Naam wazo zuri sana yaani kwa kifupi vitu vya kike vya kuvaa mfano nguo,viatu,ereni nk vinalipa sana na vinauzika sana hukai na mzigo...wengi wanafail kutokana na connection na kutojituma...Yani nina uhakika nayo...maana nimefanya kwa kipindi Kama miezi 6 hivi kama mtu una malengo... unaweza kupata mtaji mzuri tu
Mkuu bodaboda inalipa kiasi hiki?
Kabati tu la kuuzia chipsi laki 2 yote inaisha.Kwa mtaji huo mdogo kaanga chips kisha weka soda
Mkuu naomba nielekeze procedures za kufungua hii kitu!hivi huwa inagharama kuanzisha?na malipo yake wanalipaje yaani kuanzia viewers wangapi ndio wanakulipa pesa?Anzisha youtube channel, iite 'Vituko uswahilini'. Sasa wewe kazi yako iwe ni kuzunguka uswahili, ukikuta kihoja kirekodi, edit chap chap kwenye simu yako kisha una rushia youtube. Wabongo hupenda vitu vya kijinga kama hivyo, utapata viewers wa kutosha, 7k kwa siku hukosi.
Mkuu Mimi niliipenda hii biashara kwa sababu hainipotezei muda wangu zaidi ya kusubiria pesa na mm naendelea na shughuli nyingine.Wapo ma-she wanaoendesha bodaboda so hata ww ungetaka ingewezekana..
Kuhusu kuifanya mie sikushauri ina changamoto nyingi.. Nakueleza hvyo kwakuwa mimi nishaifanya hii biashara tena niliwapa vyombo watu.
Ungezitaja mkuu hizo biashara zitusaidie na wenginePesaa ndogo... Kwa milion 2 ungepata hata 50000 kwa siku zipo biashara nyingi tuu
ForexNimepiga mahesabu yangu ya maisha, kwa kuanza nahitaji walau elfu 9 Mpaka 10 kwa kila siku niiweke.
Biashara gani itanipatia wastani wa Elfu 9-10 kwa kila siku?
Nataka nijiajiri.
Hapa nina mtaji wa laki mbili cash. Naweza kuongeza hata ikafika laki tatu, ila niwe na uhakika wa kupata elfu kumi kwa kila siku kama faida.
Naweza kwenda kuishi Mkoa wowote Tanzania, ila hela hiyo uhakika wa kuipata uwepo.
Nisaidieni...
Mtaji; Laki mbili
Hela ninayotaka kuingiza; Wastani wa elfu kumi kwa siku.
Ni kweli sikujui mkuu wangu...Mkuu hunijui.
Nimeuza sana mabanda unayoona yamezagaa pembezoni barabarani na njiani Kariakoo.
Nilikuwa nauza kwa kawaida tu mpaka Tsh 50K-70K kwa siku.
Ukitoa elfu 30 ukanunua vitu vilivyopungua kwenye banda lako unabaki na kama Elfu 30 mfukoni.
- Tena nilikuwa nauza vitu vya kawaida tu kama soksi, boxer, viatu vya ndani.
Mkuu biashara gani hizoPesaa ndogo... Kwa milion 2 ungepata hata 50000 kwa siku zipo biashara nyingi tuu
Mkuu hongera, asipokutafuta sauda nitachangamkia fursa hii.Kuna mahala safi pamechangamka unaweza ukapika supu ya utumbo,kongoro na ndizi
Mahitaji ni meza, vyombo na kununua vyakula ..
Ila biashara inabamba wakazi Wa usiku ...Kuhusu eneo tutaelewana...
Hata mm imenishangaza kidogo hadi najiuliza ingekuwa rahisi kupata faida Kama hiyo sidhani Kama Mzee magu angepata lawama kutoka kwa Mtanzania yeyote awamu hii.Ni kweli sikujui mkuu wangu...
Na bado nasisitiza kuandika si sawa na uhalisia. Si kwamba kwakuwa wewe ulifanikiwa basi shurti na mwingine afanikiwe. Na sijajua hii biashara yako uliifanya mwaka gani... Kwa hali halisi ya sasa, kufanya uliyoyafanya wewe na kupata ulichopata wewe... Ni kudra za mwenyezi Mungu tu
Kuna mtu anapika hiyo makitu kituo cha daladala baridi mnazi mmoja huwa naona asubuhi watu wanavyochangamkia hiyo makituKuna mahala safi pamechangamka unaweza ukapika supu ya utumbo,kongoro na ndizi
Mahitaji ni meza, vyombo na kununua vyakula ..
Ila biashara inabamba wakazi Wa usiku ...Kuhusu eneo tutaelewana...
Nimepiga mahesabu yangu ya maisha, kwa kuanza nahitaji walau elfu 9 Mpaka 10 kwa kila siku niiweke.
Biashara gani itanipatia wastani wa Elfu 9-10 kwa kila siku?
Nataka nijiajiri.
Hapa nina mtaji wa laki mbili cash. Naweza kuongeza hata ikafika laki tatu, ila niwe na uhakika wa kupata elfu kumi kwa kila siku kama faida.
Naweza kwenda kuishi Mkoa wowote Tanzania, ila hela hiyo uhakika wa kuipata uwepo.
Nisaidieni...
Mtaji; Laki mbili
Hela ninayotaka kuingiza; Wastani wa elfu kumi kwa siku.
Aisee umenishawishi hii biashara nilifikilia kuifanya Sema sijapata kijana muaminifu
Mamy ulijaribu hii biasharaUsilogwe dadake
Kwny kutafuta kijana ndo shida kubwa maana hakuna mwaminifu kila siku atakwambia bodaboda imeharibika hichi, mara nimekamatwa na trafic mara nilikuwa naumwa sijafanya kazi, yaani stress mtindo mmoja na unakuja kutahamaki bodaboda imeshakongolewa ndani ya muda mfupi.Aisee umenishawishi hii biashara nilifikilia kuifanya Sema sijapata kijana muaminifu
Mamy ulijaribu hii biashara