namanga-kitonga
JF-Expert Member
- Feb 4, 2020
- 679
- 744
Umbea huo kijana. Kwanini umhusishe na hizo basi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umbea huo kijana. Kwanini umhusishe na hizo basi?
Wapuzi wapuzi sana.Kimotco sitarudii Tena dah hii ni zaidi ya daladala
Kweli hizo movi wahusika wachukue mawazo ya wadau. Hazifai ni za kitoto kitoto sana.Haujawahi kupanda mabasi ya mwanza ee[emoji23][emoji23]movie za mkojani hazijawahi kukosekana.
Kwa mabasi niliyoyapanda kwangu yote ni mazuri kwa safari.
Tanzanite kabla hazijaamia mbeya,Ally’s no 1,Zuberi na mwisho ni Travel Partners yote haya kwangu ni mazuri sana tatizo ni movie za mkojani tu kha
Hii Post haina Afya kwa BiasharaBus gani umewah panda na ukajutia safari yako.
Aisee fikoshi ni ovyo, mwaka juzi nilimsindikiza dogo alikuwa anasafiri aiseee kwanza gari linafika stend liko nyomi Hadi mlangoni na anaenda mbali. Ikabidi siku hiyo safari iishie stend, siku ya pili yake napo kama Kawa gari inaingia stend iko full.
Tukawa wakali tukadai nauli akapanda gari jingine. Na siku hizo tunalisubiri linaingia stend saa tano, siku ya pili yake likangia stend saa saba na wakati ilipaswa lifike saa mbili asb hapo stend
Kwasababu zakibiashara na huenda sasa hivi wamebadilika hivyo sitawataja, wanabrand ya rangi Blue na ofisi zao pale Shekilango..hawa watu walitutoa Ubungo saa sita mchana kwenda kahama badala ya saa 12 asubuhi.
Al hushoom kutoka Moro kwenda Dodoma enzi hizo tulitoka moro asubuhi tukafika dodoma usiku.
Usisingizie tochi kipindi hiko kulikuwa hakuna tochi wala vibao vya 50. Gari inasimama kila kituo kupakia abiria dakawa, turiani, sijui dumila kote huko linasimama.
Sijui hii kampuni kama bado lipo.
Hii Post haina Afya kwa Biashara
Inamaana kama Kampuni ina mabasi 15 moja likazingua barabarani haina maana mabasi yote ya Kampuni ni mabovu?; Ungeandika watu wataje mabasi waliyosafiri nayo wakayapenda nanini walichokipenda ingeleta Afya zaidi
Naamini siku ukiingia kwenye Biashara hata kama ni ya kuuza maandazi utanielewa!
Mbezi uione ifanye nini mkuu?Sidhan sijaiona pale mbezi
Arusha bange kama mswakiHuyo mnyama hapo kwenye picha nimecheka sana aisee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hapo ukute hata dereva na konda wanafanana na hilo gari lao halafu wachafu wananuka bange na ugoro
Kuna Luwinzo DND Ina mende balaa.Luwinzo njombe ..dar.tulipanda na Bata na kuku
Niliwahi panda Iringa saa 5 nikafika mbeya saa 12Kimbinyiko
Sahihi kabisa hio chuma enzi zake ilikua inakimbia kishenzi,sijui siku hizi.Kuna kipindi nilikua mwz nataka kuwahi arusha nikauliza bus linalotembea vizr likapelekwa kwenye hili bus 😃😃😃😃
Ni balaa nilitoka mwz sa12 ar tukafika sa8 mchana chuma inatembea kama ndege ni kiboko 🤚🤚🤚