Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mihanyenye haooNipo ndani ya basi na nishajiapiza sitapanda tena.
Linaitwa Champion
Mm huwa nahisi wanaweka kwa dj mmoja[emoji1787][emoji1787],mfano mabasi yote ya Arusha Dar nyimbo zimefanana filamu aina moja,basi nililipanda nikaenjoy ,,,,,,[emoji23],hamuwezi amini nimelisahau jina,yaan nilienjoy kinoma walikuwa wanapiga miziki ya R&B na slow jam za maana,,,nimelikumbuka bus lenyewe ni Kidia One bus luxury saanaHalafu Sijui huwa wanaambizanaga jamani…yani %98 kwenye mabasi huwezi kukosa movie za mkojan
Fafanua kidogo, jogoo yupi aliewika?Kuna siku Jogoo aliwika kwenye siti ya pembeni yangu.
Niliwahi kupanda kimbinyiko, ilikua Dar-Dodoma. Kama ningeondoka na baskeli, wangekuta nishafika Dodoma dadek zao. Maana nilitoka Dar saa nane, nikafika Dom saa sita usiku!Kimbinyiko
Duu mwana umenikumbusha mbali sana, Kuna siku nikadandia Moro to Dar kipindi mabasi yalikuwa yanalala Moro, kunguni na mende walikuwa ndio wenyeji wa abiriaAcheni kitu inaitwa KANDAHARI ile basi hakika inafanana na jimbo la KANDAHAAR AFGANSTAN hukooo
Haujawahi kupanda mabasi ya mwanza ee😂😂movie za mkojani hazijawahi kukosekana.Mm huwa nahisi wanaweka kwa dj mmoja[emoji1787][emoji1787],mfano mabasi yote ya Arusha Dar nyimbo zimefanana filamu aina moja,basi nililipanda nikaenjoy ,,,,,,[emoji23],hamuwezi amini nimelisahau jina,yaan nilienjoy kinoma walikuwa wanapiga miziki ya R&B na slow jam za maana,,,nimelikumbuka bus lenyewe ni Kidia One bus luxury saana
Kahama - ArushaMgamba lile lenye mlango kati kati[emoji81][emoji81][emoji81]
Hahaha mbeya - ArushaNipo ndani ya basi na nishajiapiza sitapanda tena.
Linaitwa Champion
😂😂😂jamani
Rungwe express halichelewi aseeHappy nation, jamani lile gari siti ndefu ukikaa huwezi kunyoosha miguu kabisa, alafu bovu ,linanyata , Dar to Mbeya tulifika saa tano usiku, Ila Rungwe ndo balaa, Dar to mbeya tulifika saa sita usiku.
Hata lile la Dom - dar..?Shabiby.
Njiani wakaweka movies za kutafsiri kwa kiswahili. Zile zinazotrend sahivi.
Sijapanda tena mpaka leo.
Lushanga anafika mpaka dar...? Dah safari ya geita - nzega tulitumia karibu saa 10 njianiLUSHANGA....nilijutia sana ile safari ya kutoka Dar to Geita
Kimbinyiko=Ndugai😂😂😂jamani