lukinga01
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 415
- 382
Embu nikutajie fursa mbili za kukutoa ila ingekuwa poa kama ungekuwa border Tunduma. Ya kwanza ni kuuza matunda na ya pili kuuza uji. Hi ya uji ni jioni mpaka usiku na asubuhi sana. Hizi ni kati ya biashara ambazo hazihitaji mitaji mikubwa lakini ukiwa na malengo na bidii ndani ya muda mfupi unaweza kununua ka ist ka kuendea kwenu!