Ni basi gani uliwahi panda ukajuta na ukasema hutokaa ulipande tena?

Ni basi gani uliwahi panda ukajuta na ukasema hutokaa ulipande tena?

Niliwahi kupanda Bus moja lilikuwa linaitwa Buffalo hili lilikuwa lina kwenda kama sio Arusha ilikuwa Moshi maana nilipandia Dar kwa kushukia Hedaru,lile basi lilikuwa linakimbia ajabu na ukichukulia miaka ile kulikuwa hakuna speed govenor ilikuwa ni hatari,nakumbuka kwenye makona lilikuwa linalala mpaka unasikia kama kuna bolt na nuts zinakatika,kufika maeneo ya Mombo ile basi likaacha njia tukaingia kwenye mashamba ya katani,bahati yetu lile eneo lilikuwa ni tambarare hakuna aliyepatwa na umauti zaidi ya majeraha madogo madogo...
 
Niliwahi kupanda Bus moja lilikuwa linaitwa Buffalo hili lilikuwa lina kwenda kama sio Arusha ilikuwa Moshi maana nilipandia Dar kwa kushukia Hedaru,lile basi lilikuwa linakimbia ajabu na ukichukulia miaka ile kulikuwa hakuna speed govenor ilikuwa ni hatari,nakumbuka kwenye makona lilikuwa linalala mpaka unasikia kama kuna bolt na nuts zinakatika,kufika maeneo ya Mombo ile basi likaacha njia tukaingia kwenye mashamba ya katani,bahati yetu lile eneo lilikuwa ni tambarare hakuna aliyepatwa na umauti zaidi ya majeraha madogo madogo...
[emoji81][emoji75][emoji16][emoji119] daah nimecheka sana mkuu
 
Nikilipanda aisee. Kituo cha kwanza kuchimba dawa ni Mafinga kisha cha pili Msamvu na mwisho Mbezi.

Unakuwa na fuko la kojo mpaka unalaani
Kama umezoea kunywa kunywa ukiwa njiani lazima upate shida nikiwa kwenye safari ndefu huwa nakunywa energy moja tu maji nakunywa mwisho wa safari mfano zimebaki kilomita 70 tufike ndo naanza kunywa maji nasinywi yote nakunywa kidogo kidogo ila mzee sauli hao warembi ni mbio mbio.[emoji16]
 
Kama umezoea kunywa kunywa ukiwa njiani lazima upate shida nikiwa kwenye safari ndefu huwa nakunywa energy moja tu maji nakunywa mwisho wa safari mfano zimebaki kilomita 70 tufike ndo naanza kunywa maji nasinywi yote nakunywa kidogo kidogo ila mzee sauli hao warembi ni mbio mbio.[emoji16]
Liwe na choo ndani
 
Kuna basi linaitwa respect

Ezi hizo mbeya to arusha

Sharon sasa ivi dar to arusha


Another G FROM ddm to njombee
 
King-cross..basi flani linapiga route ya Iringa to Dodoma, aisee nakumbuka kipindi hicho unalipanda basi hili ukiwa msafi ila wakati wakushuka sasa[emoji23][emoji23] hali ni tete yani kama misukule imetoka trip.
 
Back
Top Bottom