Why unadhani ni bahati mbaya? naamini huu ni mchezo wa kulindana uliopo miaka mingi kati ya polisi na viongozi wa CCM.
..Ninachojaribu kusema ni kwamba Rais SSH amedanganya, but she was not convincing.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Why unadhani ni bahati mbaya? naamini huu ni mchezo wa kulindana uliopo miaka mingi kati ya polisi na viongozi wa CCM.
Ni kweli Hana???Please, respect our Head of State...Huna adabu wewe!
Kumtusi Rais ni kutukana watanzania wote; inamaana sisi tuliopiga kura kumweka kama Makamu wa Rais ambaye ni Rais in waiting hatukua akili....
Kwanini mnapenda provocation?
Please, respect our Head of State...Huna adabu wewe!
Kumtusi Rais ni kutukana watanzania wote; inamaana sisi tuliopiga kura kumweka kama Makamu wa Rais ambaye ni Rais in waiting hatukua akili....
Kwanini mnapenda provocation?
Nimemsikiliza Rais wetu, kwa kweli sijamuelewa...!! Labda anayejuwa waliohukumiwa tayari watuambie ni akina nani wanatumikia vifungo vyao, na wanavitumikia wapi..Mhe. Rais ameileza BBC kwamba watuhumiwa wengine kwenye kesi ya Mbowe wanatumikia adhabu zao, je hizi taarifa ni za kweli? Kama siyo za kweli haiwezekani hukumu ikawa ilishaandikwa na yeye amepewa nakala ila watuhumiwa awajasomewa?
Waambie mkuu. Siyo vizuri. Mkumbuke rais naye ni. binadamu. Jiweke pia sehemu yake. Utafurahi ukifanyiwa hivyo. Maadili ni kitu muhimu.Please, respect our Head of State...Huna adabu wewe!
Kumtusi Rais ni kutukana watanzania wote; inamaana sisi tuliopiga kura kumweka kama Makamu wa Rais ambaye ni Rais in waiting hatukua akili....
Kwanini mnapenda provocation?
Kwani kaongea uongoo?Please, respect our Head of State...Huna adabu wewe!
Kumtusi Rais ni kutukana watanzania wote; inamaana sisi tuliopiga kura kumweka kama Makamu wa Rais ambaye ni Rais in waiting hatukua akili....
Kwanini mnapenda provocation?
Huruma kwa watu kama hawa ndio huzaa janga,..., na ncvhi inaelekea kwenye janga!huyu mama nimejikuta namhurumia sana
Ikulu ni Mzigo - JK NYERERE