Ni ajabu hawa watu wana PhDs lakini ni Wapumbavu kabisa

Ni ajabu hawa watu wana PhDs lakini ni Wapumbavu kabisa

Kuna watu wana elimu ya juu kabisa, wana PhD, lakini ni wapumbavu wa kutupwa. Hebu leo tuangalie baadhi yao:

Richard Dawkins (PhD in Biology). Huyu ameshinda tuzo nyingi kwa kazi zake za sayansi, lakini anatumia muda mwingi kuhubiri kuwa Mungu hayupo. Anasema maisha yalitokea kwa bahati tu!

Lawrence Krauss (PhD in Theoretical Physics) - ameandika kitabu "A Universe from Nothing," akidai eti the universe can originate without a divine creator. Katika kitabu hicho, hana hoja za maana, anazungusha zungusha tu maneno.

Karl Marx (PhD in Philosophy). Huyu alikuwa staunch atheist. Ndiye aliyepandikiza sumu ya Ukomunisti, akifundisha kwamba dini ni "opium ya watu." Matokeo yake? Mamilioni walikufa kwa sababu ya mawazo yake potofu.

Hao watu Mungu anawaita “Wapumbavu”
"Wapumbavu hujisemea moyoni: “Hakuna Mungu.” – Zaburi 14:1(BHN)

Kumbe mtu anaweza kuwa na PhD, lakini kama anadai kwamba Mungu hayupo, mtu huyo ni MPUMBAVU kabisa mbele za Mungu.

Mungu kama anakuita Mpumbavu, unatarajia nini?
Wewe unamjua Mungu kwa vile kaandikwa kwenye Biblia au kwasababu ya moyoni mwako? Mkikaa kwenye mjadala utakuta wana hoja kuliko wewe! Sanasana wewe utaanza sijui nimefunuliwa!
 
Kuna watu wana elimu ya juu kabisa, wana PhD, lakini ni wapumbavu wa kutupwa. Hebu leo tuangalie baadhi yao:

Richard Dawkins (PhD in Biology). Huyu ameshinda tuzo nyingi kwa kazi zake za sayansi, lakini anatumia muda mwingi kuhubiri kuwa Mungu hayupo. Anasema maisha yalitokea kwa bahati tu!

Lawrence Krauss (PhD in Theoretical Physics) - ameandika kitabu "A Universe from Nothing," akidai eti the universe can originate without a divine creator. Katika kitabu hicho, hana hoja za maana, anazungusha zungusha tu maneno.

Karl Marx (PhD in Philosophy). Huyu alikuwa staunch atheist. Ndiye aliyepandikiza sumu ya Ukomunisti, akifundisha kwamba dini ni "opium ya watu." Matokeo yake? Mamilioni walikufa kwa sababu ya mawazo yake potofu.

Hao watu Mungu anawaita “Wapumbavu”
"Wapumbavu hujisemea moyoni: “Hakuna Mungu.” – Zaburi 14:1(BHN)

Kumbe mtu anaweza kuwa na PhD, lakini kama anadai kwamba Mungu hayupo, mtu huyo ni MPUMBAVU kabisa mbele za Mungu.

Mungu kama anakuita Mpumbavu, unatarajia nini?
Kazi zao ni za ki sayansi, si kama mziki unaamua upende au kutopenda kulingana na melody, ryrics, genre.
 
Kuna watu wana elimu ya juu kabisa, wana PhD, lakini ni wapumbavu wa kutupwa. Hebu leo tuangalie baadhi yao:

Richard Dawkins (PhD in Biology). Huyu ameshinda tuzo nyingi kwa kazi zake za sayansi, lakini anatumia muda mwingi kuhubiri kuwa Mungu hayupo. Anasema maisha yalitokea kwa bahati tu!

Lawrence Krauss (PhD in Theoretical Physics) - ameandika kitabu "A Universe from Nothing," akidai eti the universe can originate without a divine creator. Katika kitabu hicho, hana hoja za maana, anazungusha zungusha tu maneno.

Karl Marx (PhD in Philosophy). Huyu alikuwa staunch atheist. Ndiye aliyepandikiza sumu ya Ukomunisti, akifundisha kwamba dini ni "opium ya watu." Matokeo yake? Mamilioni walikufa kwa sababu ya mawazo yake potofu.

Hao watu Mungu anawaita “Wapumbavu”
"Wapumbavu hujisemea moyoni: “Hakuna Mungu.” – Zaburi 14:1(BHN)

Kumbe mtu anaweza kuwa na PhD, lakini kama anadai kwamba Mungu hayupo, mtu huyo ni MPUMBAVU kabisa mbele za Mungu.

Mungu kama anakuita Mpumbavu, unatarajia nini?
Aliyekwambia elimu inafuta upumbavu ni nani? Kazi ya elimu ni kufuta ujinga tu
 
Wewe unamjua Mungu kwa vile kaandikwa kwenye Biblia au kwasababu ya moyoni mwako? Mkikaa kwenye mjadala utakuta wana hoja kuliko wewe! Sanasana wewe utaanza sijui nimefunuliwa!
Namjua Mungu kuliko unavyofikiri. Dawkins hawezi kukemea pepo wakatoka. Watamrarua. Mimi shetani ananifahamu. Akija kwangu nikitamka tu: "Kwa Jina la Yesu, tokaaaa..." Shetani huyooo anakimbia!

Onjeni muone jinsi BWANA alivyo mwema
 
Thanks,. Kwenye Neno uko vizuri sana kwani unauwezo wa kuandika kitu na kukihusianisha na vifungu vya Biblia, Congratulations. Hivi wewe ni Mshirika wa kawaida? Mwalimu? au Mwinjilisti?.
 
ukielewa kwamba binadamu ni roho hutakuwa na maswali juu ya uwepo wa MUNGU .kama binadamu aliumbwa kwa mfano wa MUNGU basi na MUNGU ni roho pia,roho ni kitu ambacho hakionekani kwa macho ya kawaida,,kila kitu kinachanzo chake kilichofanya kuwepo huwezi sema tulitokea duniani tu kwa bahati mbaya
 
Yeah, huyu naye ingawa alipata PhD alikuwa mpumbavu sana. Stephen Hawking alikuwa haamini kwamba kuna maisha baada ya kifo. Kama hakutubu kabla ya kifo chake, saa hizi atakuwa anaungua motoni na kusema maneno kama ya yule tajiri: "Babu Abrahamu, nionee huruma; umtume Lazaro angalau achovye ncha ya kidole chake katika maji, auburudishe ulimi wangu, maana ninateseka mno katika moto huu.(Luka 16:22-24)
Atakuwa anaunguaje na siku ya hukumu bado? Au ilifanyika jana?
 
Ndugu yangu, umesema labda unaweza kuamini. Hii ina maana kwamba huamini kuwa Mungu yupo. Lakini hebu fikiria uhai wako, hewa unayovuta, ulimwengu wenye utaratibu kamili—unafikiri vyote hivi vilitokea kwa bahati tu kama huyo jamaa anavyodai? La hasha! Hata Waswahili wanasema "Ukiona vyaelea, vimeundwa"

Kila kitu kinachotuzunguka ni ushahidi kuwa kuna Mungu aliye hai na ndiye aliyetuumba. “Mbingu zauhubiri utukufu wa Mungu, na anga laitangaza kazi ya mikono yake.” (Zaburi 19:1)

Mungu alipoiumba dunia, wanadamu wa kwanza Adam na Hawa walitenda dhambi kwa kula tunda la mti waliokatazwa. Mungu akasema, kwakuwa wamefanya dhambi hiyo watakufa. Kuanzia wakati huo, kifo, dhambi na uovu viliingia duniani. Ndiyo sababu kila mtu anayezaliwa anakuwa katika hali ya dhambi. Jiulize kwanini mtoto mchanga akinyimwa titi na mamaye anampiga, nani amemfundisha kupiga? Ni asili ya dhambi iliyomo ndani yake.

Dhambi hii ilitutenganisha na Mungu. Ila kwakuwa Mungu ana upendo, alichukua hatua ya kumtuma Yesu Kristo duniani ili aje atuokoe. “Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe wa pekee, ili kila amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.” (Yohana 3:16)

Ilibidi damu yake Yesu imwagike msalabani ndio tuweze kupatanishwa na Mungu na kusamehewa dhambi zetu. Yesu alikufa kwa ajili ya dhambi zetu—ikiwa ni pamoja na dhambi ya kutoamini. “Bali Mungu aonyesha pendo lake mwenyewe kwetu, kwa kuwa Kristo alikufa kwa ajili yetu, tulipokuwa tungali wenye dhambi.” (Warumi 5:8)

Ili uupate msamaha huo, unahitaji kufanya haya yafuatayo:

Amini na kukiri moyoni mwako kuwa Yesu alikufa na kufufuka kwa ajili yako. Warumi 10:9-10 –
“Kwa sababu ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu, utaokoka. Kwa maana kwa moyo mtu huamini hata kupata haki, na kwa kinywa hukiri hata kupata wokovu.”

Tubu dhambi zako zote na uziache kabisa. Matendo 3:19 – “Tubuni basi, mrejee, ili dhambi zenu zifutwe, zipate kuja nyakati za kuburudishwa kwa kuwako kwake Bwana.”

Mpokee Yesu moyoni mwako kwa imani awe Bwana na Mwokozi wako. Yohana 1:12 – “Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake."

Ukifanya hayo tu utakuwa umeokoka. Utakuwa umeokoka hukumu ya moto wa milele na utakuwa umepata "tiketi" ya kuingia mbinguni siku Yesu atakaporudi. Wasioamini wote watatupwa katika moto wa milele. Ufunuo 21:8 –"Bali waoga, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, na waabudu sanamu, na waongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili."

Kwahiyo nakusihi, usikubali moyo wako uendelee kutoamini. Usikubali shetani akudanganye eti Mungu hayupo. Shetani ameishahukumiwa kutupwa katika ziwa liwakalo moto.

Mpokee Yesu sasa na utaona nguvu yake na uwepo wake maishani mwako.

Kama uko tayari kufanya hayo niliyokuambia, omba(fuatisha sala hii ya toba) kwa moyo wako wa dhati, Mungu atakusamehe na kukuhesabu kuwa mtoto wake sasa hivi:

Omba hivi:
"Ee Mungu Baba, nimetambua mimi ni mwenye dhambi. Leo nakuja mbele zako nikiomba msamaha wako. Natubu dhambi zangu zote na kuziacha. Nakiri kuwa Yesu Kristo ni Bwana, na Yeye ndiye Mwokozi wa ulimwengu. Yesu karibu moyoni mwangu utawale maisha yangu kuanzia leo. Naomba unipe nguvu ya kushinda dhambi na kuishi maisha matakatifu. Namkataa shetani na kazi zake zote. Asante Yesu kwa kuniokoa. Katika Jina la Yesu Kristo, ninaomba na kushukuru. Amen.”

Kama umeomba sala hiyo kwa moyo wako wa dhati, tayari umeokoka. Anza kusoma Biblia kila siku na kumuomba Mungu akusaidie kuendelea vizuri kiroho. Tafuta pia Kanisa lolote linalohubiri wokovu na kufundisha utakatifu, watakupa msaada zaidi wa jinsi ya kukua kiroho.

Karibu kwenye familia ya wanaoamini kuwa Mungu yupo na wanaokwenda kwake mbinguni kwenye raha ya milele!
Ndugu yangu, umesema labda unaweza kuamini. Hii ina maana kwamba huamini kuwa Mungu yupo. Lakini hebu fikiria uhai wako, hewa unayovuta, ulimwengu wenye utaratibu kamili—unafikiri vyote hivi vilitokea kwa bahati tu kama huyo jamaa anavyodai? La hasha! Hata Waswahili wanasema "Ukiona vyaelea, vimeundwa"

Kila kitu kinachotuzunguka ni ushahidi kuwa kuna Mungu aliye hai na ndiye aliyetuumba. “Mbingu zauhubiri utukufu wa Mungu, na anga laitangaza kazi ya mikono yake.” (Zaburi 19:1)

Mungu alipoiumba dunia, wanadamu wa kwanza Adam na Hawa walitenda dhambi kwa kula tunda la mti waliokatazwa. Mungu akasema, kwakuwa wamefanya dhambi hiyo watakufa. Kuanzia wakati huo, kifo, dhambi na uovu viliingia duniani. Ndiyo sababu kila mtu anayezaliwa anakuwa katika hali ya dhambi. Jiulize kwanini mtoto mchanga akinyimwa titi na mamaye anampiga, nani amemfundisha kupiga? Ni asili ya dhambi iliyomo ndani yake.

Dhambi hii ilitutenganisha na Mungu. Ila kwakuwa Mungu ana upendo, alichukua hatua ya kumtuma Yesu Kristo duniani ili aje atuokoe. “Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe wa pekee, ili kila amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.” (Yohana 3:16)

Ilibidi damu yake Yesu imwagike msalabani ndio tuweze kupatanishwa na Mungu na kusamehewa dhambi zetu. Yesu alikufa kwa ajili ya dhambi zetu—ikiwa ni pamoja na dhambi ya kutoamini. “Bali Mungu aonyesha pendo lake mwenyewe kwetu, kwa kuwa Kristo alikufa kwa ajili yetu, tulipokuwa tungali wenye dhambi.” (Warumi 5:8)

Ili uupate msamaha huo, unahitaji kufanya haya yafuatayo:

Amini na kukiri moyoni mwako kuwa Yesu alikufa na kufufuka kwa ajili yako. Warumi 10:9-10 –
“Kwa sababu ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu, utaokoka. Kwa maana kwa moyo mtu huamini hata kupata haki, na kwa kinywa hukiri hata kupata wokovu.”

Tubu dhambi zako zote na uziache kabisa. Matendo 3:19 – “Tubuni basi, mrejee, ili dhambi zenu zifutwe, zipate kuja nyakati za kuburudishwa kwa kuwako kwake Bwana.”

Mpokee Yesu moyoni mwako kwa imani awe Bwana na Mwokozi wako. Yohana 1:12 – “Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake."

Ukifanya hayo tu utakuwa umeokoka. Utakuwa umeokoka hukumu ya moto wa milele na utakuwa umepata "tiketi" ya kuingia mbinguni siku Yesu atakaporudi. Wasioamini wote watatupwa katika moto wa milele. Ufunuo 21:8 –"Bali waoga, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, na waabudu sanamu, na waongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili."

Kwahiyo nakusihi, usikubali moyo wako uendelee kutoamini. Usikubali shetani akudanganye eti Mungu hayupo. Shetani ameishahukumiwa kutupwa katika ziwa liwakalo moto.

Mpokee Yesu sasa na utaona nguvu yake na uwepo wake maishani mwako.

Kama uko tayari kufanya hayo niliyokuambia, omba(fuatisha sala hii ya toba) kwa moyo wako wa dhati, Mungu atakusamehe na kukuhesabu kuwa mtoto wake sasa hivi:

Omba hivi:
"Ee Mungu Baba, nimetambua mimi ni mwenye dhambi. Leo nakuja mbele zako nikiomba msamaha wako. Natubu dhambi zangu zote na kuziacha. Nakiri kuwa Yesu Kristo ni Bwana, na Yeye ndiye Mwokozi wa ulimwengu. Yesu karibu moyoni mwangu utawale maisha yangu kuanzia leo. Naomba unipe nguvu ya kushinda dhambi na kuishi maisha matakatifu. Namkataa shetani na kazi zake zote. Asante Yesu kwa kuniokoa. Katika Jina la Yesu Kristo, ninaomba na kushukuru. Amen.”

Kama umeomba sala hiyo kwa moyo wako wa dhati, tayari umeokoka. Anza kusoma Biblia kila siku na kumuomba Mungu akusaidie kuendelea vizuri kiroho. Tafuta pia Kanisa lolote linalohubiri wokovu na kufundisha utakatifu, watakupa msaada zaidi wa jinsi ya kukua kiroho.

Karibu kwenye familia ya wanaoamini kuwa Mungu yupo na wanaokwenda kwake mbinguni kwenye raha ya milele!

Amen. Ubarikiwe mtumishi kwa huduma hii njema sana!
 
Binafsi naamini uwepo wa mungu. Naomba nihadithie kisa kimoja Cha mshikaji wangu mtu wa kanisa sana. Katika stori wiki mbili zilizopita aliniambia jambo ambalo nalijua lakini sikutegemea yeye aseme! Kwamba dini zililetwa kwetu Afrika kwasababu ya kutufundisha unyenyekevu dhidi ya waliokuwa wanyonyaji wetu, si wazungu tu hata Waarabu ndo maana walipokuja waliendelea kutunyonya wakitumia dini kama fimbo ya kutuchapa tusi -rise riot!

Pia akanambia dini Kwa namna flani zimeleta ustaarabu wa maisha yetu ya kisasa, tusiuane, tupendane nk. But kiukweli hata Afrika tulikuwa na dini ambazo watu waliomba mvua zikanyesha, waliomba ndoa, ujauzito Kwa mungu wao wakapata!

Africa tulikubali dini hizi ni nzuri but wenzetu wa bara Hindi, Japan ns Uchina wao walin'gan'gana na dini zao za asili ambazo huwasaidia na hujibiwa Kwa haraka wakimuomba mungu wao pia.
Hebu fikiria huyu ng'ombe tunayemla akichinjwa huku Afrika Kule Uhindi ni mungu wao anayewaletea na kujaalia neema kedekede.
 
Aliyekwambia elimu inafuta upumbavu ni nani? Kazi ya elimu ni kufuta ujinga tu
PhD zao hazijafuta ujinga wao. Wana PhD lakini hawajui dunia ilianzaje. Hawajui kuwa Mungu yupo.

Hivyo bado ni wajinga + wapumbavu.

Mithali 1:7: "Kumcha Bwana ni chanzo cha maarifa, bali wapumbavu hudharau hekima na adabu.”
 
what is religion?

Dini ni taratibu walizojiwekea wanadamu wakijaribu kumtafuta Mungu. Huwa wanatumia akili kumtafuta Mungu.

Kristo hakuleta dini duniani, Bali wokovu. Alikuja kutuokoa tuliopotea. Kristo alipokuja alikuta dini duniani za Kiyahudi - Mafarisayo na Masadukayo. Watu Hawa wa dini hawakuwa wanamwelewa Kristo. Hata leo watu wa dini huwa hawamwelewi Kristo.

Fuata hiyo Sala ya mtumishi Setfree hapo juu kwa kumaanisha kisha utapokea Wokovu na Roho wa Mungu atakufunulia mengi ambayo akili yako kamwe haiwezi kuyaelewa!

karibu kwenye ufalme
 
Binafsi naamini uwepo wa mungu. Naomba nohadithie kisa kimoja Cha mshikaji wangu mtu wa kanisa sana. Katika stori wiki mbili zilizopita aliniambia jambo ambalo nalijua lakini sikutegemea yeye aseme! Kwamba dini zililetwa kwetu Afrika kwasababu ya kutufundisha unyenyekevu dhidi ya waliokuwa wanyonyaji wetu, si wazungu tu hata Waarabu ndo maana walipokuja waliendelea kutunyonya wakitumia dini kama fimbo ya kutuchapa tukirise riot!

Pia akanambia dini Kwa namna flani zimeleta ustaarabu wa maisha yetu ya kisasa, tusiuane, tupendane nk.
Unaweza kuwa mtu wa Kanisa kumbe unasindikiza tu wengine kwenda mbinguni.
 
Kuna watu wana elimu ya juu kabisa, wana PhD, lakini ni wapumbavu wa kutupwa. Hebu leo tuangalie baadhi yao:

Richard Dawkins (PhD in Biology). Huyu ameshinda tuzo nyingi kwa kazi zake za sayansi, lakini anatumia muda mwingi kuhubiri kuwa Mungu hayupo. Anasema maisha yalitokea kwa bahati tu!

Lawrence Krauss (PhD in Theoretical Physics) - ameandika kitabu "A Universe from Nothing," akidai eti the universe can originate without a divine creator. Katika kitabu hicho, hana hoja za maana, anazungusha zungusha tu maneno.

Karl Marx (PhD in Philosophy). Huyu alikuwa staunch atheist. Ndiye aliyepandikiza sumu ya Ukomunisti, akifundisha kwamba dini ni "opium ya watu." Matokeo yake? Mamilioni walikufa kwa sababu ya mawazo yake potofu.

Hao watu Mungu anawaita “Wapumbavu”
"Wapumbavu hujisemea moyoni: “Hakuna Mungu.” – Zaburi 14:1(BHN)

Kumbe mtu anaweza kuwa na PhD, lakini kama anadai kwamba Mungu hayupo, mtu huyo ni MPUMBAVU kabisa mbele za Mungu.

Mungu kama anakuita Mpumbavu, unatarajia nini?
Sidhani kama utakuwa sahihi, mtu kama karl marx aliitendea haki phd yake kwa kujenga hoja ambazo mpka leo zinaesha mashiko yake (marx's theories of life) sasa hapa bongo kuna phd ngapi tumezipa kazi serikalini na hakuna cha maana? Hao una haki ya kuwaita wapumbafu
 
Back
Top Bottom