Ni basi gani uliwahi panda ukajuta na ukasema hutokaa ulipande tena?

Ni basi gani uliwahi panda ukajuta na ukasema hutokaa ulipande tena?

Mgamba lile lenye mlango kati kati[emoji81][emoji81][emoji81]
Mkuu umenikumbusha siku moja tulikua na safari ya kikazi Arusha - Nzega sasa tulikua wanne na bosi wetu tukamuomba mmoja wetu akatukatie tiketi basi zuri. Jamaa akatuambia kakata Mghamba full luxury tutaenjoy wenyewe...!

Advataiz inaanza siku ya safari tulikua tuondoke saa 1 asubuhi. Tumefika stendi basi halipo. Kuuliza uliza pale tukaambiwa tuwe wapole linakuja mda si mrefu. Mabasi yote ya njia hiyo yameondoka sisi tupo tu, saa mbili, saa tatu, saa nne..!

Mara ghafla tunaona ngarangara moja la kutisha linaingia sisi wala hatukuhangaika nalo tukawa tunaendelea na stori tukajua ni yale mabasi yanayoenda King'ori na Ngarenanyuki huko. Cha ajabu tunasikia jamaa anaita "Haya haya wale wa Singida, Nzega mpaka Kahama chuma hicho apo...!! Hatukutaka kuamini tulichokua tunasikia. Wote tulibadilika rangi pale, tukaanza kugomba ila ndio hivyo hatuna cha kufanya. Aisee ile safari ilikua ya hovyo sana mpaka tunafika hatukua na hamu.
Screenshot_20210408-135927_Chrome.jpg
 
Alhashoom Dodoma to Morogoro.
Ni safari ya siku nzima, na wanapaki porini wapakize mkaa.
Alhashoom, umenikumbusha mbali sana. Nakumbuka nikiwa Dodoma mwaka 2014 nikawa nina kazi Moro nikaenda stendi mida ya saa nane nikakosa basi kubwa la haraka, nikaamua kupanda hilo gari nikiamini nitawahi Morogoro. Hili lilikuwa kama daladala, kila kituo linasimama!! Nilichukia sana na hata nilichofuata Morogoro sikukifanya siku hiyo ikabidi nilale
 
Nilipanda rungwe express kutokea mbeya mwaka 2017,gari liliharibika ilula tukatelekezwa pale.siji kupanda Tena mabasi ya kichina.
 
Mkuu umenikumbusha siku moja tulikua na safari ya kikazi Arusha - Nzega sasa tulikua wanne na bosi wetu tukamuomba mmoja wetu akatukatie tiketi basi zuri. Jamaa akatuambia kakata Mghamba full luxury tutaenjoy wenyewe...!

Advataiz inaanza siku ya safari tulikua tuondoke saa 1 asubuhi. Tumefika stendi basi halipo. Kuuliza uliza pale tukaambiwa tuwe wapole linakuja mda si mrefu. Mabasi yote ya njia hiyo yameondoka sisi tupo tu, saa mbili, saa tatu, saa nne..!

Mara ghafla tunaona ngarangara moja la kutisha linaingia sisi wala hatukuhangaika nalo tukawa tunaendelea na stori tukajua ni yale mabasi yanayoenda King'ori na Ngarenanyuki huko. Cha ajabu tunasikia jamaa anaita "Haya haya wale wa Singida, Nzega mpaka Kahama chuma hicho apo...!! Hatukutaka kuamini tulichokua tunasikia. Wote tulibadilika rangi pale, tukaanza kugomba ila ndio hivyo hatuna cha kufanya. Aisee ile safari ilikua ya hovyo sana mpaka tunafika hatukua na hamu.View attachment 2223836
Huyo mnyama hapo kwenye picha nimecheka sana aisee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hapo ukute hata dereva na konda wanafanana na hilo gari lao halafu wachafu wananuka bange na ugoro
 
Mkuu umenikumbusha siku moja tulikua na safari ya kikazi Arusha - Nzega sasa tulikua wanne na bosi wetu tukamuomba mmoja wetu akatukatie tiketi basi zuri. Jamaa akatuambia kakata Mghamba full luxury tutaenjoy wenyewe...!

Advataiz inaanza siku ya safari tulikua tuondoke saa 1 asubuhi. Tumefika stendi basi halipo. Kuuliza uliza pale tukaambiwa tuwe wapole linakuja mda si mrefu. Mabasi yote ya njia hiyo yameondoka sisi tupo tu, saa mbili, saa tatu, saa nne..!

Mara ghafla tunaona ngarangara moja la kutisha linaingia sisi wala hatukuhangaika nalo tukawa tunaendelea na stori tukajua ni yale mabasi yanayoenda King'ori na Ngarenanyuki huko. Cha ajabu tunasikia jamaa anaita "Haya haya wale wa Singida, Nzega mpaka Kahama chuma hicho apo...!! Hatukutaka kuamini tulichokua tunasikia. Wote tulibadilika rangi pale, tukaanza kugomba ila ndio hivyo hatuna cha kufanya. Aisee ile safari ilikua ya hovyo sana mpaka tunafika hatukua na hamu.View attachment 2223836

[emoji23][emoji23][emoji706] daaah [emoji119]
 
Bus gani umewah panda na ukajutia safari yako.
Niliwahi panda bus kampuni ya fikoshi mwanza-mbeya lina seats 3 by 2 aisee ticket nilikatia misigiri pale kwa wapiga debe basi bwana bus kabla halijafika lilipigiwa sana promo ni level siti hamna kusimama nikaketi kulisubiri saa 5 bus likaingia kilichonivunja pozi kupanda tu nakuta siti za 3/2 alafu katikati kuna ndoo na magunia watu wamekalia alafu nauli nimelipa elfu 40000 kushuka siwezi maana mpiga debe alishachukua ganji yake na keshamkabidhi konda pesa.Nilisimama kutoka misigiri hadi dodoma manyoni aisee lile bus hapana .
 
Al hushoom kutoka Moro kwenda Dodoma enzi hizo tulitoka moro asubuhi tukafika dodoma usiku.

Usisingizie tochi kipindi hiko kulikuwa hakuna tochi wala vibao vya 50. Gari inasimama kila kituo kupakia abiria dakawa, turiani, sijui dumila kote huko linasimama.

Sijui hii kampuni kama bado lipo.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119]
Mkuu umenikumbusha siku moja tulikua na safari ya kikazi Arusha - Nzega sasa tulikua wanne na bosi wetu tukamuomba mmoja wetu akatukatie tiketi basi zuri. Jamaa akatuambia kakata Mghamba full luxury tutaenjoy wenyewe...!

Advataiz inaanza siku ya safari tulikua tuondoke saa 1 asubuhi. Tumefika stendi basi halipo. Kuuliza uliza pale tukaambiwa tuwe wapole linakuja mda si mrefu. Mabasi yote ya njia hiyo yameondoka sisi tupo tu, saa mbili, saa tatu, saa nne..!

Mara ghafla tunaona ngarangara moja la kutisha linaingia sisi wala hatukuhangaika nalo tukawa tunaendelea na stori tukajua ni yale mabasi yanayoenda King'ori na Ngarenanyuki huko. Cha ajabu tunasikia jamaa anaita "Haya haya wale wa Singida, Nzega mpaka Kahama chuma hicho apo...!! Hatukutaka kuamini tulichokua tunasikia. Wote tulibadilika rangi pale, tukaanza kugomba ila ndio hivyo hatuna cha kufanya. Aisee ile safari ilikua ya hovyo sana mpaka tunafika hatukua na hamu.View attachment 2223836
 
Kuna mabasi yalikua yanaitwa Mombasa raha na Mohamed Trans nilikua nasafiri mostly Dar-Mwanza hayo mabasi yasikieni tu. Baadae nikahamishia safari zangu kwa Ally's ndio atleast nikapata unafuu wa safari zangu. Zijui kama mpaka sasa ivi bado yapo?
Hayapo tena
 
Aisee fikoshi ni ovyo, mwaka juzi nilimsindikiza dogo alikuwa anasafiri aiseee kwanza gari linafika stend liko nyomi Hadi mlangoni na anaenda mbali. Ikabidi siku hiyo safari iishie stend, siku ya pili yake napo kama Kawa gari inaingia stend iko full.
Tukawa wakali tukadai nauli akapanda gari jingine. Na siku hizo tunalisubiri linaingia stend saa tano, siku ya pili yake likangia stend saa saba na wakati ilipaswa lifike saa mbili asb hapo stend
 
Back
Top Bottom