King Sae
JF-Expert Member
- Mar 22, 2018
- 3,282
- 6,471
Naam wazo zuri sana yaani kwa kifupi vitu vya kike vya kuvaa mfano nguo,viatu,ereni nk vinalipa sana na vinauzika sana hukai na mzigo...wengi wanafail kutokana na connection na kutojituma...Yani nina uhakika nayo...maana nimefanya kwa kipindi Kama miezi 6 hivi kama mtu una malengo... unaweza kupata mtaji mzuri tu
Ila ikumbukwe tu kila biashara INA risk zake na ktk hzo risk zpo zinazoepukika na zisizo epukika,so unapojiingiza ktk biashara jiandaa jinsi ya kupungunguza hzo risks na kukabiliana nazo