- Feb 10, 2006
- 4,324
- 13,967
Anatakiwa kupata FAIDA? 😳Mi hua najiuliza kwamba Maxence Melo anapata faida kivipi na hii JF
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anatakiwa kupata FAIDA? 😳Mi hua najiuliza kwamba Maxence Melo anapata faida kivipi na hii JF
Wale wengi wana wateja wao. Anaweza kufanya trip mbili kwa siku akaingiza 50 au 60 akafunga kazi saa 9 akaenda kulala.Madereva TAKS hapa Town poster mpaka feri , hivi muna pata faida Gani, maana muda mwingi huwa muna piga story, alafu wengi wenu ni wazee ukiuliza alikuwa mjeda amesfaafu,
AU ni wazee wa kitengo [emoji23]
Wapo wanaobisha hilo suala ila ni mengi yapo empty...Bagamoyo road mengi yako tupu
Mwamposa... Na ndio maana nikasema "Dini"We na mwamposa Nani ana pesa?
Hatimaye umejitpkeza mkuu.Anatakiwa kupata FAIDA? 😳
Money launderingMaduka ya IPhone pale Makumbusho...
kwa maana.
Pale Frame ni gharama ,maduka yapo mengi sana, matumizi yao binafsi, matumizi ya ofisi....halafu nikiangalia mtaani Techno,Infinix na Samsung ndiyo nyingi.
Yamesajiliwa kama makampuni tatizo.kwahiyo yanawajibika katika kutengeneza faida na yaweze kujiendesha yenyewe...Haya yanaedeshwa kwa kodi za serkali.
Nakazia hapa , Kuna rafiki yangu alifungua biashara ya nguo zile classic.yaani kwa week anaweza asiuze hata nguo moja na Kodi ya frame ni laki 2 ,mwisho wa siku alifunga biashara akaanza kuvaa mwenyewe.Ikajizungusha bila neno? Kodi hapo mshahara hapo, kula na nauli?
Kuna biashara ni nzuri kufanyia kufichia au kutakatisha pesa, sio kila biashara za watu ni kwa ajili ya kupata faida katika kipindi cha muda mfupi.Ujenzi wa maghorofa makubwa ya biashara na ofisi,wanapataje faida...?
-Ujenzi una gharimu mabilioni.
-uendshaji wa Majengo unahitaji mamilioni
-Kodi zao zipo juu
-Majengo mengi hata nusu ya floor zote zipo wazi.
Umeajiri watu mkuuAnatakiwa kupata FAIDA? 😳
Kwahiyo hatakiwi kupata?Anatakiwa kupata FAIDA? [emoji15]
Gazeti la majira, wale faida wanapata vipi?Funguka huenda ukapewa miongozo na wakuu hapa JamiiForums.
Hesabu kamili zipoHili biashara ya uwakala mpesa/tigopesa wanapataje faida?wahusika ukiwauliza wanakua na majibu mepesi mepesi kama CCM ya kuwa inategemeana na idadi ya miamala ulofanya,Kwa Nini Hawana hesabu kamili kwamba Kila buku chako ni kiasi hiki?
Shows, streams, views na endorsement za makampuniHumu ndani JFs tukiuliza nani ameshanunua Nyimbo ya Diamondi akalipia huenda hawazidi hata 10 au wakawa wawili tu.
Biashara ya kuanzisha shule,Mtoto analipa ada kwa MWAKA halafu uwalipe walimu kila MWEZIFunguka huenda ukapewa miongozo na wakuu hapa JamiiForums.
Wahindi wanapanda sana taxi ... jiulize ushawahi panda daladala na muhindi?Madereva TAKS hapa Town poster mpaka feri , hivi muna pata faida Gani, maana muda mwingi huwa muna piga story, alafu wengi wenu ni wazee ukiuliza alikuwa mjeda amesfaafu,
AU ni wazee wa kitengo [emoji23]
The bodyguard from beijingNakazia hapa , Kuna rafiki yangu alifungua biashara ya nguo zile classic.yaani kwa week anaweza asiuze hata nguo moja na Kodi ya frame ni laki 2 ,mwisho wa siku alifunga biashara akaanza kuvaa mwenyewe.
Mie rafiki angu ana frem kkoo, ni zile ndogo ndogo, anauza vyupi, boxa vest.....anaenda kufata mzigo kule maduka ya jumla ambako vyupi 3 ni 9000 ye anauza 10000. Faida 1000Nakazia hapa , Kuna rafiki yangu alifungua biashara ya nguo zile classic.yaani kwa week anaweza asiuze hata nguo moja na Kodi ya frame ni laki 2 ,mwisho wa siku alifunga biashara akaanza kuvaa mwenyewe.