ToniXrated
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 1,134
- 2,993
[emoji16][emoji16][emoji16] aiseeeBembea....tanga-Dar-tanga mamaeeee zao bora hata utembee kwa miguu unaweza kuwahi kufika tanga kabla ya hilo basi.Halafu mmiliki wa hayo mabasi haleti vyuma vipya anatumia mabasi ya miaka ya 90 huko
Bovu kusenge hilo basi...nje na ndani utaliona gari la maana ila engine mkweche. Magufuli terminal unatoka saa 7 ...lindi unaingia saa 6 usikuBus La kampuni Baraka kutoka Masasi kwenda Morogoro, japo main destination ilikuwa Dodoma tukaachwa solemba kongowe baadae solemba temeke baadae solemba Magufuli terminal ni aibu Higher gari zuri ila hii kampuni inaboa sijakata tamaa nawapa nafasi I hope wako poa now.
Wana hizo Higer ila ndio spana mkononi, mwendo wa kobe...kwa usafiri wa Masasi ,lindi,mtwara ni tashrif tu.Maning nice yupo pia kwa mtwara Baraka wanaringa masasi kwa saaana kuna demu tunapendana yupo hii kampuni shida yao nadhani service. Higer gari nzuri seat safi mno
Hilo kule Tanga wanaliita la wenyeji. Ukipanda mle ubebe msosi wa kutosha, dawa ya meno, mswaki, mafuta ya kujipaka. Yaani kwa ujumla uwe tayari kunaweza kukapambazuka bado hujafika mwisho wa safari. Afu sio kwamba mmesimama sehemu, hapana! Ni linaenda ila kama linarudi kinyume nyume[emoji1]Bembea....tanga-Dar-tanga mamaeeee zao bora hata utembee kwa miguu unaweza kuwahi kufika tanga kabla ya hilo basi.Halafu mmiliki wa hayo mabasi haleti vyuma vipya anatumia mabasi ya miaka ya 90 huko
Al said mwezi wa nane safari ya dar to mbeya si likaaribika njiani bwana tutkafika mbeya Kesho yake saa kumi na mbili asubuhi,nilimind Hadi nilivimba usooo[emoji23]Bus gani umewah panda na ukajutia safari yako.
Ila cha ajabu huwa halikosi abiria sijui labda nauli yake ipo chiniHilo kule Tanga wanaliita la wenyeji. Ukipanda mle ubebe msosi wa kutosha, dawa ya meno, mswaki, mafuta ya kujipaka. Yaani kwa ujumla uwe tayari kunaweza kukapambazuka bado hujafika mwisho wa safari. Afu sio kwamba mmesimama sehemu, hapana! Ni linaenda ila kama linarudi kinyume nyume[emoji1]
Ila dom-mtwara nayo ruti ya kibabe sana japo sio maarufuInategemea na nature ya route Na biashara yake. Happy nation ananunua bus na anapeleka dar bukoba ni mbali zaidi. Baraka classic anapeleka mpya dodoma mtwara
Tash hawajawahi kunangusha tangu za Yutong F11 CXX series, Zhong DQT series , Zhong DSU series, Zhong MegaWana hizo Higer ila ndio spana mkononi, mwendo wa kobe...kwa usafiri wa Masasi ,lindi,mtwara ni tashrif tu.
[emoji16][emoji38]Hilo kule Tanga wanaliita la wenyeji. Ukipanda mle ubebe msosi wa kutosha, dawa ya meno, mswaki, mafuta ya kujipaka. Yaani kwa ujumla uwe tayari kunaweza kukapambazuka bado hujafika mwisho wa safari. Afu sio kwamba mmesimama sehemu, hapana! Ni linaenda ila kama linarudi kinyume nyume[emoji1]
Kama Dar to Tanga nauli ni 15k, mle hata ukiwa na 13k unaenda. Ila ikitokea abiria mwenye nauli kamili amepanda basi wewe jua utasimama kumpisha huyo alielipa kamiliIla cha ajabu huwa halikosi abiria sijui labda nauli yake ipo chini
Njia ya kusini ina abiria na pesa nyingi...Dom-Mtwara nauli sio chini ya 50k
Wanajifanya wana route ya dar-sumbawanga ila wakitoka ufipani wanafaulishia uyole,washaanza kupotea.Zinaenda wapi hizo, mabasi ya saibaba sijakutana nayo muda kidogo.
Hiyo al hushoom kuna siku ilitumbukia mtoni maeneo ya iyovu abiria kibao waliumia,sikutegemea kama hilo basi lipo!Basi zote zinakuwaga nzuri mwezi wa 12 mwishoni na wa kwanza ile wiki ya kwanza. Hasa route ya kaskazini. Hata ile al hushoom ni nzuri kipindi hicho tu[emoji1]
[emoji23][emoji23][emoji23]eti linakaribia kupata ajaliHARAMBEE, DAR TO ARUSHA naomba kama mpo basi ujumbe huu uwafikie, basi lenu bovu bovu bovu kushinda yoote!!
Halina speed na linaonekana linakarbia kupata ajali
Bora upande punda kuliko al hushoom(just kidding). Lile basi unaweza ukaingia kwenye basi saa mbili asubuhi mkaja kuondoka saa nane mchana. Na hiyo safari haipo guaranteed[emoji1]Hiyo al hushoom kuna siku ilitumbukia mtoni maeneo ya iyovu abiria kibao waliumia,sikutegemea kama hilo basi lipo!
Ile biashara ngumu sana, nahisi pumzi ishakata saivWanajifanya wana route ya dar-sumbawanga ila wakitoka ufipani wanafaulishia uyole,washaanza kupotea.