Ni biashara gani ndugu zangu inaweza kuniingizia elfu saba kwa siku?

Ni biashara gani ndugu zangu inaweza kuniingizia elfu saba kwa siku?

Kuna biashara ya samaki wakavu
Soko lake linapatikana kwa kutembeza mtaani au tafuta maeneo yaliyochangamka kama stendi na maeneo yaliyochangamka uswahilini, hutakaa sana na mzigo.
Kwakuwa ni wakavu wanakaa muda mrefu bila kuharibika na kama eneo la biashara litakua zuri unaweza maliza mzigo wa 150,000 ndani ya siku 4 ,
Faida kwa kawaida hukaribia bei ya manunuzi ya mzigo .
Mfano mzigo wa 150,000 unaweza kupata faida ya 90,000 - 120,000 kama tu unasehemu nzuri ya biashara(nakazia).
 
S

kumbe umejipanga, kuna mdau kasema uende karume uchukue viatu vya mtumba vya wadada kwa elf50 tu

Pia kuna jamaa yangu ye anauza mitandio ya wadada na baadhi ya nguo kwa buku mbili tu, ye anadai mtaji wake ni elf20 na anapata faida elf 50 hadi 70 kwa week, maana yake kila vikiisha anaenda kuchukua mzigo wa elf 20 kisha anatembeza mitaani, huyu nafanya nae kazi maana kuna mingine huwa anatuletea kazini tunanunulia wake zetu
Mzigo anachukulia tandika pale anasema ili upate bidhaa nzuri unapaswa kuwahi saa kumi na mbili kuna duka analochukulia mzigo naweza kukupatia mawasiliano yake akakupa mwongozo
Aiseee
 
Zipo nyingi kwa mtaji Wa laki 200k - 300k
I/nunua gunia 3 za mkaa uza rejareja
ii/uza matunda ya kukata kata kwenye visahan na uuze kila plate elfu 1 plate 20 uta kuwa umepata faida na hela ya mtaji imerud
iii/fungus banda LA chips na vinywaji
iv/km upo dar uza kachor, ngisi na pweza
v/nguo za wadada zinalipa sana tengeneza kibanda kwenye mzunguko Wa warembo wengi nenda mchikichini nunua top, skin jeans,vimini na viatu Anza Kuuza.
vi/ beti kila Siku mikeka ya elfu 5 kaa subiri matokeo
 
Zipo nyingi kwa mtaji Wa laki 200k - 300k
I/nunua gunia 3 za mkaa uza rejareja
ii/uza matunda ya kukata kata kwenye visahan na uuze kila plate elfu 1 plate 20 uta kuwa umepata faida na hela ya mtaji imerud
iii/fungus banda LA chips na vinywaji
iv/km upo dar uza kachor, ngisi na pweza
v/nguo za wadada zinalipa sana tengeneza kibanda kwenye mzunguko Wa warembo wengi nenda mchikichini nunua top, skin jeans,vimini na viatu Anza Kuuza.
vi/ beti kila Siku mikeka ya elfu 5 kaa subiri matokeo
Umeanza vizuuuri... Sasa hapo vi/
 
Uza hao samaki ikiwezekana agiza hata tanga au maeneo unajua utapata rahic me nipo tanga bei ya huku ni nzuri tofauti na dar #wakaange mwenyewe wafuate mwenyewe
 
Nimepiga mahesabu yangu ya maisha, kwa kuanza nahitaji walau elfu 9 Mpaka 10 kwa kila siku niiweke.

Biashara gani itanipatia wastani wa Elfu 9-10 kwa kila siku?
Nataka nijiajiri.

Hapa nina mtaji wa laki mbili cash. Naweza kuongeza hata ikafika laki tatu, ila niwe na uhakika wa kupata elfu kumi kwa kila siku kama faida.

Naweza kwenda kuishi Mkoa wowote Tanzania, ila hela hiyo uhakika wa kuipata uwepo.
Nisaidieni...

Mtaji; Laki mbili
Hela ninayotaka kuingiza; Wastani wa elfu kumi kwa siku.
Jitahidi ufungue filling station,hutajuta,tafuta eneo maeneo ya ocean road au posta
 
Halafu ndiyo nakula hizo Viewers au!
Ofcourse not, channel yako ikikua na kufikia vigezo unajiunga na adsense, kisha unapata vijisenti, 7000 hiyo kwa siku hukosi kabisa, ila upiga kazi hasa na kizalisha vipindi vizuri vyenye kuvutia watazamaji wengi, ili matangazo ya biashara yakiwekwa kwenye video zako yaonwe na watu wengi.
 
Back
Top Bottom