Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Huyo ni keyboard worrior kama tulivyo wana jf wengiHata mm kwa huyo nimeshangaa jamaa ana maneno mengi sana huyo kila leo na tweet zake za utata utata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ni keyboard worrior kama tulivyo wana jf wengiHata mm kwa huyo nimeshangaa jamaa ana maneno mengi sana huyo kila leo na tweet zake za utata utata
Well said mkuuIntroverts wako vizuri zaidi kwenye kuandika kuliko kuongea mkuu usisahau hilo na huko ndiko uwezo wao wa kujenga hoja unakoonekana
Wewe ndio unawaona wajinga kwa sababu ya chuki zako ulizonazo juu yao, ila wataalam wengi wa saikolojia wanasema introverts ndio wana uwezo mkubwa wa kufikiri kuliko extroverts, kundi la extroverts ndio lina wajinga wengi kuliko la introverts
Kuna mambo lazima tujifunze kuishi nayo na kukubaliana nayo, ukizingatia kwenye hii dunia kila character ina opposite yake dunia ina watu zaidi ya 8 Billion, hakuna character ambayo ni common kwa binadamu wote hawa na haitakuja kuwepo
🤣🤣🤣Huyo ni keyboard worrior kama tulivyo wana jf wengi
🙏🙏🙏Well said mkuu
Kisome kitabu kinachoelezea PERSONALITY TRAIT. Utapata jibu kabla hata haujafika katikakati.Jamani na Elon Musk mcharuko wote ule kaingiaje kwenye huyo list?
Mkuu unaweza nitaumia softcopy ya kitabu hiki? [emoji120][emoji120]Kisome kitabu kinachoelezea PERSONALITY TRAIT. Utapata jibu kabla hata haujafika katikakati.
✅Putin
Nini maana ya mtu kuwa na roho mbaya? Utamjuaje mtu mwenye roho nzuri?Introvert ni Watu wasiojiamini na mara nyingi wanaroho mbaya.
Ni introvertelon must sio introvert. hebu mwondoe.
Wewe NI introvert?Ktk jamii za watanzania, introvert anapitia wakati mgumu Sana
Tangu akiwa mtoto wazazi wanamnyanyasa kwa kumuita lofa, zoba, kiburi na majina mengine
Shuleni wanafunzi wenzake wanamdharau Sana
Waalimu wanamdharau pia, wanamuona mtu aliyezubaa Sana!
Waalimu na wazazi wanampa pressure Sana,, "We vipi acha kuzubaa, changamka"
Kwenye kupendekeza uongozi, introvert ananyimwa kila posti,
Ila pamoja na hulka zao za upole, anapoonewa ikifika zaidi ya uvumilivu wake, Hawa jamaa wako vizuri kwenye kutoa vipigo kwa maextrovert!
Kuna ule msemo, watu wakimya usiwachokoze!
Hawanaga uwezo wa kujitetea kwa maneno!
Inapofika wakati wa kupata mke, Hawa jamaa wanapata tabu Sana, kwakuwa wanawake wengi hawawapendi watu wakimya,
Mara nyingi huishia kupata wanawake second class au third class
Hawa jamaa wanajua Sana kuvumilia maisha ya ndoa! Ni ngumu Sana kuwatupa wapenzi wao! Kwa mantiki hio Hawa si wazalishaji wa single mamaz!
Kwenye issue za kazi Hawa Ni wachapa kazi! Ingawa wanapigwa bao Sana na maextrovert kwenye interviews
Hawa wanatoboa vizuri kwenye issue za ufundi, kilimo, Sanaa, uandishi, sayansi na utafiti, kuliko maextrovert
Ukienda hospitali ukamkuta doctor Hana maneno mengi furahia
Ukienda garage ukamkuta fundi Hana maneno mengi furahia
Kiukweli Introvert Ni mtu na nusu Ila maisha yao yanapitia changamoto Sana hususani za kudharauliwa!
Wewe ni ExtrovertAcheni kudanganyana na story za wakina Warren Buffet na blah blah blah nyinginezo, solution Ni 1 tu.
ACHENI KUPIGA PULI
NB:Niko serious