Ni akina nani waliohukumiwa kwenye kesi ya ugaidi inayomkabili Mbowe kama alivyosema Rais Samia?

Ni akina nani waliohukumiwa kwenye kesi ya ugaidi inayomkabili Mbowe kama alivyosema Rais Samia?

Yuko madarakani kwa ule uchaguzi wa kishenzi uliofanyika chini ya yule kiongozi muovu.
Hata wewe umengeuka mapema hii? Madaraka hayapatikani kwakuiweka nchi rehani, hata Mungu hatakiwa upande wenu...Acheni tamaa zenu hizo!
 
Hata wewe umengeuka mapema hii? Madaraka hayapatikani kwakuiweka nchi rehani, hata Mungu hatakiwa upande wenu...Acheni tamaa zenu hizo!

Madaraka yanapatikana kwa maagizo kama ya yule kiongozi muovu aliye motoni? Au una hatukuona ule ushenzi, ukatili na uhayawani wa wazi uliofanyika kwenye uchaguzi wa 2020?
 
Madaraka yanapatikana kwa maagizo kama ya yule kiongozi muovu aliye motoni? Au una hatukuona ule ushenzi, ukatili na uhayawani wa wazi uliofanyika kwenye uchaguzi wa 2020?
Wewe utakuwa kizazi cha mafisadi, urithi umevurugwa na hayati ndiyo maana ya hasira zote hizi🤣🤣🤣
 
Respect is ALWAYS a TWO WAY TRAFFIC. Provocation!? Who is provocating who? Wewe babaako angekuwa yuko ndani kwa ushahidi FEKI ungeandika upuuzi kama huu!? Au mkuki ni kwa nguruwe!? 😳😳😳
Kwahiyo akimtukana Rais ndiyo case itafutwa?
 
Please, respect our Head of State...Huna adabu wewe!

Kumtusi Rais ni kutukana watanzania wote; inamaana sisi tuliopiga kura kumweka kama Makamu wa Rais ambaye ni Rais in waiting hatukua akili....

Kwanini mnapenda provocation?
Kura zipi unazozungumzia?!
 
Kwa kuwa sasa suala la Ndugu.Mbowe limeshafika ngazi za kimahakama basi tusubiri sheria iamue..

Kivyovyote vile hata kama mashtaka yake yatakuwa ni ya kubumba na shinikizo huku nje na jumuiya za kimataifa zikaendelea bado msitegemee Ndugu.Mbowe kuachiwa mapema "yaani DPP aseme hana haja ya kuendelea na kesi" itakuwa ngumu mno kutokana na mahojiano ya leo kati ya BBC na Ndugu.Samia.
 
Wewe utakuwa kizazi cha mafisadi, urithi umevurugwa na hayati ndiyo maana ya hasira zote hizi🤣🤣🤣

Ni hivi yule ibilisi alikuwa ni kiongozi muovu fullstop.
 
Please, respect our Head of State...Huna adabu wewe!

Kumtusi Rais ni kutukana watanzania wote; inamaana sisi tuliopiga kura kumweka kama Makamu wa Rais ambaye ni Rais in waiting hatukua akili....

Kwanini mnapenda provocation?
Yes, huna akili wewe
 
Jibu ni neno moja tu. MWONGO
Namba hazijawahi kudanganya, kwa mujibu hati ya mashitaka ,Mbowe ameshitakiwa pamoja na wenzake watatu, kwa mashitaka kadhaa huku Mbowe akikabiliwa na mashtaka mawili, hawa wote wako rumande na kesi yao inaendelea .

Nukuu
Rais Samia: Mimi sidhani kama yamechochewa kisiasa kwasababu navyojua Mbowe alifunguliwa Kesi mwezi wa Tisa mwaka jana (2020), kwa hiyo yeye pamoja na wengine na kama ulivyosema mashtaka ni ugaidi na kuhujumu uchumi. Nadhani wenziwe kesi zao zimesikilizwa na wengine wameshapewa sentence zao wanatumikia. Yeye (Mbowe) upelelezi ulikuwa haujeisha, uchunguzi ulikuwa unaendelea so amekwenda amefanya tumeingia kwenye uchaguzi, amemaliza uchaguzi nadhani sasa Polisi wamekamilisha uchunguzi wao, wamemuhitaji waendelee na kazi yao.

Sasa hao wengine ambao Mtukufu Rais Samia anadai walikwishahukumiwa ni akina nani na wako wangapi na wako gereza gani?
 
Namba hazijawahi kudanganya, kwa mujibu hati ya mashitaka ,Mbowe ameshitakiwa pamoja na wenzake watatu, kwa mashitaka kadhaa huku Mbowe akikabiliwa na mashtaka mawili, hawa wote wako rumande na kesi yao inaendelea .

Nukuu
Rais Samia: Mimi sidhani kama yamechochewa kisiasa kwasababu navyojua Mbowe alifunguliwa Kesi mwezi wa Tisa mwaka jana (2020), kwa hiyo yeye pamoja na wengine na kama ulivyosema mashtaka ni ugaidi na kuhujumu uchumi. Nadhani wenziwe kesi zao zimesikilizwa na wengine wameshapewa sentence zao wanatumikia. Yeye (Mbowe) upelelezi ulikuwa haujeisha, uchunguzi ulikuwa unaendelea so amekwenda amefanya tumeingia kwenye uchaguzi, amemaliza uchaguzi nadhani sasa Polisi wamekamilisha uchunguzi wao, wamemuhitaji waendelee na kazi yao.

Sasa hao wengine ambao Mtukufu Rais Samia anadai walikwishahukumiwa ni akina nani na wako wangapi na wako gereza gani?
Amepotoshwa..naye amekubali
 
Mkuu,

Mbona unajichanganya?

Si unapigania serikali TATU sio? Ni kitu gani na kitu ukijumlisha kinaleta TATU?

Wanaodai serikali MBILI iendelee wanatoa sababu ya kihesabu kwamba 1 jumlisha moja ni MBILI

Je Ngapi jumlisha ngapi upate TATU?

Tanganyika HURU=1

Zanzibar HURU=1

Tan-Zan......(Kimalizio ni kifupi cha jina la mtu binafsi na dini yake)

IA.......Iqbal+Ahmadiya

Tan-Zan-IA (Mmiliki halali wa jina la Tanzania ni MOHAMMED IQBAL DAR muumini wa dini ya AHMADIYA MUSLIM JAMAAT)

Nchi hii imepatikana kimaajabu, watu wake ni waajabu na matukio ya yanayoendelea kutokea ni ya adabu, mauzauza na giza tupu

Mwanzilishi wa jina hili ni mstaarabu wa kiwango cha juu sana vinginevyo angedaia haki yake mpaka kwenye mahakama za kimataifa ikiwemo kusudio la kumilikishwa nchi na kuabudiwa kama mwenye mali

Wananchi msigombane bure nchi hii siyo yenu ina mwenyewe kwahiyo unapojitwika jeuri kwamba lazima ni dai hili ama lile litekelezwe ni ajabu maana hata viongozi inawabidi kutii masharti na kiapo wanachokutana nacho ambacho wewe na mimi ambao hatujawahi kuingia kwenye tanuru la jumba la kiutawala wa nchi kushuhudia hivyo madai yoyote ukianzisha yatakuwa hewa na ukishupaza shingo utavunjika.
Usituletee udini wa kipuuzi wewe
Hapo mbele ya Mauritios kuna kisiwa kinaitwa Chato.
Walihamishwa wanakijiji wote kupelekwa UK wengine wakanunuliwa ardhi Mauritius.
Sasa hivi hapo ni military base compound.
Us+UK Army Comando wako hapo wamegeuza ni kwao.
Hao wana Chato wanaomba warudi kwao bila mafanikio,.
 
Back
Top Bottom