Hehehe halafu wanapiga mikwaraArusha inashagaza sana, vijana wengi wapo kwenye ulevi, bangi mirungi, ushoga, bodaboda, kutafuta wazungu. Hiki kizazi muhimu kurekebishwa.
Kwamba upo pale kumshindanisha Mkuu wa Mkoa na wahalifu? Eti unatamani Makonda ashindwe na wahalifu?Huku Arusha kuna wanaume, tena wana hela chafu mazee. Cha Arusha kiko nje nje, na watu wameranduka ile kinoma, huwa hawataki mafudenge fudenge. Ukiwaletea maroroso wanakuzima mazima...
Mikwara gani ya walevi, wafuta bangi, mashoga?Hehehe halafu wanapiga mikwara
Kwa mtu ambaye hajawai kufika Arusha anaweza fikiri ni limji likubwa kweli kwa vitisho vya mtandaoni lakini ukifika unaweza anza kuuliza ndio hapa au kuna sehemu nyingine? Halafu kamji kalivyo kadogo unaweza nyonga baiskeli ndani ya nusu saa umemaliza sehemu zote wanazo ziita mjini.Arusha huwa mnaipaisha sana, hakuna cha zaidi ya miji mingine. Mtu aliyeweza kuiendesha Dar hawezi kushindwa mji wa Arusha. Hata wahuni wa Arusha wana uhuni wa kizamani sana...
Mbona Dubai,,UAE wako na maadili yao. Shida ni uongozi thabiti. Wana watalii zaidi ya 20 milioni.Wazungu wanawaharibu
Tuwe na maadili yetu, uongozi unaojali maisha ya vijana na future ya Arusha, Tanzania, nguvu kazi ya leo, kesho.Wazungu wanawaharibu
Makonda skili nyingi anajua sana huyu jamaa anakipaji cha kuongozaHuku Arusha kuna wanaume, tena wana hela chafu mazee. Cha Arusha kiko nje nje, na watu wameranduka ile kinoma, huwa hawataki mafudenge fudenge. Ukiwaletea maroroso wanakuzima mazima.
Tunasubiri kuona, nani mwanaume wa shoka: WanaArisha ama Makonda? Nani ataingia kwenye mfumo wa mwenzake??
My take.
Kulikuwa hakuna haja ya kuingia kwa kiki. Angeenda kimya kimya kama wenzanke tu .
Wanatamba bas mji mdogo sana town yenyewe ni vihaice hakuna costa wanaupamba hakuna kituKwa mtu ambaye hajawai kufika Arusha anaweza fikiri ni limji likubwa kweli kwa vitisho vya mtandaoni lakini ukifika unaweza anza kuuliza ndio hapa au kuna sehemu nyingine? Halafu kamji kalivyo kadogo unaweza nyonga baiskeli ndani ya nusu saa umemaliza sehemu zote wanazo ziita mjini……
Kwakweli hakuna kipya ambacho mtu anatakiwa kujifunza ili kuendesha mji wa Arusha maana hata kwa starehe bado uwezi sema wanakula starehe sana maana saa 12 tuu wanabaki wahuni tuu kwenye bar….
Mtu aliyeongoza Dar awezi shindwa kuongoza jiji la Arusha!
Wewe nn kimekuuma mpk ukaja kuandika humu?!.Huku Arusha kuna wanaume, tena wana hela chafu mazee. Cha Arusha kiko nje nje, na watu wameranduka ile kinoma, huwa hawataki mafudenge fudenge. Ukiwaletea maroroso wanakuzima mazima.
Tunasubiri kuona, nani mwanaume wa shoka: WanaArisha ama Makonda? Nani ataingia kwenye mfumo wa mwenzake??
My take.
Kulikuwa hakuna haja ya kuingia kwa kiki. Angeenda kimya kimya kama wenzanke tu .