Zee la hovyo
Senior Member
- Apr 25, 2023
- 115
- 386
Wale machalii wa boda boda zinazopiga kelele mwisho wao umefika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Arusha ni umasai mwingi umewajaa na ufala tu.Vijana ni bangi na mapiwa ya Matejoo.Wakijiongeza sana ni kutafuta ukonda na udeiwaka
Wanaarusha wana kipi cha maanaHuku Arusha kuna wanaume, tena wana hela chafu mazee. Cha Arusha kiko nje nje, na watu wameranduka ile kinoma, huwa hawataki mafudenge fudenge. Ukiwaletea maroroso wanakuzima mazima.
Tunasubiri kuona, nani mwanaume wa shoka: WanaArisha ama Makonda? Nani ataingia kwenye mfumo wa mwenzake??
My take.
Kulikuwa hakuna haja ya kuingia kwa kiki. Angeenda kimya kimya kama wenzanke tu .
Anaongoza Mkoa wa Arusha,Kwa mtu ambaye hajawai kufika Arusha anaweza fikiri ni limji likubwa kweli kwa vitisho vya mtandaoni lakini ukifika unaweza anza kuuliza ndio hapa au kuna sehemu nyingine? Halafu kamji kalivyo kadogo unaweza nyonga baiskeli ndani ya nusu saa umemaliza sehemu zote wanazo ziita mjini……
Kwakweli hakuna kipya ambacho mtu anatakiwa kujifunza ili kuendesha mji wa Arusha maana hata kwa starehe bado uwezi sema wanakula starehe sana maana saa 12 tuu wanabaki wahuni tuu kwenye bar….
Mtu aliyeongoza Dar awezi shindwa kuongoza jiji la Arusha!
Upo sahihi. Huwa nawaonaga wanapasifia naona wajinga tu au hawana exposure. Mtu anaisifia Arusha kwa ukatili na ubabe hajawahi kufika Tarime, MugumuArusha huwa mnaipaisha sana, hakuna cha zaidi ya miji mingine. Mtu aliyeweza kuiendesha Dar hawezi kushindwa mji wa Arusha. Hata wahuni wa Arusha wana uhuni wa kizamani sana.
NB: Arusha ni mji ninao upenda sana, naweza kwenda ijumaa nikarudi jumatatu bila kuwa na sababu zaidi ya kutalii tu. Ila sio sawa kuuona kama una watu wa tofauti.
Wewe raia wa mtaani utamfanya nini Rc?Huku Arusha kuna wanaume, tena wana hela chafu mazee. Cha Arusha kiko nje nje, na watu wameranduka ile kinoma, huwa hawataki mafudenge fudenge. Ukiwaletea maroroso wanakuzima mazima.
Tunasubiri kuona, nani mwanaume wa shoka: WanaArisha ama Makonda? Nani ataingia kwenye mfumo wa mwenzake??
My take.
Kulikuwa hakuna haja ya kuingia kwa kiki. Angeenda kimya kimya kama wenzanke tu .
Kwa mtu ambaye hajawai kufika Arusha anaweza fikiri ni limji likubwa kweli kwa vitisho vya mtandaoni lakini ukifika unaweza anza kuuliza ndio hapa au kuna sehemu nyingine? Halafu kamji kalivyo kadogo unaweza nyonga baiskeli ndani ya nusu saa umemaliza sehemu zote wanazo ziita mjini……
Kwakweli hakuna kipya ambacho mtu anatakiwa kujifunza ili kuendesha mji wa Arusha maana hata kwa starehe bado uwezi sema wanakula starehe sana maana saa 12 tuu wanabaki wahuni tuu kwenye bar….
Mtu aliyeongoza Dar awezi shindwa kuongoza jiji la Arusha!
Hiyo My take imewalaza na viatu.Huku Arusha kuna wanaume, tena wana hela chafu mazee. Cha Arusha kiko nje nje, na watu wameranduka ile kinoma, huwa hawataki mafudenge fudenge. Ukiwaletea maroroso wanakuzima mazima.
Tunasubiri kuona, nani mwanaume wa shoka: WanaArisha ama Makonda? Nani ataingia kwenye mfumo wa mwenzake??
My take.
Kulikuwa hakuna haja ya kuingia kwa kiki. Angeenda kimya kimya kama wenzanke tu .
Acha upumbavu wewe mama,kutwa kucha kupiga majungu,si mrefu utazamishiwa dole la katiHuku Arusha kuna wanaume, tena wana hela chafu mazee. Cha Arusha kiko nje nje, na watu wameranduka ile kinoma, huwa hawataki mafudenge fudenge. Ukiwaletea maroroso wanakuzima mazima.
Tunasubiri kuona, nani mwanaume wa shoka: WanaArisha ama Makonda? Nani ataingia kwenye mfumo wa mwenzake??
My take.
Kulikuwa hakuna haja ya kuingia kwa kiki. Angeenda kimya kimya kama wenzanke tu .
Kwa hiyo wewe unasapoti uvivu, uzembe, na wizi? Hivyo ndo amesema atapambana navyoNgoja tuonr. Ila Arusha kuna ukuda wa kifala sana hasa kwa matumizi ya barabara.
Uzi makonda!! Kijana ana trend tu.Huku Arusha kuna wanaume, tena wana hela chafu mazee. Cha Arusha kiko nje nje, na watu wameranduka ile kinoma, huwa hawataki mafudenge fudenge. Ukiwaletea maroroso wanakuzima mazima.
Tunasubiri kuona, nani mwanaume wa shoka: Wana Arusha ama Makonda? Nani ataingia kwenye mfumo wa mwenzake??
My take.
Kulikuwa hakuna haja ya kuingia kwa kiki. Angeenda kimya kimya kama wenzanke tu .
Huku Arusha kuna wanaume
tena wana hela chafu mazee
Sifahamu uelewa wako, ila unaonekana una upeo mdogo! Taja mtu aliyeshindana na dola halafu akashinda???Ukiwaletea maroroso wanakuzima mazima.