Mm huku nilipo magari yote ni ngarangara tu na hakuna options maana njia bado ni ya vumbi. Unaingia kwenye bus tu unakaribishwa na vichambo vya konda, unakuta konda na dereva wote washachafukwa ni full matusi tu na vichambo.
Gari kuharibikia njiani huku sio ajabu, gari kuzama ndio balaa. Kufika town uko mwekundu sio ajabu, unashuka stend abiria wanakushangaa[emoji28][emoji28][emoji28]
Gari kuharibikia njiani huku sio ajabu, gari kuzama ndio balaa. Kufika town uko mwekundu sio ajabu, unashuka stend abiria wanakushangaa[emoji28][emoji28][emoji28]