fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
aah yaaNi naona wengi unakuta ana kiduka kidogo tu yaan afu anaishi vzr ndk huwaga najiuliza hiki kiduka mtu anapataje hela aisee mbna duka dogo afu ana hela nyng nashndwaga kuelewa sjui umenielewa hapo😂😂Asee bro uko serious kweli? Biashara ya spare parts za vyombo vya moto inalipa balaa mtu anaweza kuwa na duka ambalo kimuonekano ni dogo lakini akaishi maisha mazuri sana
Umeua kila kituBasi biashara zina siri sana
Namba nilikuwa nayo ila kuna kipindi nilifuta namba za malaya wote maana nilisave malaya 1, 2, 3 nk halafu bahati mbaya zikaleta mgogoro.Nipe # zake tafadhali kama hutojali maana hali ya hewa hiii
Hiyo ni miaka ya kuanzia 2015 ndiyo majengo yakawa matupu but maghorofa bado yanajengwa barabara hizo hizoMajengo ni mengi kuliko Idadi ya makampuni na watu binafsi wenye uwezo wa kulipia hizo square metres...
barabara ya A.Mwinyi na CocaCola Kuna Majengo mengi yalijengwa, na kukaa empty miaka kadhaa.
Hata Kivukoni kuna maghorofa yapo empty
inasikitisha snaHao watu huwa nashangaa sana. Kuna mtu anauza papuchi mtaani kwa bei ya 7000 mpaka 15000 lakini anakaa kwao na shida haziishi. Kuna muda siku za marejesho anahaha hadi kuanza kuweka bond vitu vyake.
Kuendelea kujengwa haina maana kwamba ndiyo kuna faida.Hiyo ni miaka ya kuanzia 2015 ndiyo majengo yakawa matupu but maghorofa bado yanajengwa barabara hizo hizo
Spare 1 uliyonunua kwa 50k unaweza kuiuza hadi 100k huwa wanauza bei mara mbili ya bei waliyonunulia atakaekuuzia bei rahisi atakupiga 80kaah yaaNi naona wengi unakuta ana kiduka kidogo tu yaan afu anaishi vzr ndk huwaga najiuliza hiki kiduka mtu anapataje hela aisee mbna duka dogo afu ana hela nyng nashndwaga kuelewa sjui umenielewa hapo😂😂
Navyojua mie JF ni NGO (non profit organisation). It's not a company. Kwahiyo ikiwa ni NGO, inajiendesha kwa pesa za Donors. Ikishakuwa NGO, haitakiwi kujiendesha kama kampuni ya kujipatia faida. Ndio maana huoni hata matangazo humu wakati wana uwezo wa kuweka matangazo makubwa na kutengeneza pesa ya uhakika kabisa.JAMIIFORUMS
-mnalipa kodi
-mnalipa pango,maji,umeme
-mnanunua mitambo
-Mnalipa mishahara na viinua migongo.
-Mnanunua vifaa,mnafanya marekebisho
-Hamfanyi matangazo
-Mnalipia gharama za kesi mahakamani
-Mnalipia server,vibali.
Mr.Melo,mnatengenezaje faida.
Hizo floor za wazi ndo unakuta maswahaba kina adriz na Accumen Mo wamebadilisha vyumba vya kuswalia.Ujenzi wa maghorofa makubwa ya biashara na ofisi,wanapataje faida...?
-Ujenzi una gharimu mabilioni.
-uendshaji wa Majengo unahitaji mamilioni
-Kodi zao zipo juu
-Majengo mengi hata nusu ya floor zote zipo wazi.
Confidence ya watu kwenye vitu kama hisa ni ndogo, unaweza siku ukaambiwa hisa imeshuka thamani, Ila kwenye nyumba mtu unauhakika wa kodi yako kila mwaka..,Then why wasi
Inunue Hisa,Bonds & Biils,Fixed account,Hedge fund..value ya pesa huko inabaki palepale...
And mostly ni matajiri weusi.
Biashara nyingine ni za kutakatishia pesa.Maduka ya IPhone pale Makumbusho...
kwa maana.
Pale Frame ni gharama ,maduka yapo mengi sana, matumizi yao binafsi, matumizi ya ofisi....halafu nikiangalia mtaani Techno,Infinix na Samsung ndiyo nyingi.
JF tumeichangia Sana Enzo za mkono mtupu haulambwi.MODS ,tuleteen mkuu Melo,
Mana usikute faida ni kubwa nasi tunakaa kizembe tu hapa mjini.
Sio tmk tu kila sehemu wapo mfano banana ukienda saa nne Hadi tano waelf3 wamejaa teleMalaya wa TEMEKE wanashida Sana 😂
Mkuu nadhani fedha Halali mpaka ifike benki kuu,kuna baadhi ya vitu hongezewa ili kuhalalisha matumizi. Vinginevyo hubaki bila thamani ikiwa bado haijafika benki kuu.Makampuni yanayochapisha pesa/hela...MINT.
Mana si wangejichapishia fedha wao wenyewe tu.,mana wana miundombinu yote.
Mitaa ya kinondoni studio ukipita usiku ni malaya wa kila aina. Ila kuwachukua wa pale inahitaji pombe kichwani maana ni peupe sana unaweza kuona kuna raia inakujua inakuona unavyobargain ni malaya halafu inakuchora tu.Sio tmk tu kila sehemu wapo mfano banana ukienda saa nne Hadi tano waelf3 wamejaa tele
So ,mostly inaendeshwa kwa Grants...JF tumeichangia Sana Enzo za mkono mtupu haulambwi.
Kwa sasa JF ina matangazo hizo sijui mnaita adds na isitoshe Max wazungu wameshamkubali kwahiyo JF ya sasa inaweza kuendeshwa hata Kwa Grants tu.
Maduka ya simu kariakoo, yapo zaidi ya 200 na katika kila duka Kuna meza zaidi ya 5. Huwa najiuliza hawa wanauza Kweli, kama Hawauzi mbona jengo likijengwa tu unakuta frem zishaisha