Ni ama Makonda aingie kwenye mfumo wa Wana-Arusha au kinyume chake

Ni ama Makonda aingie kwenye mfumo wa Wana-Arusha au kinyume chake

G4N

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2014
Posts
4,283
Reaction score
9,925
Huku Arusha kuna wanaume, tena wana hela chafu mazee. Cha Arusha kiko nje nje, na watu wameranduka ile kinoma, huwa hawataki mafudenge fudenge. Ukiwaletea maroroso wanakuzima mazima.

Tunasubiri kuona, nani mwanaume wa shoka: Wana Arusha ama Makonda? Nani ataingia kwenye mfumo wa mwenzake??

My take.
Kulikuwa hakuna haja ya kuingia kwa kiki. Angeenda kimya kimya kama wenzanke tu .
 
Arusha huwa mnaipaisha sana, hakuna cha zaidi ya miji mingine. Mtu aliyeweza kuiendesha Dar hawezi kushindwa mji wa Arusha. Hata wahuni wa Arusha wana uhuni wa kizamani sana.

NB: Arusha ni mji ninao upenda sana, naweza kwenda ijumaa nikarudi jumatatu bila kuwa na sababu zaidi ya kutalii tu. Ila sio sawa kuuona kama una watu wa tofauti.
 
Hehehe halafu wanapiga mikwara
Mikwara gani ya walevi, wafuta bangi, mashoga?

Kizazi kinaangamia na kushabikiwa na Lema. Uhuni usioleta maendeleo yoyote zaidi ya majanga. Vijana inabidi wajifunze kutumia fursa kujenga Logdes, kazi kuwatembeza watalii wapate kipato halali, kuuza chakula, vitu vyao, ujasiliamala wa ukweli. Wapewe elimu hata ndogo kuendesha boda ukiwa soba.
 
Arusha huwa mnaipaisha sana, hakuna cha zaidi ya miji mingine. Mtu aliyeweza kuiendesha Dar hawezi kushindwa mji wa Arusha. Hata wahuni wa Arusha wana uhuni wa kizamani sana...
Kwa mtu ambaye hajawai kufika Arusha anaweza fikiri ni limji likubwa kweli kwa vitisho vya mtandaoni lakini ukifika unaweza anza kuuliza ndio hapa au kuna sehemu nyingine? Halafu kamji kalivyo kadogo unaweza nyonga baiskeli ndani ya nusu saa umemaliza sehemu zote wanazo ziita mjini.

Kwakweli hakuna kipya ambacho mtu anatakiwa kujifunza ili kuendesha mji wa Arusha maana hata kwa starehe bado uwezi sema wanakula starehe sana maana saa 12 tuu wanabaki wahuni tuu kwenye bar.

Mtu aliyeongoza Dar awezi shindwa kuongoza jiji la Arusha!
 
Ifike mahali watu wa Arusha tuache ushabiki wa kipumbavu na usio na tija.Yaani unakuja kuongea ujinga ukizani sifa. Miundombinu haifai hata kutazama mji umekaa kichoko alafu mnakuja sema jiji la kitalii... aibu tupu mji ata aliefariki miaka ya 60' akirudi amna kipya cha kumshangaza.

Na bado unaleta ushabiki wa kijinga.. nguvu kazi imepotea hamna vijana wameishia kwenye piwa na bangi...

Mkiendeleza huu ushabiki mtabaki kuona maendeleo kwa wengine. Acha makonda aje aondoe uo ushabiki wa kilimbukeni muelewe dunia inapoelekea.
 
Huku Arusha kuna wanaume, tena wana hela chafu mazee. Cha Arusha kiko nje nje, na watu wameranduka ile kinoma, huwa hawataki mafudenge fudenge. Ukiwaletea maroroso wanakuzima mazima.

Tunasubiri kuona, nani mwanaume wa shoka: WanaArisha ama Makonda? Nani ataingia kwenye mfumo wa mwenzake??

My take.
Kulikuwa hakuna haja ya kuingia kwa kiki. Angeenda kimya kimya kama wenzanke tu .
Makonda skili nyingi anajua sana huyu jamaa anakipaji cha kuongoza
 
Arusha inapaswa kunyoshwa kinidhamu alafu hao wameru wawe na utaratibu wakuzunguka mikoa mingine wanajazana ujinga sana hapo arusha

makonda shikisha adabu hao wanaojita wadudu
 
Kwa mtu ambaye hajawai kufika Arusha anaweza fikiri ni limji likubwa kweli kwa vitisho vya mtandaoni lakini ukifika unaweza anza kuuliza ndio hapa au kuna sehemu nyingine? Halafu kamji kalivyo kadogo unaweza nyonga baiskeli ndani ya nusu saa umemaliza sehemu zote wanazo ziita mjini……

Kwakweli hakuna kipya ambacho mtu anatakiwa kujifunza ili kuendesha mji wa Arusha maana hata kwa starehe bado uwezi sema wanakula starehe sana maana saa 12 tuu wanabaki wahuni tuu kwenye bar….
Mtu aliyeongoza Dar awezi shindwa kuongoza jiji la Arusha!
Wanatamba bas mji mdogo sana town yenyewe ni vihaice hakuna costa wanaupamba hakuna kitu
 
Arusha ni umasai mwingi umewajaa na ufala tu.Vijana ni bangi na mapiwa ya Matejoo.Wakijiongeza sana ni kutafuta ukonda na udeiwaka
 
Huku Arusha kuna wanaume, tena wana hela chafu mazee. Cha Arusha kiko nje nje, na watu wameranduka ile kinoma, huwa hawataki mafudenge fudenge. Ukiwaletea maroroso wanakuzima mazima.

Tunasubiri kuona, nani mwanaume wa shoka: WanaArisha ama Makonda? Nani ataingia kwenye mfumo wa mwenzake??

My take.
Kulikuwa hakuna haja ya kuingia kwa kiki. Angeenda kimya kimya kama wenzanke tu .
Wewe nn kimekuuma mpk ukaja kuandika humu?!.
 
Back
Top Bottom