wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Cha ajabu abiria hua wanacheka na kuzifurahia,ndipo utajua abiria hawatofautiani na watoto tu.Kweli hizo movi wahusika wachukue mawazo ya wadau. Hazifai ni za kitoto kitoto sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cha ajabu abiria hua wanacheka na kuzifurahia,ndipo utajua abiria hawatofautiani na watoto tu.Kweli hizo movi wahusika wachukue mawazo ya wadau. Hazifai ni za kitoto kitoto sana.
au ukisikia inategemea barabarani kukojeUkipanda basi mwite konda muulize hivi sehemu fulani tunafika saa ngapi? Akikujibu hivi “ hivi ni vyombo vya moto tuombe tu Mungu jua tayari umepatikana,
Kampuni ya Sai baba bado nipo? Kwa kweli at their prime, ilikuwa ni kampuni nzuri na marcopolo zao zile wakati ule ndiyo fashion
Nganga enzi hizo ni Dar to Mbeya dah nilijuta kupanda basi hilo
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Na ukipanda basi kama umepandia njiani ukakuta abiria wote wanaonekana kua na huzuni na kukata tamaa ujue tayari umepatikana
Hao wasenge nimewahi wapanda nawahi msibaniAcheni kitu inaitwa KANDAHARI ile basi hakika inafanana na jimbo la KANDAHAAR AFGANSTAN hukooo
Nazionaga bado zipo but kuzipanda hapana.Kampuni ya Sai baba bado nipo? Kwa kweli at their prime, ilikuwa ni kampuni nzuri na marcopolo zao zile wakati ule ndiyo fashion
Haya mabasi ni ovyo tu.NBS.
Ilikuwa Safari ya Morogoro to Bukoba, tulilala Kahama. Bus lilikuwa na KUNGUNI kinoma aisee.
Ingawa sikukata tiketi ya Hilo Bus, niliuzwa tu.
Tate niko njiani hapa natoka Tanga, yaan naona wengi wanasema Nacharo, Tashriff au Ratco ndio yako vizuri,Simba Mtoto ya kutoka Tanga kwenda Dodoma! Ilibakia kidogo tu itumwage Mto Wami baada ya break kufail.
Nilijalaumu sana imekuwaje nikapanda gari bovu kiasi kile! Siku hizi huwa napanda Nacharo tu. Nikikosa siti bora nikapanda hataTashrif! Ila siyo Simba Mtoto!
Na huo ndiyo ukweli mchungu. Biashara ya usafirishaji inahitaji uwekezaji. Nunua magari mazuri, maada ya miaka michache uza, nunua mengine!Tate niko njiani hapa natoka Tanga, yaan naona wengi wanasema Nacharo, Tashriff au Ratco ndio yako vizuri,
Daah manina back 2010 nilikuwa dodoma nikawa na safari ya haraka mida ya saa 8 mchana, chaap kurudi dar, sina gari binafsi nikazama kituoni pale nyuma ya shabiby nikakutana na chuma imetoka singida jamaa kanikatisha ticket mapema kashasepa
Baada ya gari kufika nimepanda kwa kweli nipata chafya pale pale, nkasema hapa natoboa hivi hivi, daah naenda kwenye siti yangu, konda akaniambia huku hamna cha mambo ya siti subiri mtu akishuka ukae, baada ya ku mind sana na kutaka kuleta ubabe abiria kadhaa wakasema wanashuka soon...
Lile gari lilikuwa linanuka harufu ya mavi ya kuku, na mbuzi, kelele mtindo mmoja, siti za chuma viti cushions zimezama kwa chini unazama ukikaa, aisee nilipata tabu sana mnaishi na kuku na mbuzi ndani ya bus, ilibidi niombe msaada kwa shangazi yangu pale gairo akanipa rav 4, yake nikawahi nilicholuwa ninawahi maana gari lenyewe lilizingua kabla hatujafika gairo namsikia konda anasema hapa mbombo ngafu[emoji28]...nkajua hii hatutoboi
Ya pili, nilitoka dsm kwenda dodoma 2009 nikapanda gari flani linaonekana Luxury sana hawa jamaa walikuwa na ma bus yao pale makonde mbezi beach ya kisasa wameyatoa ulaya, daah nilitumia masaa 17...kila baada ya kilometres kadhaa gari inachemsha [emoji23]
Kwa safari zangu za bus ni kilimanjaro na shabiby, i tried al saedy, dar lux na kidia ila hawa kwa sasa hivi nikikosa seat ni afadhali niruke na ungo