Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akafungua na acc za gaidi[emoji849]..Mbowe alijificha Nairobi.
..Uchunguzi ulipokamilika akarudi Tanzania.
..Na aliporudi Rais akamtumia salamu.
..Only in Tanzania.[emoji1787]
Huyo Rais wenu ni mwehuPlease, respect our Head of State...Huna adabu wewe!
Kumtusi Rais ni kutukana watanzania wote; inamaana sisi tuliopiga kura kumweka kama Makamu wa Rais ambaye ni Rais in waiting hatukua akili....
Kwanini mnapenda provocation?
Toa sababu nyingine lakini usizungumzie kuchaguliwa. Kwa hii Serikali tuliyo nayo nayo sasa, siyo zao la uchaguzi bali ni tunda la ushetani wa serikali ya awamu ya 5, ndiyo maana roho ya marehemu haiwezi kupata pumziko kutokana na uovu uliopitiliza.Please, respect our Head of State...Huna adabu wewe!
Kumtusi Rais ni kutukana watanzania wote; inamaana sisi tuliopiga kura kumweka kama Makamu wa Rais ambaye ni Rais in waiting hatukua akili....
Kwanini mnapenda provocation?
You've got a 'Banana Republic', what do you expect?..Mbowe alijificha Nairobi.
..Uchunguzi ulipokamilika akarudi Tanzania.
..Na aliporudi Rais akamtumia salamu.
..Only in Tanzania.🤣
Anapokea KILA kituNadhani Huyu Mama wabaya wake wamemlengesha ili aonekane kituko mbele ya jamii. Nae vile wakusinzia anadhani anapendwa kumbe makukuru tiyari washampigia hesabu.
Kwa ninavyofahamu Mimi ni kwamba ukiacha watuhumiwa wale uamsho walioachiwa majuzi, sikumbuki Kama Kama kulikuwa na watuhumiwa wengine wa ugaidi.
Ni vizuri sasa wasaidizi wa Rais waje wafanye kutukumbusha ama kutupikia taarifa.
AKarudishiwa na ile faini ya Tshs. 350MAkafungua na acc za gaidi[emoji849]
You've got a 'Banana Republic', what do you expect?
Kwani si kuna binadamu wasio na akili? Au nakosea? Yule wa Mwanza alisema tulishawahi kabidhi nchi kwa kichaa..!! Au nakosea ndugu zangu? NASEMA UKWELI.. MSEMA KWELI NI MPENZI WA MUNGU..!!Waambie mkuu. Siyo vizuri. Mkumbuke rais naye ni. binadamu. Jiweke pia sehemu yake. Utafurahi ukifanyiwa hivyo. Maadili ni kitu muhimu.
Naomba kujua wasomi nchii hii ni asilima ngapi na wasio na elimu asilimia ngapi, na tu generalize kwamba walio wengi ndio wamemchagua mwenzao awaongozePlease, respect our Head of State...Huna adabu wewe!
Kumtusi Rais ni kutukana watanzania wote; inamaana sisi tuliopiga kura kumweka kama Makamu wa Rais ambaye ni Rais in waiting hatukua akili....
Kwanini mnapenda provocation?
Ukweli ni kwamba mama wa kambo alikuwa anaoongea uongo, ndio maana amejikuta anajichanganya.Namba hazijawahi kudanganya, kwa mujibu hati ya mashitaka ,Mbowe ameshitakiwa pamoja na wenzake watatu, kwa mashitaka kadhaa huku Mbowe akikabiliwa na mashtaka mawili, hawa wote wako rumande na kesi yao inaendelea .
Nukuu
Rais Samia: Mimi sidhani kama yamechochewa kisiasa kwasababu navyojua Mbowe alifunguliwa Kesi mwezi wa Tisa mwaka jana (2020), kwa hiyo yeye pamoja na wengine na kama ulivyosema mashtaka ni ugaidi na kuhujumu uchumi. Nadhani wenziwe kesi zao zimesikilizwa na wengine wameshapewa sentence zao wanatumikia. Yeye (Mbowe) upelelezi ulikuwa haujeisha, uchunguzi ulikuwa unaendelea so amekwenda amefanya tumeingia kwenye uchaguzi, amemaliza uchaguzi nadhani sasa Polisi wamekamilisha uchunguzi wao, wamemuhitaji waendelee na kazi yao.
Sasa hao wengine ambao Mtukufu Rais Samia anadai walikwishahukumiwa ni akina nani na wako wangapi na wako gereza gani?
Mkuu,
Mbona unajichanganya?
Si unapigania serikali TATU sio? Ni kitu gani na kitu ukijumlisha kinaleta TATU?
Wanaodai serikali MBILI iendelee wanatoa sababu ya kihesabu kwamba 1 jumlisha moja ni MBILI
Je Ngapi jumlisha ngapi upate TATU?
Tanganyika HURU=1
Zanzibar HURU=1
Tan-Zan......(Kimalizio ni kifupi cha jina la mtu binafsi na dini yake)
IA.......Iqbal+Ahmadiya
Tan-Zan-IA (Mmiliki halali wa jina la Tanzania ni MOHAMMED IQBAL DAR muumini wa dini ya AHMADIYA MUSLIM JAMAAT)
Nchi hii imepatikana kimaajabu, watu wake ni waajabu na matukio ya yanayoendelea kutokea ni ya adabu, mauzauza na giza tupu
Mwanzilishi wa jina hili ni mstaarabu wa kiwango cha juu sana vinginevyo angedaia haki yake mpaka kwenye mahakama za kimataifa ikiwemo kusudio la kumilikishwa nchi na kuabudiwa kama mwenye mali
Wananchi msigombane bure nchi hii siyo yenu ina mwenyewe kwahiyo unapojitwika jeuri kwamba lazima ni dai hili ama lile litekelezwe ni ajabu maana hata viongozi inawabidi kutii masharti na kiapo wanachokutana nacho ambacho wewe na mimi ambao hatujawahi kuingia kwenye tanuru la jumba la kiutawala wa nchi kushuhudia hivyo madai yoyote ukianzisha yatakuwa hewa na ukishupaza shingo utavunjika.
Please, respect our Head of State...Huna adabu wewe!
Kumtusi Rais ni kutukana watanzania wote; inamaana sisi tuliopiga kura kumweka kama Makamu wa Rais ambaye ni Rais in waiting hatukua akili....
Kwanini mnapenda provocation?