporomoka. Ukisoma 2 Tim 3:1-2 imeandikwa hivi:
"Kumbuka kwamba, katika siku za mwisho kutakuwa na nyakati za taabu. Watu watakuwa na ubinafsi, wenye tamaa ya fedha, wenye majivuno, wenye kujiona, wenye kumtukana Mungu, wasiowatii wazazi wao, wasio na shukrani na waovu; watatokea watu wasio na upendo moyoni, wasio na huruma, wachongezi, walafi na wakali; watachukia chochote kilicho chema; watakuwa wahaini, wakaidi na waliojaa kiburi; watapenda anasa kuliko kumpenda Mungu. Kwa nje wataonekana kama watu wenye kumcha Mungu, lakini wataikana nguvu yake. Jiepushe kabisa na watu wa namna hiyo..."

JESUS IS COMING SOON, REPENT OF YOUR SINS BEFORE IT'S TOO LATE.
Mungu yupo ila Dini zenu ni utapeli.

Mtu kama wewe utakuwa mashaidi wa Yehevo.
 
Hawa ni bora kuliko fake Pastor Tony na Mwamposa kwa sababu hawanyang'anyi kidogo cha maskini wala kuvunja ndoa za watu kwa kuwateka wanawake kisaikolojia. Pia ni bora kuliko viongozi wa Boko Haram na vikundi vingine viovu vinavyotumia dini.
Kweli kabisa

Ova
 
Siyo Wapumbavu! Hao ni Wajinga tu, hawakupewa Ufunuo wa Kumjua Mungu wa Kweli.
Mpumbavu ni yule aliyepewa ufunuo wa Kumjua Mungu na kuokolewa harafu baadaye akaanza kumkana Mungu au akaiacha Njia ya Kweli na kuelekea upotevuni.
 
Hii sio sahihi kwa sababu Mungu amewapa wanadamu uhuru wa kuchagua(free will), hivyo watu wanaweza kuamua kumkataa.
Kama Mungu alitoa uhuru wa kuchagua, kwanini wewe unawaita wapumbavu? Kwamba Mungu alikosea kuwapa uhuru?

Kumuita mtu mpumbavu maana yake unamuona mpumbavu mpaka yule aliyetoa ruhusa ya uhuru kwa watu
 
Back
Top Bottom