ToniXrated
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 1,134
- 2,993
Bembea....tanga-Dar-tanga mamaeeee zao bora hata utembee kwa miguu unaweza kuwahi kufika tanga kabla ya hilo basi.Halafu mmiliki wa hayo mabasi haleti vyuma vipya anatumia mabasi ya miaka ya 90 huko