Ni basi gani uliwahi panda ukajuta na ukasema hutokaa ulipande tena?

Ni basi gani uliwahi panda ukajuta na ukasema hutokaa ulipande tena?

Bembea....tanga-Dar-tanga mamaeeee zao bora hata utembee kwa miguu unaweza kuwahi kufika tanga kabla ya hilo basi.Halafu mmiliki wa hayo mabasi haleti vyuma vipya anatumia mabasi ya miaka ya 90 huko
 
Bembea....tanga-Dar-tanga mamaeeee zao bora hata utembee kwa miguu unaweza kuwahi kufika tanga kabla ya hilo basi.Halafu mmiliki wa hayo mabasi haleti vyuma vipya anatumia mabasi ya miaka ya 90 huko
[emoji16][emoji16][emoji16] aiseee
 
Bus La kampuni Baraka kutoka Masasi kwenda Morogoro, japo main destination ilikuwa Dodoma tukaachwa solemba kongowe baadae solemba temeke baadae solemba Magufuli terminal ni aibu Higher gari zuri ila hii kampuni inaboa sijakata tamaa nawapa nafasi I hope wako poa now.
Bovu kusenge hilo basi...nje na ndani utaliona gari la maana ila engine mkweche. Magufuli terminal unatoka saa 7 ...lindi unaingia saa 6 usiku
 
Bembea....tanga-Dar-tanga mamaeeee zao bora hata utembee kwa miguu unaweza kuwahi kufika tanga kabla ya hilo basi.Halafu mmiliki wa hayo mabasi haleti vyuma vipya anatumia mabasi ya miaka ya 90 huko
Hilo kule Tanga wanaliita la wenyeji. Ukipanda mle ubebe msosi wa kutosha, dawa ya meno, mswaki, mafuta ya kujipaka. Yaani kwa ujumla uwe tayari kunaweza kukapambazuka bado hujafika mwisho wa safari. Afu sio kwamba mmesimama sehemu, hapana! Ni linaenda ila kama linarudi kinyume nyume[emoji1]
 
Hilo kule Tanga wanaliita la wenyeji. Ukipanda mle ubebe msosi wa kutosha, dawa ya meno, mswaki, mafuta ya kujipaka. Yaani kwa ujumla uwe tayari kunaweza kukapambazuka bado hujafika mwisho wa safari. Afu sio kwamba mmesimama sehemu, hapana! Ni linaenda ila kama linarudi kinyume nyume[emoji1]
Ila cha ajabu huwa halikosi abiria sijui labda nauli yake ipo chini
 
Hilo kule Tanga wanaliita la wenyeji. Ukipanda mle ubebe msosi wa kutosha, dawa ya meno, mswaki, mafuta ya kujipaka. Yaani kwa ujumla uwe tayari kunaweza kukapambazuka bado hujafika mwisho wa safari. Afu sio kwamba mmesimama sehemu, hapana! Ni linaenda ila kama linarudi kinyume nyume[emoji1]
[emoji16][emoji38]
 
Back
Top Bottom